Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Mungu wako aligongwa misumari, akapachikwa juu ya msalaba na kudhalilishwa, akafa! sasa unashangaa mtume kupatwa na kauchawi tu? 😀 😀 😀
Asante kwa kukiri mudi kologwa , kitendo icho moja kwa moja kinasema mudi kuruani aliitunga akiwa kalogwa , taratibu unakubali kuruani ni aya za shaitan
 
Asante kwa kukiri mudi kologwa , kitendo icho moja kwa moja kinasema mudi kuruani aliitunga akiwa kalogwa , taratibu unakubali kuruani ni aya za shaitan
Asante kwa kukiri kuwa Mungu kuchomwa misumari ni jambo la kipumbavu kuamini. Kidogo kidogo utajua tu kama unaabudu msukule
 
Asante kwa kukiri kuwa Mungu kuchomwa misumari ni jambo la kipumbavu kuamini. Kidogo kidogo utajua tu kama unaabudu msukule
Kitendo cha Yesu kufa msalabani nakikiri kwa nguvu zote aliteswa akawambwa msalabani akasulubiwa akafu akafufuka , hiyo ndo imani yangu

Ila hakuna maali shaitani kammshinda Yesu ,

Mudi ni binadamu wa kawaida na alilogwa na kukabwa na shaitani , alioa wanawake wengi kupita kiasi , akuishia apo akaoa mtoto wa miaka 6 , kapora mke wa mtoto wake , kaua watu yani ni shaitan alikuwa anamuongoza
 
Kitendo cha Yesu kufa msalabani nakikiri kwa nguvu zote aliteswa akawambwa msalabani akasulubiwa akafu akafufuka , hiyo ndo imani yangu

Ila hakuna maali shaitani kammshinda Yesu ,

Mudi ni binadamu wa kawaida na alilogwa na kukabwa na shaitani , alioa wanawake wengi kupita kiasi , akuishia apo akaoa mtoto wa miaka 6 , kapora mke wa mtoto wake , kaua watu yani ni shaitan alikuwa anamuongoza

- Alhamdulillah tayari ushaanza kujitambua kuwa unaabudu mzoga. Hakika Mungu wa kweli ni mmoja tu nae ni Allah s.w, na hakuna mwenye uwezo wa kumdhuru. Umepiga hatua kutambua kuwa anaesulubiwa ni mwanadamu na sio mungu na anaekufa ni mwanadam na sio mungu.

- Mtume wetu alikuwa binaadam wa kawaida ndio, wala hakuna mahala alipojisifia kuwa yeye ni perfect. Na Allah alitaka kutuonesha kuwa huyu ni wa kawaida tu tusije kumuabudu kama walivofanya makafiri kumuabudu Yesu na kumwita Mungu ilhali bibilia inaonesha hakuwa Mungu.

- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Kuoa mtoto wa miaka sita hadi sasa hujaleta ushahidi kutoka ndani ya Quran. Kama unao lete. Usisahau Mungu wako kampa mimba katoto cha miaka 13.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?
 
- Alhamdulillah tayari ushaanza kujitambua kuwa unaabudu mzoga. Hakika Mungu wa kweli ni mmoja tu nae ni Allah s.w, na hakuna mwenye uwezo wa kumdhuru. Umepiga hatua kutambua kuwa anaesulubiwa ni mwanadamu na sio mungu na anaekufa ni mwanadam na sio mungu.

- Mtume wetu alikuwa binaadam wa kawaida ndio, wala hakuna mahala alipojisifia kuwa yeye ni perfect. Na Allah alitaka kutuonesha kuwa huyu ni wa kawaida tu tusije kumuabudu kama walivofanya makafiri kumuabudu Yesu na kumwita Mungu ilhali bibilia inaonesha hakuwa Mungu.

- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Kuoa mtoto wa miaka sita hadi sasa hujaleta ushahidi kutoka ndani ya Quran. Kama unao lete. Usisahau Mungu wako kampa mimba katoto cha miaka 13.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?
Vizuri embu kiri na hili

Sahih Muslim (8: 3311) - Msichana huyo alichukua dolls zake kwenda naye nyumbani kwa Muhammad (kitu cha kucheza na wakati "nabii" huyo akifanya ngono naye).

Sahih Bukhari (6: 298) - Muhammad angeoga na msichana huyo mdogo na kumfurahisha.
 
Vizuri embu kiri na hili

Sahih Muslim (8: 3311) - Msichana huyo alichukua dolls zake kwenda naye nyumbani kwa Muhammad (kitu cha kucheza na wakati "nabii" huyo hakufanya ngono naye).

Vizuri embu kiri na hili

Sahih Muslim (8: 3311) - Msichana huyo alichukua dolls zake kwenda naye nyumbani kwa Muhammad (kitu cha kucheza na wakati "nabii" huyo hakufanya ngono naye).

Sahih Bukhari (6: 298) - Muhammad angeoga na msichana huyo mdogo na kumfurahisha.

- Muhammad angeoga na msichana huyo mdogo na kumfurahisha.

- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?

Maliza ulichoanza basi kwanza...
 
Mudi angekuwepo Leo hii kwa kupenda ngono na vitoto tungemfunga maisha na dini yako ingeishia apo, au angekuwa kapata ukwimwi maana alikula mpaka mke wa mtoto wake alikuwa mpaka kapitisha ndoa na Malaya yani ukiwa ugenini unachukua Malaya unaoa kiislamu ukiondoka unatoa talaka
- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?

Maliza ulichoanza basi kwanza...
 
- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?

Maliza ulichoanza basi kwanza...
Da apo mudi anamshanga mwenzake kaoa mwanamke mkubwa anataka aoe katoto

Sahih Muslim (8: 3460) - "Kwa nini hakuoa msichana mchanga ili uweze kucheza naye na yeye akacheza na wewe, au unaweza kufurahishwa naye na anaweza kukufurahisha?" Muhammad aliuliza swali hili kwa mmoja wa wafuasi wake ambaye alikuwa ameoa "mwanamke mzee" badala ya kuamua kumpendeza mtoto.
 
Da apo mudi anamshanga mwenzake kaoa mwanamke mkubwa anataka aoe katoto

Sahih Muslim (8: 3460) - "Kwa nini hakuoa msichana mchanga ili uweze kucheza naye na yeye akacheza na wewe, au unaweza kufurahishwa naye na anaweza kukufurahisha?" Muhammad aliuliza swali hili kwa mmoja wa wafuasi wake ambaye alikuwa ameoa "mwanamke mzee" badala ya kuamua kumpendeza mtoto.
- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?

Maliza ulichoanza basi kwanza...

Mungu wa wakiristo alisema:

Hesabu 31:18
Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.
 
- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?

Maliza ulichoanza basi kwanza...

Mungu wa wakiristo alisema:

Hesabu 31:18
Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.
Mudi kaleta haya ili kuoa mke wa mtoto wake

Muhammad alimpenda Zainab wakati bado alikuwa ameolewa na mtoto wake wa kulelewa. Nakala hii inazua juu ya harakati ya Muhammad ya Zainab, mke wa Zaid. Maquraishi inatuambia kwamba Muhammad alipokea vifungu vya roho kutoka kwa Mwenyezi Mungu akimpa ruhusa ya kumuoa binti-wake. Sio tu kwamba hii inazua maswali ya kimaadili juu ya tabia ya Muhammad, lakini pia inapeana tuhuma juu ya madai kwamba mafundisho yake yalikuwa ni ufunuo wa kimungu au ni njia nzuri kwa urahisi wa kibinafsi. Je! Mwenyezi Mungu angewezaje kuhamasisha aya katika Qur'ani zinazoruhusu tamaa ya mtu kwa mke wa mtu mwingine? Je! Dini linaloweza kupotoshwa kama hili linaweza kutoka kwa Mungu wa kweli?
 
Chain ya mapokezi ndio mboga gani??[emoji12]hizo stori hakuandika MKRISTO wala maadui wa mo ilaha NI vipenzi vyake na waumini WAISILAMU [emoji106]sasa tukusikilize wewe wa viroba?? Jidunge ndoba usepe [emoji44][emoji12] na hii utataka chain wakati huko pakstan MTU kahukumiwa kanyongwa kwa kupiga shuzi kama bomu msikitini![emoji44][emoji116]View attachment 1170420View attachment 1170442

Nilijua kwenye chain ya wapokezi wa hadithi utaharisha povu na umelimwaga haro la nguvu
Pyuuuuuu
Sasa katoe sadaka kwa yesu yuko Kenya upate kujengewa nyumba mbinguni

Padri huyo unayemuabudu ukapera umemshinda ,mumebaki kuzamiana lulu mabogani.
emoji12.png
emoji12.png
emoji12.png


Pesa ya saruji na mabati ulishampa huyo unayemuabudu akujengee nyumba mbinguni??😛
 
Nyie, huyo mnaemwita "Yesu" akirudi leo ukimwita "Yesu" hakuelewi.

Nani aliwadanganya kuwa jina lake "Yesu"?

Lugha za Kihebrania ba Aramaic hazina herufi Y.

Halafu hiyo Biblia mnayosoma ni kopi ya kopi ya kopi ya kopi ya kopi...

Iko wapi "orijino"?

Acheni kulisha watu matango pori.
Kawaulize wale waislamu wanaofuga majini kwamba ivi wakristo wakisema katika jina la Yesu huwa kinatokea nini watakujuibu ndo utaelewa
 
Alifanya ivyo kwaajili ya dhambi zako ww
Aliacha enzi kwa kusudi hilo

Ila utakuja kuamni siku ya mwisho kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri Yesu ni BWANA
Ukafiri ni kuamini kuwa Mungu anaweza kuwa mwanadamu. Huo ni ukafiri mkubwa sana! na ndio maana hata wewe mwenyewe umejiita mjinga na kukiri kuwa ile kengele ya kanisa huwa inawaita wajinga. Tatizo lako wewe ni mwanaharamu uliekubuhu. Ivi mungu ajigeuze katika umbile la kiumbe dhaifu? Yaani Mungu muweza wa yote adhalilike asulubishwe na watu? Yaani Mungu awe hoi bin taaban halafu anajiomba msaada mwenyewe? Shetwani Rrajium......
 
Nilijua kwenye chain ya wapokezi wa hadithi utaharisha povu na umelimwaga haro la nguvu
Pyuuuuuu
Sasa katoe sadaka kwa yesu yuko Kenya upate kujengewa nyumba mbinguni

Padri huyo unayemuabudu ukapera umemshinda ,mumebaki kuzamiana lulu mabogani.
emoji12.png
emoji12.png
emoji12.png


Pesa ya saruji na mabati ulishampa huyo unayemuabudu akujengee nyumba mbinguni??😛
Hapa mbona nimekwisha kupa LIKE kwamba kisilamu silamu umepatia bro [emoji23][emoji23][emoji23] au wataka nyingine hau?[emoji44][emoji12]
 
Ukafiri ni kuamini kuwa Mungu anaweza kuwa mwanadamu. Huo ni ukafiri mkubwa sana! na ndio maana hata wewe mwenyewe umejiita mjinga na kukiri kuwa ile kengele ya kanisa huwa inawaita wajinga. Tatizo lako wewe ni mwanaharamu uliekubuhu. Ivi mungu ajigeuze katika umbile la kiumbe dhaifu? Yaani Mungu muweza wa yote adhalilike asulubishwe na watu? Yaani Mungu awe hoi bin taaban halafu anajiomba msaada mwenyewe? Shetwani Rrajium......
mungu wako kama HANA UWEZO WA kuvaa Mwili wa KIBINADAMU Huyo sio MUNGU MUWEZA ilaha is as popo bawa [emoji12] na YEYOTE anaye TAMKA kwamba MWENYEZI MUNGU HANA UWEZO WA KUWA MWANADAMU KAMILI NA MUNGU KAMILI! Huyo NI kafir innsui [emoji44] kuna watu HUMU NI waajabu sana [emoji12] mzee wa busara akigeuka nyau WANAAMINI kabsa ilaha ila MWENYEZI MUNGU kujidhihirisha KTK UMBILE BORA LA KIBINADAMU HAWEZI [emoji12]
 
Quote from the Holy Qur'an: Al-Maaida (5:116)

وَإِذْ قَالَ ٱللَّهُ يَٰعِيسَى ٱبْنَ مَرْيَمَ ءَأَنتَ قُلْتَ لِلنَّاسِ ٱتَّخِذُونِى وَأُمِّىَ إِلَٰهَيْنِ مِن دُونِ ٱللَّهِ ۖ قَالَ سُبْحَٰنَكَ مَا يَكُونُ لِىٓ أَنْ أَقُولَ مَا لَيْسَ لِى بِحَقٍّ ۚ إِن كُنتُ قُلْتُهُۥ فَقَدْ عَلِمْتَهُۥ ۚ تَعْلَمُ مَا فِى نَفْسِى وَلَآ أَعْلَمُ مَا فِى نَفْسِكَ ۚ إِنَّكَ أَنتَ عَلَّٰمُ ٱلْغُيُوبِ

Waith qala Allahu ya AAeesa ibna maryama aanta qulta lilnnasi ittakhithoonee waommiya ilahayni min dooni Allahi qala subhanaka ma yakoonu lee an aqoola ma laysa lee bihaqqin in kuntu qultuhu faqad AAalimtahu taAAlamu ma fee nafsee wala aAAlamu ma fee nafsika innaka anta AAallamu alghuyoobi

Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.
 
Quote from the Holy Qur'an: Al-Maaida (5:117)

مَا قُلْتُ لَهُمْ إِلَّا مَآ أَمَرْتَنِى بِهِۦٓ أَنِ ٱعْبُدُوا۟ ٱللَّهَ رَبِّى وَرَبَّكُمْ ۚ وَكُنتُ عَلَيْهِمْ شَهِيدًا مَّا دُمْتُ فِيهِمْ ۖ فَلَمَّا تَوَفَّيْتَنِى كُنتَ أَنتَ ٱلرَّقِيبَ عَلَيْهِمْ ۚ وَأَنتَ عَلَىٰ كُلِّ شَىْءٍ شَهِيدٌ

Ma qultu lahum illa ma amartanee bihi ani oAAbudoo Allaha rabbee warabbakum wakuntu AAalayhim shaheedan ma dumtu feehim falamma tawaffaytanee kunta anta alrraqeeba AAalayhim waanta AAala kulli shayin shaheedun

Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Na mimi nilikuwa shahidi juu yao nilipo kuwa nao. Na ulipo nifisha ukawa Wewe ndiye Muangalizi juu yao. Na Wewe ni shahidi juu ya kila kitu.
 
Quote from the Holy Qur'an: Al-Maaida (5:75)

مَّا ٱلْمَسِيحُ ٱبْنُ مَرْيَمَ إِلَّا رَسُولٌ قَدْ خَلَتْ مِن قَبْلِهِ ٱلرُّسُلُ وَأُمُّهُۥ صِدِّيقَةٌ ۖ كَانَا يَأْكُلَانِ ٱلطَّعَامَ ۗ ٱنظُرْ كَيْفَ نُبَيِّنُ لَهُمُ ٱلْءَايَٰتِ ثُمَّ ٱنظُرْ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

Ma almaseehu ibnu maryama illa rasoolun qad khalat min qablihi alrrusulu waommuhu siddeeqatun kana yakulani alttaAAama onthur kayfa nubayyinu lahumu alayati thumma onthur anna yufakoona

Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na mama yake ni mwanamke mkweli. Wote wawili walikuwa wakila chakula. Angalia jinsi tunavyo wabainishia Aya, kisha angalia vipi wanavyo geuzwa.
 
Quote from the Holy Qur'an: Al-An'aam (6:108)

وَلَا تَسُبُّوا۟ ٱلَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ ٱللَّهِ فَيَسُبُّوا۟ ٱللَّهَ عَدْوًۢا بِغَيْرِ عِلْمٍ ۗ كَذَٰلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَىٰ رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا۟ يَعْمَلُونَ

Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliyo kuwa wakiyatenda.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom