Tujadili mambo ya msingi

Tujadili mambo ya msingi

Mponda kokoto, mama ntilie, konda wa mabasi madogo madogo, mafundi ujenzi n.k, hawafanyi kazi kwa bidii?

nasisitiza sana kufanya kazi kwa maarifa na bidii zaidi regardless unachapa kazi gani halali gentleman.

usikate tamaa wala kupoteza wakati kuambatana na wavivu au wale walioshindwa kazi kutokana na uvivu wao, we chapa kazi tu gentleman na umshukuru Mungu kwa matunda utakayopata kwa bidii katika kazi zako za maarifa na mikono yako.

huna haja kunishukuru mimi hata kidogo :NoGodNo:
 
nasisitiza sana kufanya kazi kwa maarifa na bidii zaidi regardless unachapa kazi gani halali gentleman.

usikate tamaa wala kupoteza wakati kuambatana na wavivu au wale walioshindwa kazi kutokana na uvivu wao, we chapa kazi tu gentleman na umshukuru Mungu kwa matunda utakayopata kwa bidii katika kazi zako za maarifa na mikono yako.

huna haja kunishukuru mimi hata kidogo :NoGodNo:
Swali fikirishi, aliyekaa kikao cha nusu saa akasaini 500,000/= na mwingine akaponda mawe na kuwa kokoto na kujaza tipa akalipwa 50,000/=; kati ya hao wawili ni nani aliyefanya kazi kwa bidii?​
 
Bad news, uchumi wa Dunia unaenda ku collapse tutashuhudia mparaganyiko usio wa kawaida! Kama unafatilia maswala ya geopolitics ni swala la muda tu inaweza kua miezi 8 inaweza kua miaka 5 ila unless we ni ultra rich 1% of the 1% hutoboi.
 
Swali fikirishi, aliyekaa kikao cha nusu saa akasaini 500,000/= na mwingine akaponda mawe na kuwa kokoto na kujaza tipa akalipwa 50,000/=; kati ya hao wawili ni nani aliyefanya kazi kwa bidii?​
Gentleman,
chochote halali ulichoamua kukifanya kwa hiyari yako, kifanye kwa bidii kubwa zaidi, kwa ari kubwa zaidi na wivu mkubwa sana, kwasababu ni hakaki hicho ndicho kitakachokujengea msingi na kitakachokupa au kukupatia fursa kubwa zaidi hapo mbeleni.

usikate tamaa gentlleman unapokumbana na changamoto katika ufanyalo kwa bidii :NoGodNo:
 
gentleman,
wewe ukijiita kenge, nguchiro, nyumbu au chawa miongoni mwa wananchi, huu ni uamuzi wako binafsi huru na mapenzi yako tu, there is no problem tu me, but mim ni kiongozi wa wananchi full stop.

Jambo la pili,
hakuna wananchi wangu wanazweza kuninyima mimi ambae wameniamini na kunipatia kazi na jukumu nzito na la muhimu sana la kusukuma maendeleo yao kijamii, kisiasa na kiuchumi. Hakuna mwananchi kama huyo katika eneo langu gentleman.

Jambo la mwisho,
gentleman,
wawekezaji mtaji wao mkubwa ni plan na sio maburungutu ya pesa. Huna haja ya kutishika kabisa na wanao kuhadaa ati NewYork upangishaji fremu au ununuzi wa nyumba au kiwanja ni gahali sana kuliko Masakai Dar es salaam,na Masaki. No, they are almost the same. Nenda kawekeze upige pesa gentleman na plan yako itakupa pesa mingi zaidi.

utanisamehe kutokutoa maelezo kwa yale ambayo sio muhimu gentleman.
Na kwanini utumie vishoka, na wakati huduma za brela Tanzania gharama ni rahisi mno na hutolewa kielectroniki kimtandao tu? :NoGodNo:

Yani uje NY na plan tu! Kwa kuwa kwa masisiemu unafika na brifecase na fungu la rushwa unafanikiwa basi unajua duniani kote ndio hali ilivyo? Haya chukua $5k yako nenda NY kafungue barbershop tupate ushuhuda basi mkuu, sifanyi siasa mie za uchawa mie!

Duniani unafanya mambo kwa credibility, au credits sio ukaribu wako na mwanasiasa yoyote! Hata Trump kakosa jela chini ya sekunde sumni tu hamna ugodfaza wala plan, kila ntu duniani ana plan, hata ya kuua ni plan pia so plan haikupi lolote US acha kuota ndoto kijana!
 
Yani uje NY na plan tu! Kwa kuwa kwa masisiemu unafika na brifecase na fungu la rushwa unafanikiwa basi unajua duniani kote ndio hali ilivyo? Haya chukua $5k yako nenda NY kafungue barbershop tupate ushuhuda basi mkuu, sifanyi siasa mie za uchawa mie!

Duniani unafanya mambo kwa credibility, au credits sio ukaribu wako na mwanasiasa yoyote! Hata Trump kakosa jela chini ya sekunde sumni tu hamna ugodfaza wala plan, kila ntu duniani ana plan, hata ya kuua ni plan pia so plan haikupi lolote US acha kuota ndoto kijana!
nikijaaliwa afya njema na zawadi ya uhai,
huenda next week nikaenda kucheki mechi moja hivi ya world cup new york, nitakupa uhalisia zaidi,
but hakuna haja ya kunyong'onyezwa na yeyoyte kuhusu uwekezaji New York.

but ni muhimu zaidi kufanya kazi kwa bidii na maarifa lakini pia, bila kukata tamaa :NoGodNo:
 
Bad news, uchumi wa Dunia unaenda ku collapse tutashuhudia mparaganyiko usio wa kawaida! Kama unafatilia maswala ya geopolitics ni swala la muda tu inaweza kua miezi 8 inaweza kua miaka 5 ila unless we ni ultra rich 1% of the 1% hutoboi.
Kwa hiyo wanaishi kwa kuamini Afrika lazima itegemee misaada ya wazungu una lipi la kuwaambia?
 
Swali fikirishi, aliyekaa kikao cha nusu saa akasaini 500,000/= na mwingine akaponda mawe na kuwa kokoto na kujaza tipa akalipwa 50,000/=; kati ya hao wawili ni nani aliyefanya kazi kwa bidii?​
Ipi tafsiri ya kufanya kazi kwa bidii?

Unawezaje kulinganisha output ya mental work vs physical work?
 
Kwa hiyo wanaishi kwa kuamini Afrika lazima itegemee misaada ya wazungu una lipi la kuwaambia?
Ukiachana na misaada Mkuu tuangalie mfano Africa inavotegemea fertilizer kutoka nje zaidi ya 80% na ndio nchi zetu tunategema kilimo asilimia kubwa kiuchumi na maisha ya kila siku! wataalamu wana forecast kuna farmine ya maana inakuja Africa ndani ya miezi 8 hadi mwaka tutaftana sio poa.
 
Ukiachana na misaada Mkuu tuangalie mfano Africa inavotegemea fertilizer kutoka nje zaidi ya 80% na ndio nchi zetu tunategema kilimo asilimia kubwa kiuchumi na maisha ya kila siku! wataalamu wana forecast kuna farmine ya maana inakuja Africa ndani ya miezi 8 hadi mwaka tutaftana sio poa.
Na sahihi sisi kuendelea kuwa tegemezi miaka na miaka?
 
Back
Top Bottom