Tuandamane Aisee! Ubungo Tanesco Isivunjwe...

Tuandamane Aisee! Ubungo Tanesco Isivunjwe...

Mimi nampendea Magu hapo tu!!
Mkuu, hapo wananchi wa kawaida, labda pia ukiwemo wewe( no offense intended) kuna kitu hawakielewi, Lile jengo sio la TANESCO, TANESCO ni mpangaji tu, ni mtanzania mwenzetu, ambaye amejichanga, tena inawezekana kwa njia halali kabisa akaamua kuwekeza pale, sasa lina vunjwa, sipingi, ila je, amefikiriwa angalau fidia?
 
Acheni unafiki. ...wakati wananchi wengine wanabomolewa mlikaa kimya sasa mnaleta upupu gani kwa ajili ya jengo moja. ....watu wamebomolewa nyumba zilizojengwa miaka 40 iliyopita sembuse hili?
Nawashangaa Mkuu, wacha lipigwe nondo tuu.
 
Labda uandamane kushinikiza kukumatwa kwa aliyetoa kibali cha ujenzi hali akijua ni eneo la hifadhi ya barabara.acha uchochezi wa hovyo!
 
Kuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.

Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...
ulishindwa kuandama walio bomorewa kimara huko,au huna ishi kwenyebjengo hilo au la baba yako
 
Siwezi kuandamana kisa Tanesco wakata umeme, bora waandamane wao na umeme wao
 
Kuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.

Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...
Wanaopaswa kulaumiwa ni wataalam wetu ambao wameshindwa kuchallenge michoro hiyo ya flyover. Ingewezekana kabisa flyover kupita kwenye jengo hili bila dhana ya kulibomoa jengo hilo.
 
Mkuu, hapo wananchi wa kawaida, labda pia ukiwemo wewe( no offense intended) kuna kitu hawakielewi, Lile jengo sio la TANESCO, TANESCO ni mpangaji tu, ni mtanzania mwenzetu, ambaye amejichanga, tena inawezekana kwa njia halali kabisa akaamua kuwekeza pale, sasa lina vunjwa, sipingi, ila je, amefikiriwa angalau fidia?
Kwani mkuu kati ya hilo jengo na flyover ni kipi kina faida zaidi kwa jamii??(Longrun social and community benefits)
 
Kwani mkuu kati ya hilo jengo na flyover ni kipi kina faida zaidi kwa jamii??(Longrun social and community benefits)
Hapo mkuu sielewi, na sipingi kubomolewa, ninachosema kama sio la serikali na kuna mtu binafsi anahusika, fidia iangaliwe, isije ikawa kuna mtu anakomolewa(wasiwasi wa watu wengi).
 
Umerogwa;
umwandamie nani?
umeshindwa kuandamana kwenye nyumba zenu huko kimara unataka ufie nyumba za serikali?
 
Kuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.

Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...
Kuna maisha nje ya CCM
 
USHAURI

si inaitwa FLY OVER kwa nini isi FLY OVER ze Jengo(tanesco) au watoboe ipite katkat? Wao si wachina.
 
Back
Top Bottom