Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 38,074
- 57,730
Ni sababu zipi, zinazo kukwamisha wewe kutokuwekeza biashara, kiwanda, au uchimbaji wa madini Ulaya?
Wenye pesa wanakwama wapi?Sina pesa
Umetumia njia zipi katika kutatua hilo tatizo la sina..?Sina muda.
Sina taarifa sahihi.
Sina pesa.
Sina imani biashara ya mtaji wa chini ya 20M ni ya kukabidhi mtu asimamie.
Sina elimu.
Unahisi tatizo linaweza kuwa ni nini, elimu,mazingira,sera au nini?Vijana wengi wanapoteza rasilimali muda na pesa kwenye upatu.
Mtu anapoteza laki 3 wakati hana hata banda la kuuza karanga
Kwanini vijana mkuuVijana wengi wanapoteza rasilimali muda na pesa kwenye upatu.
Mtu anapoteza laki 3 wakati hana hata banda la kuuza karanga
Je tumejaribu kutafuta taarifa sahihi?Biashara nayo ni kama betting tu
Ila changamoto hasa ni taarifa sahihi lakini pia kuchoka na kukataa tamaa kabla ya kuanza ukijumuisha na kuamini ile kauli ya wazee wa wazamani wanywaaa gahawa ya kusema kama ipo ipo tu itakufata popote na ile kila mtu na ridhiki yake inadumaza sana watu tunaielewa kwa upande mmoja tu
Soko la ajira ni gumu fedha ni ngumu pia kupata alafu unanipa mzigo wa kutafuta taarifa sahihi wakati jioni sijui nitakula niniJe tumejaribu kutafuta taarifa sahihi?
kwanini ulaya kwa mfano gentleman?Ni sababu zipi, zinazo kukwamisha wewe kutokuwekeza biashara, kiwanda, au uchimbaji wa madini Ulaya?

Kukosa elimu ya fedha jambo ambalo sisi vijana wengi hatuna.Unahisi tatizo linaweza kuwa ni nini, elimu,mazingira,sera au nini?
Nazungumzia vijana ambao athari yake inakuwa kubwa kwa upande wao kuliko hao wazee.Kwanini vijana mkuu
Hujawahi kuona wazee
Soko la ajira ni gumu fedha ni ngumu pia kupata alafu unanipa mzigo wa kutafuta taarifa sahihi wakati jioni sijui nitakula nini
Ili kushindana na akili kubwakwanini ulaya kwa mfano gentleman?![]()
Kuna wanaojiita mabingwa wa mambo ya fedha na hawajafanya lolote, unahisi tatizo ni nini?Kukosa elimu ya fedha jambo ambalo sisi vijana wengi hatuna.
Hao ni wapiga kelele tu mitandaoni. Nazungumzia elimu ya fedha kwa mtu mmoja mmojaKuna wanaojiita mabingwa wa mambo ya fedha na hawajafanya lolote, unahisi tatizo ni nini?
Hii inatokana na nini? Je ni sawa na kusema watu weupe wana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko mtu mweusi?Through experience, mtu mweusi ana shida kubwa sana ya kufanya decisions on emotions! Kwa experience tunapenda sana kuwekeza au kufanya vitu kule tunapoamini tunajulikana, tulipokulia, tutakapowagusa tulioishi nao au tuliosoma nao! Mzaliwa wa Mwanza hata km anaishi Dar atapenda awekeze Mwanza, na anayeishi Ulaya atapenda awekeze Tz na hata kama kuna opportunity za wazi kbs Ulaya...
Emotional attachment na EQ inatusumbua sana na tunachelewa sana kujua ni tatizo tunaloweza kulitatua!