Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Nyumbani nilidanganya nasoma masomo ya udaktari kumbe nishaama kitambo....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni noumaaaah
 
Niliowafundisha masomo ya preform one kwa sasa wapo US mimi nimebaki TZ

Nilisoma O level kwenye shule ambayo sisi tulikuwa waanzilishi...

Kufika form II mwalimu akapata kitoto tumboni mara akagoma kutufundisha hisabati nikakosa msingi wa hesabu lakini form IV haikuwa haba chuo niliondoka na B+
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hongeraaaa
 
Nimepiga Business combination, commerce nlikua nalipua A tupu o level, zngne Bk na number ilikua average, ila commerce nilioa kabisa iyo 2014, advance sasa nikaambulia C flat iyo 2016 one ya kinyonge
 
Genius kweli kupata A ya hesabu miaka ya 2006 kushuka chini sii mchezo mchezo japo hadi leo madogo wanafeligi tu na material zipo za kutosha sijui shida ipo wapi kama 2021 81% ya wanafunzi 0 level wamepiga F mkuu ya mathe percent 4 walipata A mimi mtoto wa mama mdogo ana 1 ya 12 kama liza last year ila Physics ana F hesabu ana D nilitamani nimzabe kibao japo Mimi sio mzazi wake

Like seriously bro [emoji19][emoji19][emoji19]
Duuh 😂😂😂 kuna shida sana.
 
Genius kweli kupata A ya hesabu miaka ya 2006 kushuka chini sii mchezo mchezo japo hadi leo madogo wanafeligi tu na material zipo za kutosha sijui shida ipo wapi kama 2021 81% ya wanafunzi 0 level wamepiga F mkuu ya mathe percent 4 walipata A mimi mtoto wa mama mdogo ana 1 ya 12 kama liza last year ila Physics ana F hesabu ana D nilitamani nimzabe kibao japo Mimi sio mzazi wake

Like seriously bro [emoji19][emoji19][emoji19]
Wala sio ugenious, yaani hesabu mimi was my weakest point. Kwanza mitihani ya shule ukiangalia ripoti zangu form 1 hadi 4 hesabu nilikua always na score C, sijawahi kuwa hata na B ya hesabu kwenye ripoti, na hilo ndo somo nililokua nafanya vibaya zaidi.
Ila nilikua na mkakati kabambe, hesabu O level yote mimi nimeisoma kwa lengo moja tu, kufaulu NECTA. Yaani kila siku nilikua najiandaa kuikabili NECTA, solve sana past pepa za hesabu NECTA. Hata ukinikurupua any time nilikua najua Topics za maswali ya Section B. Nilikua na plan yangu kabisa kuwa section B nafanya maswali gani, na pia nilikua naanzia kufanya pepa section B. Section B nakumbuka ilikua na marks 40, maswali 6, ila unachagua manne. Kuna topics hizo sijui Trig, Circle, Vector sijawahi kuhangaika nazo kabisa. Maswali yake nilikua naacha tu.
Ile NECTA nina uhakika section B kama niliacha marks hazizidi 5.
Ile A ya hesabu NECTA hadi mzee alishtuka, hakuitegemea alikua anajua mimi hesabu sina changu.
Ile pepa niliifaulu kwa mikakati ya muda mrefu sana.
 
Wala sio ugenious, yaani hesabu mimi was my weakest point. Kwanza mitihani ya shule ukiangalia ripotinzangu form 1 hadi 4 hesabu nilikua always na score C, sijawahi kuwa hata na B ya hesabu kwenye ripoti, na hilo ndo somo nililokua nafanya vibaya zaidi.
Ila nilikua na mkakati kabambe, hesabu O level yote mimi nimeisoma kwa lengo moja tu, kufaulu NECTA. Yaani kila siku nilikua najiandaa kuikabili NECTA. Hata ukinikurupua any time nilikua najua Topics za maswali ya Section B. Nilikua na plan yangu kabisa kuwa section B nafanya maswali gani, na pia nilikua naanzia section B. Section B nakumbuka ilikua na marks 40, maswali 6, ila unachagua manne. Ile NECTA nina uhakika section B kama niliacha marks hazizidi 5.
Ile A ya hesabu NECTA hadi mzee alishtuka, hakuitegemea alikua anajua mimi hesabu sina changu.
Ile pepa niliifaulu kwa mikakati ya muda mrefu sana.
Duuuh kongole kwako mkuuu 🔥 🤒 umekaa kimkakati kwelikweli 😕
 
Nimepiga Business combination, commerce nlikua nalipua A tupu o level, zngne Bk na number ilikua average, ila commerce nilioa kabisa iyo 2014, advance sasa nikaambulia C flat iyo 2016 one ya kinyonge
Siyo mbaya c flat kwa mwaka huo ata 1 ya 3 ECA haikuepo
 
Salaam wana jamvi,

Matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaendelea. Straight to the point, tukumbuke enzi za kitabu, kiukweli kuna topic ziliwahi nisumbua wakati nasoma moja wapo ilikuwa ni Electromagnetism na Co-ordinate II, share na wewe topic ambazo zilikuwa pasua kichwa kwako.
A-level physics yote tu, ilinikimbiza balaa, naiota Hadi leo
 
Ila Tombilo na appreciate efforts zako mkuu numbers talks well
Its very much true

Bila hesabu dunia haiendi pesa yenyewe lazima upige budget ya hesabu sema watu wanaipuuzia sana betting ni pure probability ile kitu kabisa hata kuvuka barabara ni integration sema Mungu kalegeza mafuvu yetu hivyo tukifanya vitu vya kawaida hatuioni kihivyo but in real sense ndo hivyo
 
Back
Top Bottom