Hilo hawakutakiwa kulifanya sasa wakati wa vikao vya serikali na Wafanyabiashara , hicho ni kiburiZima afu washa hiyo machine,then tupe picha ya karatasi ndogo itayotoka hapo ili tuamini unachosema au ni wew tu matumizi yako mabovu au z report hujatuma na zimeshafika nne...weka picha
TRA TanzaniaWako wafanyabiashara kadhaa EFD zao zimezimwa na TRA na zinaonyesha ujumbe mzuri kabisa DEVICE BLOCKED BY TRA bila kusema sababu. Hii inawezekanaje wakati ambao TRA inahamasisha toa risiti dai risiti?!
Wewe acha nadharia sisi tuko field tunakupa hali halisiZima afu washa hiyo machine,then tupe picha ya karatasi ndogo itayotoka hapo ili tuamini unachosema au ni wew tu matumizi yako mabovu au z report hujatuma na zimeshafika nne...weka picha
Wako wafanyabiashara kadhaa EFD zao zimezimwa na TRA na zinaonyesha ujumbe mzuri kabisa DEVICE BLOCKED BY TRA bila kusema sababu. Hii inawezekanaje wakati ambao TRA inahamasisha toa risiti dai risiti?!
Ukiona mpaka EFD mashine imekuwa blocked, ujue hao wafanyabiashara ni defaulters linking!. Siku hizi kukiwa na issues zozote, kwanza unatumiwa SMS, kisha unapigiwa simu ufike TRA, ukikaidi ndipo sasa EFD machine inakuwa blocked na ujumbe ufike TRA.Wako wafanyabiashara kadhaa EFD zao zimezimwa na TRA na zinaonyesha ujumbe mzuri kabisa DEVICE BLOCKED BY TRA bila kusema sababu. Hii inawezekanaje wakati ambao TRA inahamasisha toa risiti dai risiti?!
Ukiona mpaka EFD mashine imekuwa blocked, ujue hao wafanyabiashara ni defaulters linking!. Siku hizi kukiwa na issues zozote, kwanza unatumiwa SMS, kisha unapigiwa simu ufike TRA, ukikaidi ndipo sasa EFD machine inakuwa blocked na ujumbe ufike TRA.
P
Si kuna namba ya simu? Kwa nn wasipige simu hadi wazime mashine?Huna Deni Tra Mkuu? Mhusika Tra anaweza Block machine kukuita mkayazungumze Ofisini.
Na waTz tulivyo jeuri anasubiri mpaka ifungwe ndo aende uskute hapo alishapigiwa simu sana aende na kuleta dharau anasubiri aseme anaonewa.Ukiona mpaka EFD mashine imekuwa blocked, ujue hao wafanyabiashara ni defaulters linking!. Siku hizi kukiwa na issues zozote, kwanza unatumiwa SMS, kisha unapigiwa simu ufike TRA, ukikaidi ndipo sasa EFD machine inakuwa blocked na ujumbe ufike TRA.
P
Wako wafanyabiashara kadhaa EFD zao zimezimwa na TRA na zinaonyesha ujumbe mzuri kabisa DEVICE BLOCKED BY TRA bila kusema sababu. Hii inawezekanaje wakati ambao TRA inahamasisha toa risiti dai risiti?!
Nchi inageuka kuwa ya Wagagagigikoko.Wako wafanyabiashara kadhaa EFD zao zimezimwa na TRA na zinaonyesha ujumbe mzuri kabisa DEVICE BLOCKED BY TRA bila kusema sababu. Hii inawezekanaje wakati ambao TRA inahamasisha toa risiti dai risiti?!
Inategemea na situation sometime no haipatikani, ama mdaiwa sugu, ama mtu anaitwa haendi hadi afungiwe etcSi kuna namba ya simu? Kwa nn wasipige simu hadi wazime mashine?
kila EFD blocked kuna kiji ujumbe imekuwa blocked na nani na unatakiwa uende wapi, ukamuone nani ambaye atakuwa alikupigia simu kukueleza tatizo na unahitajika.Utaratibu ni lazima useme sababu ya kublock na jina la Afisa uliyeblock.
Sizani kama Z report zikifika nne bila kutuma inakuwa hivyo, kwa maana Mimi binafsi kipindi cha sikukuu nafunga biashara Tar 23 December na kuja kufungua ni tar 3January na mashine naifungia humo humo na nikirudi inafanya kazi kama kawaida na Hata nikienda kukadiriwa hawaulizi kwanini siku zote hizo hujatuma z report kwa maana wanajua ni msimu wa sikukuu lazma bishara nyingi watu wako likizo......Zima afu washa hiyo machine,then tupe picha ya karatasi ndogo itayotoka hapo ili tuamini unachosema au ni wew tu matumizi yako mabovu au z report hujatuma na zimeshafika nne...weka picha