Habarini Wana jukwaa na poleni na majukuku ya kila siku.
Leo ningependa tujadili kuhusu biashara ya export ambayo kwa namna Moja au nyingine ni biashara inayo fanywa na watu wachache na hii hutokana na kukosa maarifa ya dhati katika biashara hii.
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zina export bidhaa mbalimbali lakini kwa kiwango kikubwa ni bidhaa za agriculture na madini kwani nchi Bado ipo katika stage ya ukuaji.
Tanzania katika soko la Dunia hutambulika katika uuzaji wa bidhaa mbalimbali ambazo ni pamoja na
•madini ( Dhahabu ,almasi pamoja na madini mengine
•Kahawa,karanga,korosho,Chai pamoja na mazao mengine.
Kama unahitaji kujifunza na kuanza biashara hii unapaswa kujua mambo kadhaa; ambayo ni
•unahitaji kusafirisha zao Gani au bidhaa Gani
°Vibali vipi vinahitajika na uanze wapi; Tuchukulie mfano
kama unahitaji kusafirisha kahawa unahitaji kufanya yafuatayo
Kwanza upate kibali Cha ununuzi wa zao hili kibali hiki utapata katika bodi inayo simamia zao husika
Ukisha nunua utafanya process za kukusanya katika warehouse au ma ghala yanayo tambulia na mamlaka ya mapato TRA
Kisha utafalitilia vibali kadhaa ambavyo ni Export permit yan kibali ya kusafirisha bidhaa yako nje na Kisha utafatilia vibali vingine ambavyo hutolewa na mamlaka ya chakula
,Atomic,pamoja na mazingira
Baada ya hapo utalipia Kodi katika mamlaka ya mapato na hii ni baada ya mamlaka kufanya ukaguzi wa docoment zote kama ziko sawa na kutathmini Kodi husika
Kimsingi biashara hii ni biashara iliyo fanywa kuonekana ni watu wenye uwezo mkubwa kiuchumi lakini
Biashara hii unahitaji maarifa ya soko pamoja na kujua wateja wako
Maarifa ndo msingi mkubwa wa mafanikio ya biashara hii
Mifumo ya mafanikio sehem yoyote ukikosa maarifa utakuwa gizani
Njooni wadau tujadili tujikwamue kwa pamoja
Leo ningependa tujadili kuhusu biashara ya export ambayo kwa namna Moja au nyingine ni biashara inayo fanywa na watu wachache na hii hutokana na kukosa maarifa ya dhati katika biashara hii.
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zina export bidhaa mbalimbali lakini kwa kiwango kikubwa ni bidhaa za agriculture na madini kwani nchi Bado ipo katika stage ya ukuaji.
Tanzania katika soko la Dunia hutambulika katika uuzaji wa bidhaa mbalimbali ambazo ni pamoja na
•madini ( Dhahabu ,almasi pamoja na madini mengine
•Kahawa,karanga,korosho,Chai pamoja na mazao mengine.
Kama unahitaji kujifunza na kuanza biashara hii unapaswa kujua mambo kadhaa; ambayo ni
•unahitaji kusafirisha zao Gani au bidhaa Gani
°Vibali vipi vinahitajika na uanze wapi; Tuchukulie mfano
kama unahitaji kusafirisha kahawa unahitaji kufanya yafuatayo
Kwanza upate kibali Cha ununuzi wa zao hili kibali hiki utapata katika bodi inayo simamia zao husika
Ukisha nunua utafanya process za kukusanya katika warehouse au ma ghala yanayo tambulia na mamlaka ya mapato TRA
Kisha utafalitilia vibali kadhaa ambavyo ni Export permit yan kibali ya kusafirisha bidhaa yako nje na Kisha utafatilia vibali vingine ambavyo hutolewa na mamlaka ya chakula
,Atomic,pamoja na mazingira
Baada ya hapo utalipia Kodi katika mamlaka ya mapato na hii ni baada ya mamlaka kufanya ukaguzi wa docoment zote kama ziko sawa na kutathmini Kodi husika
Kimsingi biashara hii ni biashara iliyo fanywa kuonekana ni watu wenye uwezo mkubwa kiuchumi lakini
Biashara hii unahitaji maarifa ya soko pamoja na kujua wateja wako
Maarifa ndo msingi mkubwa wa mafanikio ya biashara hii
Mifumo ya mafanikio sehem yoyote ukikosa maarifa utakuwa gizani
Njooni wadau tujadili tujikwamue kwa pamoja