hahahah wee mwache tuuAnza Kwanza kuonyesha mfano Wewe kwa Kuandamana ili ukitoshatolewa Bandama na Kolomelo basi na Sisi pia tutakuunga mkono.
Unaandamna kupinga jengo la Bilioni 60 lisivunjwe,unajua serikali itaingiza kiasi gani kwa kuwa na hiyo flyover..??Kuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.
Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...
Hapo sasa utakapogundua kwamba mwenye jengo ndiye aliyeamrisha kwa njia moja au nyingine kibali kitolewe cha ujenziAliyetoa kibali cha ujenzi anastahili adhabu kali!! Halmashauri haikujua ni sehemu ya barabara? Hasara yote alipe mhusika aliyeaminika na serikali kwa kutoa kibali cha ujenzi.
Hivi huyu mzee Edo ndiyo naniJengo la mzee EDO...! TANESCO MPANGAJI..
hii serikali inafaa kushitakiwa ni kwanini walilijenga hilo jengo maeneo yale ........Kwani wewe unaingiliwa na nini likivunjwa au na wewe ulikilikuwa mpanda lift kwenye hilo jengo
Mkuu je wale walio vunjiwa nyumba zao na hilo jengo kipi kinakuuma zaidi?hii serikali inafaa kushitakiwa ni kwanini walilijenga hilo jengo maeneo yale ........
limetumia mapesa ya kutisha na linavunjwa kipuuzipuuzi tu, ifike mahali serikali iwe na yenyewe inashtakiwa maana wao wenyewe walichota mapesa kujenga na sasa wanachota kulivunja
maana yake hapo itatumika pesa nyingine ya kujenga nyumba kama hii hii watumie kodi zetu y?
nani alihusika kwanini tusiwashitaki kwanini walijenga mahali ambapo si sahihi ?
Watanzania watanzania watanzania, watu wamevunjiwa nyumba zao eneo lote hilo hadi kibaha. Watu wamekosa makazi na hadi leo wamekuwa ni wakuhifadhiwa na ndugu na jamaa kutokana na 'utekelezaji wa sheria' leo hii wanatokea watu wanatetea kuhusu utekelezaji huo huo wa sheria kwa jumba la umma. WHAT HYPOCRISYKuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.
Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...