Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Alifanya ivyo kwaajili ya dhambi zako ww
Aliacha enzi kwa kusudi hilo

Ila utakuja kuamni siku ya mwisho kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri Yesu ni BWANA
Ukifanya kosa kuna kuomba msamaha, haiwezekani Mungu akawa binaadamu, angesema tu kuwa ametusamehe.

Yesu alikuwa mtumishi wa Mungu kwa mujibu wa bibilia yenyewe, au unapingana na bibilia yako mwenyewe?
 
mungu wako kama HANA UWEZO WA kuvaa Mwili wa KIBINADAMU Huyo sio MUNGU MUWEZA ilaha is as popo bawa [emoji12] na YEYOTE anaye TAMKA kwamba MWENYEZI MUNGU HANA UWEZO WA KUWA MWANADAMU KAMILI NA MUNGU KAMILI! Huyo NI kafir innsui [emoji44] kuna watu HUMU NI waajabu sana [emoji12] mzee wa busara akigeuka nyau WANAAMINI kabsa ilaha ila MWENYEZI MUNGU kujidhihirisha KTK UMBILE BORA LA KIBINADAMU HAWEZI [emoji12]
Nani kadiani? 😀 😀 😀 ulifikiri kutumia jina la dhehebu ndio utaonekana msomi? 😀 😀 😀 Yesu

Naona hujielewi na picha zako, sasa kama hadithi ni uongo mbona unaleta hadithi? haya tutajie wapokezi wa hio hadithi na tuambie kipimo cha usahihi wake basi 😀 I dare you mpumbavu!

Mungu hawezi kuwa kiumbe dhaifu. Ila sishangai sana, nyie wajinga. Wenzenu wanaabudu ng'ombe kama Mungu, nyinyi mnaabudu binaadam kama mungu 😀

Mungu hawezi kujiomba msaada, huo niuchizi utakuwa.

John 5:30
"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.
 
- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?

Maliza ulichoanza basi kwanza...

Mungu wa wakiristo alisema:

Hesabu 31:18
Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.
Miaka 6 kwa zee nakuambia hata mufti mkuu hawezi ozesha Binti wa miaka 6. Alafu kwa kujitetea eti alimlala akiwa na miaka 9.
 
Mitume wako wengi hapa. Hata wachawi wanamtume wao. So kusema mtume ni mtu anaetumwa kwa ajili ya Jambo fulani.
Kaiulize quraan kwamba nani atakuja kuhukumu ulimwengu nae atakuwa na mamlaka gani?
Je Mungu Yesu katumwa na nani?

John 5:30
"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.

Mitume wako wengi kweli, ila ukisema kuwa Muhammad ni mtume maanake umekubali kuwa yeye ni mtume wa Mungu maana ndie anasema kamtuma. Sasa kama unampinga huwezi kumwita mtume.

Makafiri wenzako enzi za Sulhu hudaibiya wakati unaandikwa mkataba, ulikuwa useme Mkataba baina ya Mtume wa Mungu na maquraish wa makka, ila alietoka upande wa hao makafiri akasema hawezi kuandika Mtume wa Mungu kwa sababu itamaanisha kuwa amekubali kuwa yeye ni mtume ilhali yeye hamtambui kama mtume.

Sasa wewe kitendo chako cha kumwita mtume, umekubali kuwa ni Mtume wa Allah. Asante, kidogo kidogo tu utaelewa, bado wewe ni kukumdogo ndio mana mambo yanakupiga chenga.
 
Miaka 6 kwa zee nakuambia hata mufti mkuu hawezi ozesha Binti wa miaka 6. Alafu kwa kujitetea eti alimlala akiwa na miaka 9.
Mungu ana miaka mingapi na akampa Mimba Bikra maria (13 yrs)? 😀
 
Je Mungu Yesu katumwa na nani?

John 5:30
"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.

Mitume wako wengi kweli, ila ukisema kuwa Muhammad ni mtume maanake umekubali kuwa yeye ni mtume wa Mungu maana ndie anasema kamtuma. Sasa kama unampinga huwezi kumwita mtume.

Makafiri wenzako enzi za Sulhu hudaibiya wakati unaandikwa mkataba, ulikuwa useme Mkataba baina ya Mtume wa Mungu na maquraish wa makka, ila alietoka upande wa hao makafiri akasema hawezi kuandika Mtume wa Mungu kwa sababu itamaanisha kuwa amekubali kuwa yeye ni mtume ilhali yeye hamtambui kama mtume.

Sasa wewe kitendo chako cha kumwita mtume, umekubali kuwa ni Mtume wa Allah. Asante, kidogo kidogo tu utaelewa, bado wewe ni kukumdogo ndio mana mambo yanakupiga chenga.
Unauliza katumwa na nani? Kajituma mwenuewe akaacha enzi yake. Akaja kukuokoa ili uwe na uzima wa milele. Tena atarudi kuhukum waliohai na wafu. Mtume wenu nae atakuepo sikuhiyo kwenye kukiri kuwa Hakika Yesu ni Mungu.
 
