Natoa ombi kwa serikali, kutafuta mtu awe mzawa au mgeni wamuuzie kampuni ya ttcl
Sasa hivi wameanzisha huduma ya fible, leo ni siku ya pili no internet, hizo siku zingine ni internet ya kuvizia,
Ukiona asubuh kuna internet basi usiku hakuna, internet inakuwa ya mgao kama maji kama umeme no...