- Thread starter
- #41
Kwahiyo livunjwe??Hilo lazima ina majini
Kwahiyo livunjwe??Hilo lazima ina majini
Tutakutafuta kwa habari ya uchocheziKuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.
Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...
Kuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.
Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...
Kisasi dhidi ya naniKuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.
Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...
Doesn't make no difference.Jengo mzee EDO...! TANESCO MPANGAJI..
.....Na wewe kataa mwenyewe, usisemee wengine.Nenda kaandamane mwenyewe.
Anabomoa kumuonyesha JK kwamba yeye sasa ndo baba la mji....akili nyingine ni majanga matupu. Mkapa sijui anajisikiaje sasa hivi. Na kuongea wazi hawezi maana file lake kuhusu wizi wake wote alioufanya yeye na mkewe lipo mezani kwa mkuu.
Cha msingi tupewe kwanza historia mmiliki ni nani? Ilikuwaje likajengwa hapo? Aliyeruhusu ujenzi kachukuliwa hatua gani?
JPM kasema hata kama ni serikali ilifanya kosa, nayo ni lazima iadhibiwe tu. Lingekuwa jengo la mtu binafsi, kwa anavyopenda misifa yule, nadhani angemtaja hadharaniCha msingi tupewe kwanza historia mmiliki ni nani? Ilikuwaje likajengwa hapo? Aliyeruhusu ujenzi kachukuliwa hatua gani?
Kwahiyo EDO ndio mmiliki wa PPF? Ukiwa na raia wenye akili kama hizi siyo dhambi kufikiria kumrithisha mke Urais.Jengo mzee EDO...! TANESCO MPANGAJI..
HahahahahaKwahiyo EDO ndio mmiliki wa PPF? Ukiwa na raia wenye akili kama hizi siyo dhambi kufikiria kumrithisha mke Urais.
Kwahiyo EDO ndio mmiliki wa PPF? Ukiwa na raia wenye akili kama hizi siyo dhambi kufikiria kumrithisha mke Urais.
Kwani hilo jengo ni la nani kwanza?Kuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.
Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...