Mungu ana miaka mingapi na akampa Mimba Bikra maria (13 yrs)? 😀
Hiyo miaka 13 ni Maria wa quraan? Kwenye Bible hana miaka 13. Sasa udanganyifu wa miaka acha kitabu cha uongo kiendelee kudanganya. Maana kila kilichoandikwa kwenye kuraan hakuna cha ukweli hata kimoja. Ndio maana kinaitwa kitabu cha upotofu yani mpinga kristo so sie tulishajua hicho kitabu kitakuja tu.
 
Unauliza katumwa na nani? Kajituma mwenuewe akaacha enzi yake. Akaja kukuokoa ili uwe na uzima wa milele. Tena atarudi kuhukum waliohai na wafu. Mtume wenu nae atakuepo sikuhiyo kwenye kukiri kuwa Hakika Yesu ni Mungu.
Yaani mungu anasema hawezi kufanya kitu kwa uwezo wake??? kisha unamwita Mungu muweza wa yote? Hujui tofauti ya nimejituma na nimetumwa?
 
Hiyo miaka 13 ni Maria wa quraan? Kwenye Bible hana miaka 13. Sasa udanganyifu wa miaka acha kitabu cha uongo kiendelee kudanganya. Maana kila kilichoandikwa kwenye kuraan hakuna cha ukweli hata kimoja. Ndio maana kinaitwa kitabu cha upotofu yani mpinga kristo so sie tulishajua hicho kitabu kitakuja tu.
Hakuna mahali ndani ya Quraan imesema umri wa Maria, wala umri wa Muhammad s.a.w wala umri wa Aisha. Sasa wewe twambie umri wa Aisha umeupata wapi ata ukasema ni mtoto?
 
Yaani mungu anasema hawezi kufanya kitu kwa uwezo wake??? kisha unamwita Mungu muweza wa yote? Hujui tofauti ya nimejituma na nimetumwa?
Unaelewa maana ya kuacha enzi? Maana yake aliyaacha mamlaka yake mbinguni yeye akashuka akauvaa mwili wa kibinadam. Siri za Mungu ni kuu sana hata Shetani hakutambua hilo na ndio maana dini nyingi zilianzishwa kuupinga mpango wa Mungu. Hata quraan ni dini iliyoanzishwa kupinga mpango wa Mungu. Ila nafasi ipo ya kubadilika na kuokoka maana ni heri ambae hakusikia habari ya wokovu ila aliyesikia na kukataa Jehanam haiepukiki. Tubu maana atakuja upesi kulichukua kanisalake na sio msikiti. Ukiachwa utastaajabu
 
Unaelewa maana ya kuacha enzi? Maana yake aliyaacha mamlaka yake mbinguni yeye akashuka akauvaa mwili wa kibinadam. Siri za Mungu ni kuu sana hata Shetani hakutambua hilo na ndio maana dini nyingi zilianzishwa kuupinga mpango wa Mungu. Hata quraan ni dini iliyoanzishwa kupinga mpango wa Mungu. Ila nafasi ipo ya kubadilika na kuokoka maana ni heri ambae hakusikia habari ya wokovu ila aliyesikia na kukataa Jehanam haiepukiki. Tubu maana atakuja upesi kulichukua kanisalake na sio msikiti. Ukiachwa utastaajabu
Nijibu basi haya maswali;

- Kama unajua kauvaa mwili wa binaadamu, kwanini sasa unamuabudu huyo binaadamu na sio Mungu mwenyewe?

- Kama Ameacha hayo mamlaka yake mbinguni, sasa wakati akiwa na tatizo au akitaka kusali huwa anamuomba nani ikiwa yeye mwenyewe yupo duniani?

- Ikiwa yeye mwenyewe yupo duniani, nani amemtuma kuwafikishia ujumbe waja wake? Anasema kuwa ametumwa, na hajajituma.

Nasubiri majibu.


Note: Hujachelewa kusilimu na wala usione aibu, achana na kengele za kanisa zinazowafanya muwe kama mahayawani na wajinga wa milele, Katika uislam unaitwa kwa adhana yenye kukukumbusha ibada, ukisilimu leo, dhambi zako za nyuma zote zinafutwa na unaanza kurasa mpya katika maisha yako. Wahi kabla ya kaburi kuja kukubana na ukakutana na adhabu za Mungu, usiseme hujaambiwa, mie ndio nishakwambia na Allah ndio shahid. Hakutakuwa na msamaha siku hio na hakutakuwa na pakukimbilia. Hutoweza kumudu adhabu za Allah. Tubu wakati ukiwa hai!
 
Ulicho andika nimekitafakari Nikapata dalili hizi [emoji117] MUNGU wa BIBLIA TAKATIFU HAKUJA DUNIANI KUJA KUHUKUMU! [emoji122][emoji122]BALI KUJA KUWAOKOA WATU WASIENDE MOTONI [emoji123][emoji123][emoji106][emoji116]mungu wa koloani lengo lake ni kuijaza jehannam na watu [emoji116]MUNGU amekupa akili bure mtu wangu![emoji106] changamsha akili hiyo bro usimfanye MUNGU aliye kupa hiyo akili NI dhalili [emoji12]View attachment 1171895View attachment 1171899View attachment 1171900

Wapi yesu alisema kuwa Mimi ni mungu nimekuja kuwaokoa watu na moto?? Mbona unampakazia yesu uungu ,kiumbe wewe usiye na aibu??
 
Umesh
Mungu ana miaka mingapi na akampa Mimba Bikra maria (13 yrs)? 😀
Umeshindwa kuleta uo umri kutoka kwenye biblia unaleta porojo, alafu mwisho wa siku maria yupo kwenye Qur'an yako , shida ni mudi alikuwa anakopi maandiko alafu anasahau , swali Israel ametajwa sana kwenye Qur'an Israeli kwa mujibu wa Qur'an niambie ni nani
 
Yaani mungu anasema hawezi kufanya kitu kwa uwezo wake??? kisha unamwita Mungu muweza wa yote? Hujui tofauti ya nimejituma na nimetumwa?
Ivi unajua Qur'an imesema mungu wako Allah hawezi kusikia binadamu mpaka ashuke Karibu na dunia ndo awasikie , na inasema anashuka kila siku usiku , imagine Allah anavyo teseka
 
- Ni vizuri kutambua kuwa mtume wetu ALIOA na hakuzini. Sijaona dini yoyote ambayo imekataza kuoa. Hapa huna hoja zaidi ya ujing.a Nilikwambia kuwa nyie hamujui kutofautisha ndoa na uzinifu, wengi wenu mmezaliwa nje ya ndoa, yaani wanaharamu. Sasa kama ameoa kosa lake liko wapi?

- Kwa bahati nzuri au mbaya, mtume wetu hakuwa na mtoto wa kiume, na kama alikuwa nae naomba umtaje jina basi tumjue.

- Labda tukuulize, huyo aliemuua ni nani?

Maliza ulichoanza basi kwanza...

Mungu wa wakiristo alisema:

Hesabu 31:18
Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.
Ni vizuri ukiri kitendo cha mudi sio cha kiutu at a kidogo kuiba mke wa mtoto wake ni ufirauni kafanya bad enough hakuna maali panaonesha aliomba toba kwa mungu wake allah

Biblia takatifu INA mafunzo mazuri na inaonesha wazi watu walitenda dhambi na walijutia na kuomba toba kwa Mungu Jehovah ,
 
Ukifanya kosa kuna kuomba msamaha, haiwezekani Mungu akawa binaadamu, angesema tu kuwa ametusamehe.

Yesu alikuwa mtumishi wa Mungu kwa mujibu wa bibilia yenyewe, au unapingana na bibilia yako mwenyewe?
OK sawa amna shida siku ukifa utakuja kugundua vzr Kiongozi saivi sababu ni mzm ndio maana unakuwa na kiburi cha kuelewa lakini nikwambie hivi Yesu alikufa kwaajili yako na kama unabisha bisha me sina shida but utakuja kugundua clearly baada ya kufa kwasababu kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri Yesu ni BWANA


Isaya 9:6 Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.


Basi sina nyongeza nyingine
 
Nijibu basi haya maswali;

- Kama unajua kauvaa mwili wa binaadamu, kwanini sasa unamuabudu huyo binaadamu na sio Mungu mwenyewe?

- Kama Ameacha hayo mamlaka yake mbinguni, sasa wakati akiwa na tatizo au akitaka kusali huwa anamuomba nani ikiwa yeye mwenyewe yupo duniani?

- Ikiwa yeye mwenyewe yupo duniani, nani amemtuma kuwafikishia ujumbe waja wake? Anasema kuwa ametumwa, na hajajituma.

Nasubiri majibu.


Note: Hujachelewa kusilimu na wala usione aibu, achana na kengele za kanisa zinazowafanya muwe kama mahayawani na wajinga wa milele, Katika uislam unaitwa kwa adhana yenye kukukumbusha ibada, ukisilimu leo, dhambi zako za nyuma zote zinafutwa na unaanza kurasa mpya katika maisha yako. Wahi kabla ya kaburi kuja kukubana na ukakutana na adhabu za Mungu, usiseme hujaambiwa, mie ndio nishakwambia na Allah ndio shahid. Hakutakuwa na msamaha siku hio na hakutakuwa na pakukimbilia. Hutoweza kumudu adhabu za Allah. Tubu wakati ukiwa hai!
Maswali hayo ni yakitoto. Kama hujui ukuu wa Mungu nafikiri unatakiwa kutambua sana yeye ni mkuu kuliko unavyofikiria ndio maana anauwezo wa kufanya Jambo lolote. Kwako lipi gumu Kwa Mungu? Kwani hana uwezo wa kuwa Mungu na Mwanadam at the same time?
 
Back
Top Bottom