Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Waislamu wanadanganya watu, eti Yesu ndio lssa bin Mariam, lakini hawa ni watu wawili tofauti kabisa.
Yesu alizaliwa kwenye hori la ng'ombe na lssa bin Mariam yeye alizaliwa chini ya mtende.

kwa mujibu wa quran suran Amramu....Isa bin mariam alizaliwa na Miriam dada yake Musa na Harun. Musa na Haruni waliishi jangwani during the exodus na walifia huko isipokuwa musa aliyefia Moabu. Na hawa waliishi zaidi ya miaka 3000 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu.

Kituko kingine cha quran hapo hapo katika sura hiyo hiyo kinadai kuwa baba yake isa (yaani mumewe huyo miriamu dadake Musa na Harun) ni Zakaria. Lakini katika Bible Zacharia ni Baba yake Yohana Mbatizaji.
Kwa kuangalia text zote mbili Bible na quran utaona kuna tofauti kubwa sana. Ijulikane kuwa kitabu cha mwisho cha Old Testament (malaki)-Torati kiliandikwa miaka 453 BC na muhamad alizaliwa 600 AD that is quran came into existence zaidi ya miaka 1000 baada ya OT kuwa imeandikwa na miaka 530 baada ya Agano jipya lote kuandikwa. Maana kitabu cha mwisho katika Agano Jipya (Ufunuo) kiliandikwa 100AD. Which can be true, Bible au Quran iliyoandikwa zaidi ya miaka 530 baada ya Agano Jipya na zaidi ya miaka 1000 baada ya kuandikwa Agano la Kale?

Alichofanya Muhamad ni kujaribu kuichafua Biblia baada ya kuwa ameandamana na mkewe Bi Hadija katika biashara zao, walipofika Samaria akasimuliwa historia ya eneo hilo na namna ambavyo wakazi wa asili walikuwa wamechukuliwa mateka kwa sababu ya kumuasi YHWH. Naye akaamua kuibuka na version ya maelezo yake kuunda dini yake.
 
BWANA YESU APEWE SIFA.

AMANI YA ALLAH IWE NANYI NYOTE NDUGU WAISLAMU.

MADA YETU ITAHUSU EISA BIN MARYAMU NA YESU KRISTO AL MASIH JE NI MMOJA?

JE YESU/YESHUA NDIYE NABII ISSA ?

Mada hii ni ndefu sana lakini mm nitaifanya fupi sana kwa kutoa tofauti za hawa watu ISSA KTK UISLAMU NA YESU KTK UKRISTO.

kimsingi imani ya kikristo imejengwa juu ya Yesu mwenyewe ndiye mwenye kuianzisha na ndiye atakayeitimiza soma

WAEBRANIA 12[emoji116]
2 tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.

BAADA YA KUBAINISHA HOJA YA KUWA IMANI YA KIKRISTO IMEANZISHWA NA YESU BASI TUANGALIE TOFAUTI ZA MSINGI SANA KATI YA HUYU MWENYE KUITWA ISSA NA HUYU MWENYE KUITWA YESU.

1.kuhusu mahali walipozaliwa

YESU ALIZALIWA kwenye hori la kulishia ng`ombe mjini Bethlehem ya Uyahudi

" Akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto ,AKAMLAZA KTK HORI YA KULIA NG`OMBE ."( Mathayo 2:7).

Isa bin Maryamu alizaliwa chini ya mtende ,soma ktk surat Maryam aya ya 23[emoji116]

(23) Maryam

Kisha uchungu ukampeleka kwenye [HASHTAG]#shina[/HASHTAG] la [HASHTAG]#mtende[/HASHTAG]; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa

Kwa tofauti za mahali pa kuzaliwa tu hawa si mmoja bali wawili tofauti, maana haiwezekani mtu mmoja akazaliwa sehemu mbili tofauti HAIWEZEKANI, hata hivyo kuran tukufu haisemi huo mtende ulikuwa nchi Gani ,haisemi na kijiografia miti ya mitende humea jangwani ,na nchi ya Arabia yote ni jangwa bila shaka ni maeneo ya Arabia alikozaliwa Isa bin Maryam .
LAKINI HALI NI TOFAUTI SANA KWA YESU KRISTO huyu alizaliwa sehemu inayojulikana wazi BETHLEHEM YA UYAHUDI IPO HADI LEO .

ningeweza kuishia hapa ,maana hoja imeisha maana Hakuna anayanayezaliwa sehemu mbili tofauti ,Hivyo kwa tofauti hizi Isa si Yesu.

Lakini kwasababu ya ugumu wa mioyo wa wengi wetu ngoja nichambue hoja nyingine kuhusu Yesu na Isa

2.ISA SI MWANA WA MUNGU LAKINI YESU NI MWANA WA MUNGU.

