Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Hapo sasa.....😂😂😂😂 Sawa si wakupambania acha tutoe tuu
Watuchune weee mpka basi ila uhakika upo wa kupata 😂😂
Yes kabisa tena napataga wenye matako makubwa ila sura 🤮🤮🤮🤢🤢 aah inakatisha stimu sana nina nyota chafu hapo kwenye kupata mwenye sura nzuri
 
Yes kabisa tena napataga wenye matako makubwa ila sura 🤮🤮🤮🤢🤢 aah inakatisha stimu sana nina nyota chafu hapo kwenye kupata mwenye sura nzuri
Na sisi tunaangalia hayo hayo ma youtong... Sura hapana😂😂😂
 
Salaam wana jamvi,

Matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaendelea. Straight to the point, tukumbuke enzi za kitabu, kiukweli kuna topic ziliwahi nisumbua wakati nasoma moja wapo ilikuwa ni Electromagnetism na Co-ordinate II, share na wewe topic ambazo zilikuwa pasua kichwa kwako.
Topic zifuatazo za hesabu zilinitesa sana:
1.Trigonomtric ratio-Hizi swali lake nilikua hata sijisumbui kabisa kugusa, likiwa section A nahesabu tu hizo marks nimezikosa. O level yangu nzima nimesoma Maths, sijawahi kufanya swali la Trig.
2.Circles-Hizi pia nilikua sizigusi kabisa. Uzuri hizi karibu mara zote zilikua zinatoka section B, ambayo ilikua ni section unachagua maswali manne kati ya sita ambayo umepewa, so nilikua na luxury ya kutoligusa. Hii topic sikuisoma kabisa, na wala sijawahi kuligusa swali lake pia
 
Topic zifuatazo za hesabu zilinitesa sana:
1.Trigonomtric ratio-Hizi swali lake nilikua hata sijisumbui kabisa kugusa, likiwa section A nahesabu tu hizo marks nimezikosa. O level yangu nzima nimesoma Maths, sijawahi kufanya swali la Trig.
2.Circles-Hizi pia nilikua sizigusi kabisa. Uzuri hizi karibu mara zote zilikua zinatoka section B, ambayo ilikua ni section unachagua maswali manne kati ya sita ambayo umepewa, so nilikua na luxury ya kutoligusa. Hii topic sikuisoma kabisa, na wala sijawahi kuligusa swali lake pia
Ungekaza....
 
Topic zifuatazo za hesabu zilinitesa sana:
1.Trigonomtric ratio-Hizi swali lake nilikua hata sijisumbui kabisa kugusa, likiwa section A nahesabu tu hizo marks nimezikosa. O level yangu nzima nimesoma Maths, sijawahi kufanya swali la Trig.
2.Circles-Hizi pia nilikua sizigusi kabisa. Uzuri hizi karibu mara zote zilikua zinatoka section B, ambayo ilikua ni section unachagua maswali manne kati ya sita ambayo umepewa, so nilikua na luxury ya kutoligusa. Hii topic sikuisoma kabisa, na wala sijawahi kuligusa swali lake pia
Circle 2019 haikutoka necta ilaaaa 🤣🤣 🤺 trig mbona sexy sana tu
 
Ungekaza....
Mimi hesabu niliisoma kismart sana mkuu. Ile wanasema "work smart". Nilinyoosha banda langu O level. Enzi hizo banda banda kweli, sio sasa hivi mzee baba. Nilikua naisoma hesabu kimkakati sana. Section B najua maswali yangu:
-Simultaneous equations
-Linear Programming
-Probablity
-Functions
-Sets
-Arithmetic & Geometric Progressions.
Section B nachagua manne kati ya hayo, nina uhakika hapo sikosi 35/40. Section A naokota ninayoyaweza yasiyohusiana na Trig, circle, wala vector, hapo sikosi 41/60. Banda la 81 hili hapa.
 
Mimi hesabu niliisoma kismart sana mkuu. Ile wanasema "work smart". Nilinyoosha banda langu O level. Enzi hizo banda banda kweli, sio sasa hivi mzee baba. Nilikua naisoma hesabu kimkakati sana. Section B najua maswali yangu:
-Simultaneous equations
-Linear Programming
-Probablity
-Functions
-Sets
Mmmmh genious
 
Mmmmh genious
Genius kweli kupata A ya hesabu miaka ya 2006 kushuka chini sii mchezo mchezo japo hadi leo madogo wanafeligi tu na material zipo za kutosha sijui shida ipo wapi kama 2021 81% ya wanafunzi 0 level wamepiga F mkuu ya mathe percent 4 walipata A mimi mtoto wa mama mdogo ana 1 ya 12 kama liza last year ila Physics ana F hesabu ana D nilitamani nimzabe kibao japo Mimi sio mzazi wake

Like seriously bro [emoji19][emoji19][emoji19]
 
Back
Top Bottom