Hivi wewe mzima kweli?walivyokua wamejazana barabarani ajali zilikuwepo au hazikuwepo?tena kwa taarifa yako kujazana kwao barabarani na kutufanya mradi wao ndio ajali zilizidi maana walikua wakipoozwa na buku 2 wanaachia hata magari mabovu,jambo la msingi hapa ni tufate sheria na mwenye gari akiwa hajatimia apigwe fine kweli na fine ifike sehemu husika uone kama madereva hawajanyooka.Tusuburi ajali za barabarani ziongezeke