VUNJABEI Gold LTD

VUNJABEI Gold LTD

kinondoniilala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
2,033
Reaction score
2,825
Kuchimba Thamani, Kujenga Kesho
(Unlocking Tanzania’s Golden Potential)

Vunjabei Gold Ltd ni kampuni ya madini inayojikita katika utafiti, uchimbaji, uchakataji, biashara na uuzaji wa dhahabu nchini Tanzania na masoko ya kimataifa.

Kwa kutumia utaalamu wa kitaalamu, teknolojia za kisasa na kuzingatia kanuni za uhifadhi wa mazingira, usalama kazini na uwajibikaji kwa jamii, tunalenga kufungua fursa za uwekezaji na kuongeza thamani ya rasilimali za madini ya Tanzania.

Huduma Zetu Kuu:
✓ Utafiti na uchunguzi wa maeneo yenye madini ya dhahabu
✓ Uchimbaji na uzalishaji wa dhahabu
✓ Uchakataji na uongezaji thamani wa dhahabu
✓ Ununuzi, uuzaji na usambazaji wa dhahabu
✓ Ushauri na ushirikiano wa uwekezaji katika miradi ya madini

VUNJABEI GOLD LTD
Tunagundua rasilimali. Tunazalisha thamani. Tunajenga maendeleo endelevu.

Kwa sasa ofisi zetu zipo Dar es Salaam ila tunategemea Kufungua matawi Mkoa wa Geita, Chunya, Dodoma, Arusha na Morogoro
 
Kuchimba Thamani, Kujenga Kesho
(Unlocking Tanzania’s Golden Potential)

Vunjabei Gold Ltd ni kampuni ya madini inayojikita katika utafiti, uchimbaji, uchakataji, biashara na uuzaji wa dhahabu nchini Tanzania na masoko ya kimataifa.

Kwa kutumia utaalamu wa kitaalamu, teknolojia za kisasa na kuzingatia kanuni za uhifadhi wa mazingira, usalama kazini na uwajibikaji kwa jamii, tunalenga kufungua fursa za uwekezaji na kuongeza thamani ya rasilimali za madini ya Tanzania.

Huduma Zetu Kuu:
✓ Utafiti na uchunguzi wa maeneo yenye madini ya dhahabu
✓ Uchimbaji na uzalishaji wa dhahabu
✓ Uchakataji na uongezaji thamani wa dhahabu
✓ Ununuzi, uuzaji na usambazaji wa dhahabu
✓ Ushauri na ushirikiano wa uwekezaji katika miradi ya madini

VUNJABEI GOLD LTD
Tunagundua rasilimali. Tunazalisha thamani. Tunajenga maendeleo endelevu.

Kwa sasa ofisi zetu zipo Dar es Salaam ila tunategemea Kufungua matawi Mkoa wa Geita, Chunya, Dodoma, Arusha na Morogoro
Hamna lolote. Nyie ni wapigaji tu
 
Kuchimba Thamani, Kujenga Kesho
(Unlocking Tanzania’s Golden Potential)

Vunjabei Gold Ltd ni kampuni ya madini inayojikita katika utafiti, uchimbaji, uchakataji, biashara na uuzaji wa dhahabu nchini Tanzania na masoko ya kimataifa.

Kwa kutumia utaalamu wa kitaalamu, teknolojia za kisasa na kuzingatia kanuni za uhifadhi wa mazingira, usalama kazini na uwajibikaji kwa jamii, tunalenga kufungua fursa za uwekezaji na kuongeza thamani ya rasilimali za madini ya Tanzania.

Huduma Zetu Kuu:
✓ Utafiti na uchunguzi wa maeneo yenye madini ya dhahabu
✓ Uchimbaji na uzalishaji wa dhahabu
✓ Uchakataji na uongezaji thamani wa dhahabu
✓ Ununuzi, uuzaji na usambazaji wa dhahabu
✓ Ushauri na ushirikiano wa uwekezaji katika miradi ya madini

VUNJABEI GOLD LTD
Tunagundua rasilimali. Tunazalisha thamani. Tunajenga maendeleo endelevu.

Kwa sasa ofisi zetu zipo Dar es Salaam ila tunategemea Kufungua matawi Mkoa wa Geita, Chunya, Dodoma, Arusha na Morogoro
Umepost utopolo. Kwenye industry ya dhahabu hakuna longo longo kama hizo. Ni either uwe mchimbaji, au uwe muuza vifaa vya uchimbaji au uwe dealer na mchimbaji pia au uwe broker. Ninachomaanisha either umiliki leseni zifuatazo. PML, ML, CPL. So hakuna upumbavu kama huo ulioutaja. Naungana na mdau mmoja hapo juu aliyesema wewe ni tapeli unataka kuwatapeli watu ambao hawana abc za uchimbaji wa dhahabu
 
Sijaelewa maana niko na mpare wangu hapa tunakula makande yetu.
 
Back
Top Bottom