Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

Wapi ww kwaiyo saivi umehamishia karata kwa wake za watu na kuomba 0714 sio ukubwa dawa kwelikweli 😕 🤣🤣🤣🤣
😅😅😅 Mke wa mtu hapana, naheshimu sana ndoa na mahusiano ya mtu. Usela nilisha acha zamani sasa hivi nimetulia tulii
 
Sema wanangu nimegundua ukisoma vitu vigumu A level alagu chuo ukasoma course rahisi kama za computer au za biashara au zozote zile yaani kufaulu kupo nje nje wanangu yaani mi chuo sina stress kabisa daah yaani masomo magumu A level yana panua sana akili

Shule niliyosoma kuna batch ya 2017 janaa alipiga
Physo A
Chem B
Mathe C
Akachukua petroleum engineering na CPA yaani mwamba kafaulu kinoma CPA alichukua best student kabisa kawafunika hadi wale na t.o wa biashara kabisa yupo B.O.T saivi

Hivyo masomo ya sayansi yana umuhimu wake sana tu
 
Sema wanangu nimegundua ukisoma vitu vigumu A level alagu chuo ukasoma course rahisi kama za computer au za biashara au zozote zile yaani kufaulu kupo nje nje wanangu yaani mi chuo sina stress kabisa daah yaani masomo magumu A level yana panua sana akili

Shule niliyosoma kuna batch ya 2017 janaa alipiga
Physo A
Chem B
Mathe C
Akachukua petroleum engineering na CPA yaani mwamba kafaulu kinoma CPA alichukua best student kabisa kawafunika hadi wale na t.o wa biashara kabisa yupo B.O.T saivi

Hivyo masomo ya sayansi yana umuhimu wake sana tu
Chuo bata eeeh
 
😀😀😀 ndo maana Maths ngumu aisee kumbe mwasisi Muumba
We hukujua hadi Isaac newton alisemaga eti siku ya mwisho ipo kwenye biblia ila imefungwa in form of numbers ila ali calculate akasema itakuwa >= 2060 google utaona mzee yaani hadi

Tesla alisema siri ya ulimwengu ipo kwenye 3,6,9 hapo tu

Mark of the beast 666 = vicarius filii dei kofia ya papa hiyo ipo ufunuo

Hivyo kwa wenye akili hata biblia ni rahisi sana kuielewa 😵🤔
 
Back
Top Bottom