Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 44,199
- 36,289
ooh,Ili kushindana na akili kubwa
kumbe sio uwekezaji ni kushindana na akili kubwa? hapo sina maoni

ooh,Ili kushindana na akili kubwa

Sawaooh,
kumbe sio uwekezaji ni kushindana na akili kubwa? hapo sina maoni![]()
karibu sana gentlemanSawa

Nini kifanyike, wazawa wakawekeze nchi za ng'ambo?karibu sana gentleman![]()
Hii inatokana na nini? Je ni sawa na kusema watu weupe wana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko mtu mweusi?
Wao wanafanikiwaje kuja kuwekeza huku kwetu?
- Mataifa mengi ya Europe yana kodi kubwa sana za mapato na biashara,
- Gharama za ardhi,mishahara ya wafanya kazi zipo juu sana,
- Kuna sheria ngumu sana za mazingira,vibali na haki za wafanyakazi,
- Europe haina hifadhi kubwa ya madini ukilinganisha na Afrika
- Upendeleo wa soko la nyumbani 'Home market bias' Mara nyingi wateja hununua bidhaa ambazo walisha ziona na wanazitumia kila siku,
- Kuna issue za Currency risk,Lack of information na mengineyo mengi tu.
Ili tuweze kusonga mbele ni nini kifanyike?Sahihi kabisa hatufundishwi kufanya rational decisions na tunajifunza wenyewe kwa uzoefu, so inatufanya kuamini tunapotoka au tunapojulikana ndo tuna security, chance kubwa ya mafanikio na pia kubwa zaidi tutaonekana tumewazidi wanaotufahamu na kutupatia emotional exalment so inaraise our ego sana, na at the end fulfilment mentally!
Soma opposite hizo sababu zangu 6 nilizoweka na Africa,Wao wanafanikiwaje kuja kuwekeza huku kwetu?
Tatizo ni mfumo au watu?Soma opposite hizo sababu zangu 6 nilizoweka na Africa,
Utaona ni kwanini wao ni rahisi kuwekeza Africa.
Vyote,Tatizo ni mfumo au watu?
Vijana ndy nguvu kazi ya taifaKwanini vijana mkuu
Hujawahi kuona wazee
kwanza ni watu kufanya kazi kwa maarifa na bidii makwao,Nini kifanyike, wazawa wakawekeze nchi za ng'ambo?
Nb. Fedha za kigeni ni muhimu kwa uchumi wa nchi.

kwanza ni watu kufanya kazi kwa maarifa na bidii makwao,
lakini pili,
ni watu kujikwamua wao kiuchumi kwanza wakiwa makwao,
tatu ni kuwekeza vyakutosha makwao,
halafu nne,
ile ziada ambayo ni faida sasa, ndipo kufikiria kwenda kuwekeza Ulaya na kote kwenye fursa ulimwenguni![]()
- Mataifa mengi ya Europe yana kodi kubwa sana za mapato na biashara,
- Gharama za ardhi,mishahara ya wafanya kazi zipo juu sana,
- Kuna sheria ngumu sana za mazingira,vibali na haki za wafanyakazi,
- Europe haina hifadhi kubwa ya madini ukilinganisha na Afrika
- Upendeleo wa soko la nyumbani 'Home market bias' Mara nyingi wateja hununua bidhaa ambazo walisha ziona na wanazitumia kila siku,
- Kuna issue za Currency risk,Lack of information na mengineyo mengi tu.
Mkuu,nafahamu yote hayo ila mimi nimeelezea kwa mtu ambaye yupo huko Bongo ili siku akiamua kuwekeza Europe japo awe na idea ya baadhi ya vitu/Sheria/taratibu,hasa kwenye haki za wafanyakazi na kodi.Mkuu pamoja na kukubaliana na wewe kwa point zote ila kwa uzoefu haya yote yamewekewa control nzuri sana kwa hawa wenzetu, ukiamua kufanya biashara na uwekezaji system zinakusupport na zinalinda kila mtu, wewe, wafanyakazi wako, serikali, walaji, watoza kodi na kila mtu, sheria unaona ni ngumu kama umezoea bongo kufanya ujanjaujanja, ukifuata sheria na taratibu wote mnafaidika na biashara yako itakua tu! Hizo risks zote ulizotaja huko wanazijua na zipo predictable so unaziweka kwnye plan zako kabisa, hamna surprises kama kwetu, hujui ukiamka nani atakutembelea na atakuja na lipi, kufunga biashara, rushwa, kulipia chama tawala mchango ambao hata hukuplan, au kuchangia msiba wa diwani au mwanae anayeenda kusoma mkoa etc...
Huko unajua kabisa obligation zako za kisheria na kiutawala na personal hata kabla hujaanizisha biashara so unajua kabisa faida au hasara kwenye business plan ili uwe na maamuzi ya kufanya au kuacha!
Mkuu,nafahamu yote hayo ila mimi nimeelezea kwa mtu ambaye yupo huko Bongo ili siku akiamua kuwekeza Europe japo awe na idea ya baadhi ya vitu/Sheria/taratibu,hasa kwenye haki za wafanyakazi na kodi.
kwa kiasi kikubwa wamewekeza makwao vya kutosha, na wamepata faida kubwa sana,Uko sahihi, je hawa wahindi tunaopishana nao huku viwandani na kwenye biashara zao, wamejitosheleza kule kwao?

kwa kiasi kikubwa wamewekeza makwao vya kutosha, na wamepata faida kubwa sana,
na kwakua ushindani kule kwao ni mkubwa zaidi, baadhi yao wamebainisha fursa nyingine nyingi zaidi za uwekezaji maeneo mbalimbali duniani ikiwa ni pamoja na Tanzania, na kuzichangamika bila kuchelewa.
Na utamaduni wao wa kurithishana utajiri umewafanya kua imara sana kiuchumi siku zote, huku wahindi wavivu wachache sana miongoni mwao kua wazururaji tu mitaani. Lakini wengi wana bidii na maarifa sana katika uwekezaji na kutafuata pesa.
kwa mfano wewe gentleman,
kwenye games za leo za kirafiki za kimataifa, umewekeza shilingi ngapi na jana muhindi kakupiga bei gani?![]()
hapo cha kukariri ni kipi kwa mfano gentleman?Umekariri though, lecture za mzee wa jalalani pale UD...
