Huna kazi ya kufanya?hicho kisasi anafanyiwa nani?Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...
Mtoa mada pole sana kwanza kwa hizo comment. Zipitie na utoe ufafanuzi wa hizo comments zao waliokujibu.Kuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.
Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...
Huna kazi ya kufanya?hicho kisasi anafanyiwa nani?
Nenda kaandamane peke yako
Kama desturi, mlisubiri mpewe maelekezo hoja ijibiweje. Kweli mnaitendea haki posho ya sikuMtoa mada pole sana kwanza kwa hizo comment. Zipitie na utoe ufafanuzi wa hizo comments zao waliokujibu.
umenichekeshaNenda kaandamane mwenyewe.