Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,538
- 3,826
Mkonga mnao nyie lakini tamaa, usimamizi mbovu, business plan mbovu, hamna vifurushi vizuri, bei za ajabu, broadband bei juu, mngekuwa mbali sana kwani ni kampuni ya zamani na ni yetu lakini mnaenda enda tu!