Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,558
- 55,302
Kwahiyo unataka kusema hakuna kitu kama hicho 😂😂😂😂Ni tag huo uzi aisee mimi huyu huyu
Kwahiyo unataka kusema hakuna kitu kama hicho 😂😂😂😂Ni tag huo uzi aisee mimi huyu huyu
Muhas Pa Moto sana Mkuu...Nilikua hata sipataki but I always committed to go and do my best kule medical school hata kama ingekua wapi I just wanted to become the best version doctor of myself ila sio pale Muhas uanze kuwaza kuliwa kichwa Mapema![]()
Aah msuli wa Muhas ni Mungu tu anayefahamu kuna demu namjua alikuwa wa 8 tz form 4 form 6 akapiga 1 ya 4 B ya physics
Ila akaenda muhas alikonda kama pipi japo alikuwa anatusua ila cha moto alikiona kaolewa mwaka jana mkuuu![]()
Saivi kajaxia kidogo minyama nyama![]()
Muhas sio pa mchezo
Nimecheka kwamba alikonda kama pipi...alafu wale ma prof wana sifa sana kaka...Kuna mmoja alitaka kunila kichwa clinical kizembe kisa nimechanganya kernign na brudzinski sign kwa cryptococo men pt sababu hujamaliza ku examin hiki unaambiwa hiki nilidata...kule ni vita![]()
Aah msuli wa Muhas ni Mungu tu anayefahamu kuna demu namjua alikuwa wa 8 tz form 4 form 6 akapiga 1 ya 4 B ya physics
Ila akaenda muhas alikonda kama pipi japo alikuwa anatusua ila cha moto alikiona kaolewa mwaka jana mkuuu![]()
Saivi kajaxia kidogo minyama nyama![]()
Muhas sio pa mchezo
Ulienda muhas mkuu au![]()
Aah msuli wa Muhas ni Mungu tu anayefahamu kuna demu namjua alikuwa wa 8 tz form 4 form 6 akapiga 1 ya 4 B ya physics
Ila akaenda muhas alikonda kama pipi japo alikuwa anatusua ila cha moto alikiona kaolewa mwaka jana mkuuu![]()
Saivi kajaxia kidogo minyama nyama![]()
Muhas sio pa mchezo
Ni kweli kabisaaa.Yes maana atakutana na Arabian Plate,African Plate na Eurasian Plate.Halafu Pale lilipotokea tetemeko ni Anatolian plate. Juu Anatolian block inamove kwenda towards mediterranean sea,halafu kuna Faults kaskazini na mashariki ya hiyo Anatolian Block. Hapo ndo mziki upo. Hapo matetemeko si jambo la kushangaza kwa sababu tecnotic activities zipo active.
Yaan acha kabisaa,Alafu maswali sijui wanayachomoleaga wapi ..?






Muhas Pa Moto sana Mkuu...Nilikua hata sipataki but I always committed to go and do my best kule medical school hata kama ingekua wapi I just wanted to become the best version doctor of myself ila sio pale Muhas uanze kuwaza kuliwa kichwa Mapema
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app



Nimecheka kwamba alikonda kama pipi...alafu wale ma prof wana sifa sana kaka...Kuna mmoja alitaka kunila kichwa clinical kizembe kisa nimechanganya kernign na brudzinski sign kwa cryptococo men pt sababu hujamaliza ku examin hiki unaambiwa hiki nilidata...kule ni vita
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app



daah hapana asee ndo maana bios niliisukumia mbali kwanzia form 2


No sikuenda ila kuna mashkaji zangu walienda wa batch ya juu niliyosoma hata huyo demu


daah Kaka ni balaa...Pole Kwa Ban Mkuu....ulikiwasha nn mods wakakutaitidaah hapana asee ndo maana bios niliisukumia mbali kwanzia form 2
Hii ni id yangu mpya mkuu hiyo imepigwa ban usiku wa jana![]()
Acha tu jana kuna uzi ulikuwa una mashogs nikawatukana sana mmoja wao akamtag mods ndo nikalimwa ban ila all in all I'm back againKaka ni balaa...Pole Kwa Ban Mkuu....ulikiwasha nn mods wakakutaiti
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Mzee ni hatari Sana....Pale ni balaa Sana yani ni pamoto balaa...ila wana wengi wanakua vzur japo med school ukikaza unatoboa tu japo kwa joto kaliNo sikuenda ila kuna mashkaji zangu walienda wa batch ya juu niliyosoma hata huyo demu
Kuna mdau wangu mwingine wa corona batch alipiga 1 ya 6 PCB alienda huko ndo alikuwa ananipa mastory watu wako serious
Huwezi amini yeye ndo alikuwa kilaza darasa lao mwanzo maana hamna mwenye 1 chini ya 5 corona batch just imagine ye mwenyewe aliponea chupu chupudaah
Wakati skonga yeye ndo alikuwa bichwa letu pale
Muhas for the brightest onlyMzee ni hatari Sana....Pale ni balaa Sana yani ni pamoto balaa...ila wana wengi wanakua vzur japo med school ukikaza unatoboa tu japo kwa joto kali
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
We keep grinding....hao was*ng* wanatuharibia jamii sana basi TuAcha tu jana kuna uzi ulikuwa una mashogs nikawatukana sana mmoja wao akamtag mods ndo nikalimwa ban ila all in all I'm back again
Nilienda Cuhas kaka bugando hapoMuhas for the brightest only
Ila vipi ww ulipiga wapi mkuuu
Mi bora nipigwe ban tu ila ntawakemea mpaka mwishoWe keep grinding....hao was*ng* wanatuharibia jamii sana basi Tu
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Ooh sawa ila si ushamaliza eeh sio
Kuna huyo mmoj tulipiga nae intern yuko vizur balaa...Na bro Wang nae alipiga muhas yuko vizur sana ile misuli hiwa haitembei bureMuhas for the brightest only
Ila vipi ww ulipiga wapi mkuuu
Yah Bro nilimaliza pale 2020...intern Nikaua 2021 so sahivi nasota mtaa TuOoh sawa ila si ushamaliza eeh sio