Trafiki wapukutishwa barabarani, Vilio vyatawala

Trafiki wapukutishwa barabarani, Vilio vyatawala

Kwamba una upeo mkubwa!!!...acha hizo jamma yangu,huna upeo zaidi ya kimo Cha mbuzi
Hapana Ndugu Sina maana kwamba Mimi nina upeo mkubwa.......nimejaribu tu kutanabaisha tu hali Fulani kwenye jamii.....

Kimsingi hili suala la askari wa barabarani linahitaji mjadala mkubwa na yakinifu na sio kuchukuliwa juu juu kimihemko......maamuzi yoyote yanaweza kuleta kwa namna moja au nyingine......

Sote tunafahamu jinsi gani madereva wetu walivyo wazembe barabarani......
 
Tusuburi ajali za barabarani ziongezeke
Kwa technology iliopo, CCTV camera pamoja na adhabu kali kwa watakao fanya makosa vinatosha kudhibiti makosa. Makosa yanashamiri kwa utitiri wa trafiki barabarani ambao walikuwa wanapokea hata sh 1000 toka kwa waharifu.
 
Kuna yeyote humu amewahi kukamatwa na trafiki na akalipishwa faini bila kosa lolote? Be honest; yaliyo moyoni kwako wayajua mwenyewe.

Hizo rushwa za elfu 5 au 10 sio sisi wenyewe tunawabembeleza kukwepa kulipa elfu 30? Tunawalaumu kwa lipi kuhusu rushwa? Unless tunalaumu mapato ya serikali kupotea which I don't think kama ndicho kinacholalamikwa na madereva.
Weye utakuwa trafenga
 
Hapana Ndugu Sina maana kwamba Mimi nina upeo mkubwa.......nimejaribu tu kutanabaisha tu hali Fulani kwenye jamii.....

Kimsingi hili suala la askari wa barabarani linahitaji mjadala mkubwa na yakinifu na sio kuchukuliwa juu juu kimihemko......maamuzi yoyote yanaweza kuleta kwa namna moja au nyingine......

Sote tunafahamu jinsi gani madereva wetu walivyo wazembe barabarani......
Kuna siku nipo na Noah,nikatolewa upepo buku tano bila sababu za msingi,sikua na kosa...walikuwa wengi mno barabarani
 
Back
Top Bottom