Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 38,074
- 57,730
- Thread starter
- #41
kwa kiasi kikubwa wamewekeza makwao vya kutosha, na wamepata faida kubwa sana,
na kwakua ushindani kule kwao ni mkubwa zaidi, baadhi yao wamebainisha fursa nyingine nyingi zaidi za uwekezaji maeneo mbalimbali duniani ikiwa ni pamoja na Tanzania, na kuzichangamika bila kuchelewa.
Na utamaduni wao wa kurithishana utajiri umewafanya kua imara sana kiuchumi siku zote, huku wahindi wavivu wachache sana miongoni mwao kua wazururaji tu mitaani. Lakini wengi wana bidii na maarifa sana katika uwekezaji na kutafuata pesa.
kwa mfano wewe gentleman,
kwenye games za leo za kirafiki za kimataifa, umewekeza shilingi ngapi na jana muhindi kakupiga bei gani?![]()
Mfano mmoja mdogo tu, nikienda nchi mojawapo Ulaya, nikafungua kikarakana cha kushona magauni tu ya kimasai, unadhani ni kiasi gani cha fedha kitahitajika?