Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Niliowafundisha masomo ya preform one kwa sasa wapo US mimi nimebaki TZ

Nilisoma O level kwenye shule ambayo sisi tulikuwa waanzilishi...

Kufika form II mwalimu akapata kitoto tumboni mara akagoma kutufundisha hisabati nikakosa msingi wa hesabu lakini form IV haikuwa haba chuo niliondoka na B+
 
Nilikuwa na mtoto wa kinyarwanda unafikiri hata nilikuwa naangaika basi, na nilikuwa naishi nae maskani.... yeye ndio alikuwa anazifaidi
Mimi hapo kwenye maswala ya kuwadekeza na kuhonga ke kumenipitia mbali kabisa 😹😹 nafaidi pekeangu alafu nipo chama cha uwabata na CHAPUTa hivyo ni self service inatosha kabisa
 
Ahahahahahah daah kijana.. ukawa unachota za hom + boom unatumia na mnyarwanda khaa
Mnyarwanda siku tunaachana tulijifungia ndani tukalia kinomaa yani, huku tunabembelezana.. maana ilikuwa anasepa uwezekano wa kukutana tena tukawa tunaona kabisa mgumu.. tulijifungua chumbani na kulia sana sito sahahu iyo siku
 
Ahahahahah huo ushamba sasa...
Si tuna honga mbona kawaida
Aaaah mi hapana acha nibaki na udomo zege na pesa zangu siwezi kuhonga demu alafu akaze papuchi aliwe na boda au muosha vyoo vya bar au stand no way hapo

Wala sina mpango wa kutongoza kabisa demu asiponianza napita πŸ‘‰ ninalist ya wake za watu wengi na masista naweza kugonga any time bro

Pili kwa appearance yangu nikimuanza demu kumtongoza ntakuwa nimejishusha hadhi sana 😹😹 ningekuwa sina mvuto hapo ninge honga ila nipo fresh sana hivyo siwezi mkuu πŸ˜’
 
Aaaah mi hapana acha nibaki na udomo zege na pesa zangu siwezi kuhonga demu alafu akaze papuchi aliwe na boda au muosha vyoo vya bar au stand no way hapo

Wala sina mpango wa kutongoza kabisa demu asiponianza napita πŸ‘‰ ninalist ya wake za watu wengi na masista naweza kugonga any time bro

Pili kwa appearance yangu nikimuanza demu kumtongoza ntakuwa nimejishusha hadhi sana 😹😹 ningekuwa sina mvuto hapo ninge honga ila nipo fresh sana hivyo siwezi mkuu πŸ˜’
Hapo sasa.....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sawa si wakupambania acha tutoe tuu
Watuchune weee mpka basi ila uhakika upo wa kupata πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom