Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Ajali haina Kinga mkuu bora tu ajali ziongezeke ila zile ef 1O/1O zetu ziponekumbuka ajali zitaongezeka sana maana walikuwa kwa kiasi fulani wanasaidia kuwadhibiti madereva washenzi
Ajali haina Kinga mkuu bora tu ajali ziongezeke ila zile ef 1O/1O zetu ziponekumbuka ajali zitaongezeka sana maana walikuwa kwa kiasi fulani wanasaidia kuwadhibiti madereva washenzi
Nimefurahi mno kama hili panga limetembea haswaWalikula vya watu Bure Bure Sasa wakubali kutapishwa,na kuwekwa juu ya mawe🤔
Sema Hawa wanalindana kwani Hilo nalo ni tawi la mapato la wanachukua chako mapema (ccm)Nimefurahi mno kama hili panga limetembea haswa
Kivulini, Riverside, Mpakani moja nililipa rushwa zingine nilikaza nikala vyeti 😂😂😂 sababu Zebra na Taa which of course hazikuwa real.Kuna yeyote humu amewahi kukamatwa na trafiki na akalipishwa faini bila kosa lolote? Be honest; yaliyo moyoni kwako wayajua mwenyewe.
Hizo rushwa za elfu 5 au 10 sio sisi wenyewe tunawabembeleza kukwepa kulipa elfu 30? Tunawalaumu kwa lipi kuhusu rushwa? Unless tunalaumu mapato ya serikali kupotea which I don't think kama ndicho kinacholalamikwa na madereva.
Huyo mtoto wa trafiki lazma atetee kibarua kinachowapa kula hapo line polisiKwahiyo ww ulikuwa ukiona sawa trafick kukaa makundi makundi vile barabarani utadhani pundamilia tena highway??
Arusha wamejiwekea na madau kabisa kuna ambao hawapokei chini ya 1OKIla Uhuru wa nchi ulikuwa unapotezwa na Trafiki, Arusha wameishi kwa mateso makali sana,
Waondolewe bwana mbona zama za Magufuli walikuwa wachache tu. Sahizi wanajazana kila baada ya kilometre moja wapo wanakubambikia kosa uwahonge buku 5-1OSiwapendi polisi kwa ula rushwa wao na usumbufu mwingi wanaoufanya barabarani, ila kitendo cha kuwaondoa sikubaliani nacho aslan.
Uzoefu unaonesha Watanzania kama punda, bila mkono wa chuma/mijeledi hawafuati sheria.
Hivyo kuwaondoa polisi itakuwa janga kwa watumia barabara.
Kuna njia nyingine za kusafisha hilo jeshi na sio kuwaondoa njiani.
Kuna mmoja kipande ashakula kaki yangu mataa ya Morroco pale wanakaaga chini ya mti. Sasa unajiuliza yule anakagua leseni kama nani?Mh. Kinana ongea na IGP amewasahau Tigo wasumbufu sana wanapendelea kua maeneo ya Oysterbay wawili nikiwakuta nitawavizia niwapige picha
Wale uwa wanajifanya ni traffic wanaomba na driving license Kazi Yao ni ipi
Hawa watu wanajishushia heshima wao na wanaiaibisha serikali, unakuwaje afisa wa serikali halafu unaokota buku mbili mbili barabarani, hii ni kuifanya serikali ionekane haijali maslahi ya watumishi wake hadi wategemee kuishi kwa hongo.Hahahahah nashukuru sana kwa hilo muda muafaka sasa wa kuamsha chombo changu 😂😂😂 afadhali nikomae na mafuta sheli ila sio hawa shenzi waliokuwa wametugeuza shamba labibi
Check point bado zipo na si kwamba hawatakuwepo kabisa, IGP siyo mjinga.kumbuka ajali zitaongezeka sana maana walikuwa kwa kiasi fulani wanasaidia kuwadhibiti madereva washenzi
Sema hujui tu nguvu ya buku mbili mara 30 per dayHawa watu wanajishushia heshima wao na wanaiaibisha serikali, unakuwaje afisa wa serikali halafu unaokota buku mbili mbili barabarani, hii ni kuifanya serikali ionekane haijali maslahi ya watumishi wake hadi wategemee kuishi kwa hongo.
Waende wakaishi kama "mashetani"
Gazeti la Raia Mwema limeripoti kwamba tayari panga limekwisha tembea, huku MCHEZO WA UPATU waliokuwa wanacheza Trafiki hao kila siku ukibaki njia panda , kwa vile wengi wamepangiwa kazi zingine ambazo haziingizi chochote zaidi ya Mshahara , TAARIFA ZINADOKEZA KWAMBA TRAFIKI WENGINE WALIKUWA NA MCHEZO WA UPATU WA KULIPA HADI SH LAKI MOJA KWA SIKU , ambapo inaelezwa kwamba chanzo cha hela hizo ilikuwa ni Rushwa za barabarani .
Kwa mujibu wa gazeti hilo , Trafiki wengi wanamlaumu Kinana kwa kuibua jambo hilo .
Endelea kubaki JF kwa taarifa zaidi.
PIA SOMA: Kinana akerwa na Utitiri wa Traffic barabarani. Atoa maagizo mazito kwa Afande IGP Camilius Wambura
Kagoogle tafadhaliSifahamu, Mkuu. Naomba unipe darasa ya hii kitu na mimi nikatambe mtaani.
Acha kujitetea sana, Kwani stika za usalama annually zinatolewa bila inspection!? Sasa uwe wakati Muafaka kukagua na kutoa stika Kwa chombo kulichokidhi matakwa ya kisheria... teknoloji ina limitations zake; makosa ya barabarani ambayo yanaweza kuwa monitored na teknoloji ni baadhi - speed, wrong overtaking, unpaid fines, expired insurances, stika ya nenda kwa usalama, etc. Kuna mengine yanahitaji human intervention - driving without/expired driving license, kutofunga mkanda, kuendesha bila viatu, kutokuwa na fire extinguisher, kutokuwa na triangles, drunkenness, etc.
Wanakagua nini kila km 100!? Acha kuhalalisha rushwaMjini ndo wapunguzwe. Vituo vya ukaguzi viwekwe kila km 100 barabara za mikoani.
Wala hamna shida....kufa kufaana. Wakifa hawa wataneemeka wengine such is the circle of life.na kweli, itakuwa shida sana tena sana
... dah; hivi ni magari yote yanaanzia mji hadi mji? Si kuna yanayoanzia katikati na kuishia huko huko katikati? Fikria mlevi aliyetoka zake kulewa Ruvu JKT Club anaishia Vigwaza na yuko chakari; inakuwaje?Wanakagua nini kila km 100!? Acha kuhalalisha rushwa