Tuhuma za Madawa ya Kulevya: Kamishna Jenerali wa DCEA akosoa utaratibu alioutumia Makonda

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
Jana katika kipindi cha Dk 45 ITV walikuwa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ambaye alipinga vikali utaratibu uliyokuwa unatumiwa na aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa DSM Ndug Paul Makonda wa kuwataja hadharani watu aliokuwa akiwatuhumu au wakidhaniwa kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya.

Alienda mbali na kusema wao kama serikali hawawezi kukutaja hadaharani hivyo bila kuwa na uthibitisho na wala kutiwa hatiani na Mahakama.

Namnukuu pia "Si kila anayetajwa anahusika na dawa za kulevya, mtu mwingine naweza nkakutaja kwa visa tu"
-Gerald Kusaya - Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya.



Pia soma: Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...
 
Jana katika kipindi cha Dk 45 ITV walikuwa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ambaye alipinga vikali utaratibu uliyokuwa unatumiwa na aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dsm Ndug Paul Makonda wa kuwataja hadharani watu aliokuwa akiwatuhumu au wakidhaniwa kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya. Alienda mbali na kusema wao kama serikali hawawezi kukutaja hadaharani hivyo bila kuwa na uthibitisho na wala kutiwa hatiani na Mahakama.

Namnukuu pia "Si kila anayetajwa anahusika na dawa za kulevya, mtu mwingine naweza nkakutaja kwa visa tu"
-Gerald Kusaya - Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya.

Nafikiri sasa ni wakati wa watu waliochafuliwa na Makonda kama ma-Drugs Dealers wamsukume mahakamani (otherwise awe na kinga) ili liwe funzo kwa viongozi wengine wenye tabia za ki-Makonda.

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Huu ulikuwa ni mpango ulioandaliwa mahususi na Magufuli na Makonda ili kuwachafua na kuwakomoa mahasimu wao wa kisiasa..

Hii inaonyesha watu wasio na sifa ya uongozi wanavyoweza kuwa mara tu wakipata madaraka.
 
Jana katika kipindi cha Dk 45 ITV walikuwa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ambaye alipinga vikali utaratibu uliyokuwa unatumiwa na aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa DSM Ndug Paul Makonda wa kuwataja hadharani watu aliokuwa akiwatuhumu au wakidhaniwa kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya.

Alienda mbali na kusema wao kama serikali hawawezi kukutaja hadaharani hivyo bila kuwa na uthibitisho na wala kutiwa hatiani na Mahakama.

Namnukuu pia "Si kila anayetajwa anahusika na dawa za kulevya, mtu mwingine naweza nkakutaja kwa visa tu"
-Gerald Kusaya - Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya.


Leo ndio amejua hilo? Kwa nini hakumpinga wakati anatoa tamko?

Amandla...
 
Wata
Lkn mbona baada ya hao watu kutajwa visa vilipungua?
Watanzania we waache tu, hawana jema hata kidogo.
Hawajui lipi wanataka.
Jk alisema majina anayo na hakutaja wakawa wanamlazimisha ataje.
Walipotajwa ikaonekana wanaonewa ni mambo ya kisiasa.
 
Tuliwahi kuliongelea hili la watu kubambikiziwa kesi na genge la huyo jamaa.
Wakatokea genge la watu wakadandia.bodaboda kwa mbele na kuharibu hoja yote.

Hata sasa wapo watu mahabusu na wengine wamefungwa maisha kwa kuwekewa 250 grams majumbani mwao.

Utaratibu unaotumiwa Tanzania kuwakamata watuhumiwa wa madawa ya kulevya ni ukiukwaji wa haki za binadamu.
Na ni ukandamizwaji na ukiukwaji mkubwa wa sheria..

Ni wa kuupigia kelele ..kwa nguvu zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom