Tuandamane Aisee! Ubungo Tanesco Isivunjwe...

Tuandamane Aisee! Ubungo Tanesco Isivunjwe...

Kuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.

Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...

Liko kwenye Road reserve wewe unafurahia sisi wana Kimara kuvunjiwa!???
 
kaandamane kwanza mkuu ili uonyeshe mfano!!!

Hili jengo si liko kwenye hifadhi ya barabara?

Au lenyewe liko juu ya sheria?
 
UKIANDAMANA BEI YA UMEME ITASHUKA! ACHA VIROBA VYAKO! WABOMOE TU WATU TUNACHELEWA KAZINI KILA SIKU HIYO BILL 60 WATU WAKIWAHI KAZINI KWA MWEZI MMOJA INARUDI
Kuna Taarifa zinazagaa sasa kuwa gorofa la Tanesco Ubungo litavunjwa kupisha flyover na Jengo la wizara ya maji pia litavunjwa.

Huu ni upotevu wa kodi ambazo ni pesa zetu...
Tuandamaneni kuzuia uharibifu usiokuwa wa lazima aisee...
Hapo tunapoteza zaidi ya Bilion 60.
Hapa kuna kila sababu sasa tupate uchungu na mali zetu...pengine zinabomolewa kulipizia kisasi tu...
 
Aliyetoa kibali cha ujenzi anastahili adhabu kali!! Halmashauri haikujua ni sehemu ya barabara? Hasara yote alipe mhusika aliyeaminika na serikali kwa kutoa kibali cha ujenzi.
 
Inatafutwa kiki kubalance hasira za wananchi ili waone kuwa ni fair game
"hata jengo lao wenyewe wamebomoa"
 
Bora nchi iongozwe na dr shika sio huyu mnyamaa
 
Back
Top Bottom