ttcl

  1. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Utapeli kupitia laini za TTCL umeporomosha imani ya wateja kwa TTCL

    TTCL wanapaswa kuchukua hatua madhubuti dhidi ya watu wanaotumia laini za mtandao wao kufanya utapeli. Tatizo si hasara za kifedha pekee, bali pia kupungua kwa imani ya wateja. Leo watu wengi wakiona simu kutoka kwenye laini za TTCL husita kupokea au hupuuza maelekezo muhimu wakidhani ni...
  2. C

    JamiiForums Tanzania KERO Huduma ya faiba TTCL haitendi haki

    Wahusika wa huduma ya ttcl faiba hamtendi haki. Toka Jumapili Asubuhi hakuna huduma maeneo ya Chang'ombe maduka mawili. Inafikirisha sana. Labda mnataka wateja wahamie kwa kampuni zingine. Hili shirika linataka overhaul kubwa sana.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Nilitegemea katika siku ya gawio rais apokee gawio kutoka TANESCO, TTCL, ATCL, TRC ambao hawakutoa gawio na sio yeye kupewa tuzo.

    Siku ya kutoa gawio kwa serikali ni siku ambayo rais alipaswa kuichukulia kama accountability day kwa mashirika yote ya Umma. Ni siku ambayo mbivu na mbichi zinapaswa kuanikwa na pengine watu kuchukuliwa hatua kwa kutotoa gawio lolote. Lakini katika siku hiyo mwaka huu TANESCO, TTCL, ATCL, TRC...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kwenye suala ya huduma ya Fibre, TTCL ni wababaishaji sana

    Kuna namna Shirika haliwatendei haki wateja wake. Kwa mfano, mimi niliomba kuunganishiwa huduma ya TTCL Fiber tangu mwezi wa pili mwaka 2025. Baada ya maombi yangu kupokelewa, nilipigiwa simu na kuambiwa kuwa kungekuja mtu kufanya survey ya eneo langu kabla ya kuunganishiwa huduma. Hata hivyo...
  5. Bishop Hiluka

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano gani kati ya matapeli wa mtandaoni na kampuni ya TTCL?

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilituhakikishia kuwa hatua mbalimbali zilizochukuliwa zimepunguza kwa kiasi kikubwa, au hata kutokomeza, utapeli wa mtandaoni. Hata hivyo, uzoefu wangu binafsi unaonyesha taswira tofauti. Katika kipindi cha miezi mitatu tu iliyopita, nimepokea jumbe nyingi...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Huduma ya TTCL Fibre Arusha ni ubabaishaji mtupu, unalipia na kufungiwa hufungiwi huku kifurushi kikiendelea kuisha

    Huduma ya ttcl fibre Arusha ni mbovu, imejaa ubababishaji sana, mtu unalipia na unacheleweshewa kufungiwa na wakati huo kifurushi kinahesabika kinatumika. Hii tabia inakera, wahudumu hawana majibu Mazuri, ni Bora ningeendelea na watoa huduma wengine! Naomba hili ttcl wawajibike waache...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi TTCL walia na Mfumo wa PEPMIS, wadai Mameneja hawapitishi tathmini zao

    Sisi watumishi wa TTCL Corporation tunakabiliwa na changamoto kubwa licha ya kutekeleza majukumu yetu kwa bidii na kujaza taarifa za utendaji kazi kwenye mfumo wa ESS Utumishi (PEPMIS) kama inavyotakiwa. Tatizo linalotusumbua ni kwamba baadhi ya viongozi wetu, hususan Mameneja, hawapitishi...
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Mkurugenzi wa TTCL, Moremi Marwa, kwa juhudi kubwa za usambazaji wa fiber internet mitaani, yenye bei nafuu na kasi kubwa

    Sasa TTCL wameamua kuingia mazima kwenye huduma za intaneti ya kisasa. Usambazaji wa fiber internet unaendelea kwa kasi kubwa, hasa maeneo ya mijini ambako huduma hii inazidi kuwafikia wananchi wengi zaidi. Tofauti na zamani, sasa wanafika hadi mitaani, wakizungumza na wakazi moja kwa moja ili...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Morogoro wanachelewesha sana kuunganisha wateja na huduma ya Fiber Internet

    Habari, Mimi ni mkazi wa Morogoro mjini. Changamoto niliyokutana nayo TTCL Morogoro ni kuwa nilituma maombi kwa ajili ya kuja kufungiwa fiber internet kwenye eneo langu la kazi lakini maombi hayo hayakujibiwa mpaka nilipoenda ofisini kwao kuwauliza. Wakaniambia subiri zamu yako ikifika...
  10. hp4510

    JamiiForums Tanzania Ombi: serikali tafuteni mtu wa kumuuzia TTCL

    Natoa ombi kwa serikali, kutafuta mtu awe mzawa au mgeni wamuuzie kampuni ya ttcl Sasa hivi wameanzisha huduma ya fible, leo ni siku ya pili no internet, hizo siku zingine ni internet ya kuvizia, Ukiona asubuh kuna internet basi usiku hakuna, internet inakuwa ya mgao kama maji kama umeme no...
  11. DexterLab

    JamiiForums Tanzania Nataka kusajili laini ya TTCL

    Kama heading inavyojieleza, nasikia hili shirika huko nyuma mtandao wake ni wa ovyo sana, labda mwaka 2026 wamebadilika, vipi niijaribu?
  12. M

    JamiiForums Tanzania TTCL: Mpaka sasa tumefikisha Mkongo wa mawasiliano wa Taifa katika wilaya 121 kati ya 139 Tanzania Bara

    Mkurugenzi Mtendaji wa TTCL, CPA Moremi Marwa, akizungumza leo Aprili 10, 2026, wakati wa uzinduzi wa minara 758 ya mawasiliano na uunganishaji wa mkongo katika wilaya 85, Marwa amebainisha kuwa hadi sasa mradi huo umeshafikia wilaya 121, ambayo ni sawa na asilimia 82 ya utekelezaji nchi nzima...
  13. mirindimo

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL wanatuma bills lakini mfuno wa kupokea kupokea malipo haufanyi kazi siku ya 3 leo

    Sisi kitu tunaweza ni kupambana na Upinzani tu na wapinzani. Tunakwama wapi ? TTCL wana juhudi kutuma Control number lakini Mfumo haufanyi kazi DAWASA wanafungua maji siku 1 wanatuma bills wanakata Maji TANESCO Mvua ikinyesha wanakata umeme kua inaharibu miundo mbinu maji yaki kauka...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Corporation, Kum-block mteja Facebook kwa kuuliza swali si sawa

    Kwanza kabisa TTCL ni shirika la umma, linaendeshwa kwa kodi zetu sisi wananchi. Pili, admin wote wa social networks ikiwa ni pamoja na Facebook wanalipwa mshahara kutokana na kodi zetu sisi wananchi, ni watumishi wetu wananchi. Tatu mnatumia social networks zenu kutoa taarifa kwa umma kuhusu...
  15. Sajo

    JamiiForums Tanzania TTCL wazindua huduma ya fiber yenye kasi zaidi

    DAR ES SALAAM: IN efforts to strengthen Tanzania’s communications infrastructure and expand access to reliable internet services across the country, the Tanzania Telecommunications Corporation (TTCL) has officially launched a new high-speed internet service dubbed “Faiba Supersonic Experience...
  16. mirindimo

    JamiiForums Tanzania TTCL inaendeshwa kisiasa au kitaalamu? Kwanini wanazima intaneti Jumapili mpaka Jumatatu?

    Haya mashirika inatakiwa yaendeshwe na mtu mwenye taaluma hata ya Utawala upande wa IT na sio mwana siasa. Sasa TTCL kwanini nyie kila Jpili mnazima Internet mpaka Jtatu mchana ? Hii huduma raia na walipa kodi wanalipia hamkupaswa kuzima au kupangia mtu atumieje maana ni pesa zake mwenyewe...
  17. Godee jr

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Mlikuja vizuri, mkatufungia router ndani, mkachukua details zetu na mkatutumia control number tukalipia 55,000. Cha kusikitisha tangu tulipie mwaka jana mwezi wa 8 hadi leo huduma haijawahi kupatikana. Tukiuliza tunajibiwa kuwa Power hakuna kwani wateja wamejaa. Tafadhali sana turudishieni pesa...
  18. zaza1

    JamiiForums Tanzania Sababu za kufeli kwa TTCL na nini ifanyike kulinusuru

    TTCL ni moja ya taasisi muhimu sana katika historia ya mawasiliano Tanzania. Ilikuwa uti wa mgongo wa mawasiliano ya taifa kwa miaka mingi. Hata hivyo, leo hii TTCL inaonekana kufeli au kuendelea kufanya underperform licha ya kuwa na rasilimali, miundombinu na nafasi ya kipekee kama shirika la...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO TTCL hawaajiri watu wanaofanya internship kwao, na hawalipi stahiki za watumishi wao

    Kumekuwa na changamoto ya ajira kwenye kampuni ya TTCL kwa zaidi ya miaka 3 sasa. Watu wanafanya sana kazi za internship bila kuajiriwa. Pia mikataba yao siyo mizuri; kwa zaidi ya miaka sasa intern wanalipwa tu posho, lakini hawana ajira za kudumu. Pia hawana bima wala NSSF. Watu wanaambiwa...
  20. Holota

    JamiiForums Tanzania Kuna aliyewahi kufanya hii kazi za TTCL fiber wakala?

    Wakuu naomba kuuliza Kuna aliyewahi kufanya hii kazi za TTCL fiber wakala?
Back
Top Bottom