Soma

(111) Al-Israa

Na sema: Alhamdulillah, Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye [HASHTAG]#hana[/HASHTAG] [HASHTAG]#mwana[/HASHTAG], wala hana mshirika katika ufalme, wala hana rafiki wa kumsaidia kwa sababu ya udhaifu wake. Na mtukuze kwa utukufu mkubwa.

LAKINI Yesu ni Mwana wa Mungu [emoji116]


16 Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
MATHAYO 3

&
Yohane 17[emoji116][emoji116]

1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;


3.KUHUSU UTUME WAO.

ISA ni mtume kwa wana wa Israeli peke yao ,hakuwa na zaidi ha hapo ,soma[emoji116][emoji116]

(59) Az-Zukhruf

Hakuwa yeye (Isa) ila ni Mtumwa tuliye mneemesha na tukamfanya ni mfano kwa Wana wa Israili.


Lakini utume wa Yesu ulikuwa mpana zaidi ya mipaka ya Israeli , naam ilimpasa aanzie kwa wana wa Israeli kwanza kisha na mataifa yote hata miisho ya dunia

NDIO MAANA Yesu alitamka haya, maana muda wa kwenda nje ya mipaka ya israeli ulikuwa bado haujawadia
[emoji116][emoji116]
24 Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
(MATHAYO 15)

Waislamu hujenga yao kuwa Yesu alitumwa Israel tu kwa aya hii! Upofu mkubwa

NA MUDA ULIPOWADIA YESU ALIAGIZA INJILI IHUBIRIWE KILA TAIFA CHINI YA MBINGU

[emoji116][emoji116][emoji116]
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

19 Basi, enendeni, [HASHTAG]#mkawafanye[/HASHTAG] [HASHTAG]#mataifa[/HASHTAG] [HASHTAG]#yote[/HASHTAG] kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari(MATHAYO 28)

Na Yesu alifundisha Wanaomwamini Wabatizwe Jambo ambalo Isa hakuwahi kufundisha ndio maana wafuasi wa Isa(Muslms) hawabatizwi huku wafuasi wa Yesu wanabatizwa.
Swali linabaki kwanini Issa analazimishwa kuwa Yesu? Na kwanini Yesu analazimishwa kua muislamu wakati yeye si Issa?

BWANA AWE NAWE KTK KUTAFAKARI HAYA !
 
BWANA YESU APEWE SIFA.

AMANI YA ALLAH IWE NANYI NYOTE NDUGU WAISLAMU.

MADA YETU ITAHUSU EISA BIN MARYAMU NA YESU KRISTO AL MASIH JE NI MMOJA?

JE YESU/YESHUA NDIYE NABII ISSA ?

Mada hii ni ndefu sana lakini mm nitaifanya fupi sana kwa kutoa tofauti za hawa watu ISSA KTK UISLAMU NA YESU KTK UKRISTO.

kimsingi imani ya kikristo imejengwa juu ya Yesu mwenyewe ndiye mwenye kuianzisha na ndiye atakayeitimiza soma

WAEBRANIA 12[emoji116]
2 tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.

BAADA YA KUBAINISHA HOJA YA KUWA IMANI YA KIKRISTO IMEANZISHWA NA YESU BASI TUANGALIE TOFAUTI ZA MSINGI SANA KATI YA HUYU MWENYE KUITWA ISSA NA HUYU MWENYE KUITWA YESU.

1.kuhusu mahali walipozaliwa

YESU ALIZALIWA kwenye hori la kulishia ng`ombe mjini Bethlehem ya Uyahudi

" Akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto ,AKAMLAZA KTK HORI YA KULIA NG`OMBE ."( Mathayo 2:7).

Isa bin Maryamu alizaliwa chini ya mtende ,soma ktk surat Maryam aya ya 23[emoji116]

(23) Maryam

Kisha uchungu ukampeleka kwenye [HASHTAG]#shina[/HASHTAG] la [HASHTAG]#mtende[/HASHTAG]; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa

Kwa tofauti za mahali pa kuzaliwa tu hawa si mmoja bali wawili tofauti, maana haiwezekani mtu mmoja akazaliwa sehemu mbili tofauti HAIWEZEKANI, hata hivyo kuran tukufu haisemi huo mtende ulikuwa nchi Gani ,haisemi na kijiografia miti ya mitende humea jangwani ,na nchi ya Arabia yote ni jangwa bila shaka ni maeneo ya Arabia alikozaliwa Isa bin Maryam .
LAKINI HALI NI TOFAUTI SANA KWA YESU KRISTO huyu alizaliwa sehemu inayojulikana wazi BETHLEHEM YA UYAHUDI IPO HADI LEO .

ningeweza kuishia hapa ,maana hoja imeisha maana Hakuna anayanayezaliwa sehemu mbili tofauti ,Hivyo kwa tofauti hizi Isa si Yesu.

Lakini kwasababu ya ugumu wa mioyo wa wengi wetu ngoja nichambue hoja nyingine kuhusu Yesu na Isa

2.ISA SI MWANA WA MUNGU LAKINI YESU NI MWANA WA MUNGU.

Soma

(111) Al-Israa

Na sema: Alhamdulillah, Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye [HASHTAG]#hana[/HASHTAG] [HASHTAG]#mwana[/HASHTAG], wala hana mshirika katika ufalme, wala hana rafiki wa kumsaidia kwa sababu ya udhaifu wake. Na mtukuze kwa utukufu mkubwa.

LAKINI Yesu ni Mwana wa Mungu [emoji116]


16 Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
MATHAYO 3

&
Yohane 17[emoji116][emoji116]

1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;


3.KUHUSU UTUME WAO.

ISA ni mtume kwa wana wa Israeli peke yao ,hakuwa na zaidi ha hapo ,soma[emoji116][emoji116]

(59) Az-Zukhruf

Hakuwa yeye (Isa) ila ni Mtumwa tuliye mneemesha na tukamfanya ni mfano kwa Wana wa Israili.


Lakini utume wa Yesu ulikuwa mpana zaidi ya mipaka ya Israeli , naam ilimpasa aanzie kwa wana wa Israeli kwanza kisha na mataifa yote hata miisho ya dunia

NDIO MAANA Yesu alitamka haya, maana muda wa kwenda nje ya mipaka ya israeli ulikuwa bado haujawadia
[emoji116][emoji116]
24 Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
(MATHAYO 15)

Waislamu hujenga yao kuwa Yesu alitumwa Israel tu kwa aya hii! Upofu mkubwa

NA MUDA ULIPOWADIA YESU ALIAGIZA INJILI IHUBIRIWE KILA TAIFA CHINI YA MBINGU

[emoji116][emoji116][emoji116]
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

19 Basi, enendeni, [HASHTAG]#mkawafanye[/HASHTAG] [HASHTAG]#mataifa[/HASHTAG] [HASHTAG]#yote[/HASHTAG] kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari(MATHAYO 28)

Na Yesu alifundisha Wanaomwamini Wabatizwe Jambo ambalo Isa hakuwahi kufundisha ndio maana wafuasi wa Isa(Muslms) hawabatizwi huku wafuasi wa Yesu wanabatizwa.
Swali linabaki kwanini Issa analazimishwa kuwa Yesu? Na kwanini Yesu analazimishwa kua muislamu wakati yeye si Issa?

BWANA AWE NAWE KTK KUTAFAKARI HAYA !


Na wala YESU si JESUS

"Prove all things, hold fast to that which is good."

1 Thessalonians 5.21
 
BWANA YESU APEWE SIFA.

AMANI YA ALLAH IWE NANYI NYOTE NDUGU WAISLAMU.

MADA YETU ITAHUSU EISA BIN MARYAMU NA YESU KRISTO AL MASIH JE NI MMOJA?

JE YESU/YESHUA NDIYE NABII ISSA ?

Mada hii ni ndefu sana lakini mm nitaifanya fupi sana kwa kutoa tofauti za hawa watu ISSA KTK UISLAMU NA YESU KTK UKRISTO.

kimsingi imani ya kikristo imejengwa juu ya Yesu mwenyewe ndiye mwenye kuianzisha na ndiye atakayeitimiza soma

WAEBRANIA 12[emoji116]
2 tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.

BAADA YA KUBAINISHA HOJA YA KUWA IMANI YA KIKRISTO IMEANZISHWA NA YESU BASI TUANGALIE TOFAUTI ZA MSINGI SANA KATI YA HUYU MWENYE KUITWA ISSA NA HUYU MWENYE KUITWA YESU.

1.kuhusu mahali walipozaliwa

YESU ALIZALIWA kwenye hori la kulishia ng`ombe mjini Bethlehem ya Uyahudi

" Akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto ,AKAMLAZA KTK HORI YA KULIA NG`OMBE ."( Mathayo 2:7).

Isa bin Maryamu alizaliwa chini ya mtende ,soma ktk surat Maryam aya ya 23[emoji116]

(23) Maryam

Kisha uchungu ukampeleka kwenye [HASHTAG]#shina[/HASHTAG] la [HASHTAG]#mtende[/HASHTAG]; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa

Kwa tofauti za mahali pa kuzaliwa tu hawa si mmoja bali wawili tofauti, maana haiwezekani mtu mmoja akazaliwa sehemu mbili tofauti HAIWEZEKANI, hata hivyo kuran tukufu haisemi huo mtende ulikuwa nchi Gani ,haisemi na kijiografia miti ya mitende humea jangwani ,na nchi ya Arabia yote ni jangwa bila shaka ni maeneo ya Arabia alikozaliwa Isa bin Maryam .
LAKINI HALI NI TOFAUTI SANA KWA YESU KRISTO huyu alizaliwa sehemu inayojulikana wazi BETHLEHEM YA UYAHUDI IPO HADI LEO .

ningeweza kuishia hapa ,maana hoja imeisha maana Hakuna anayanayezaliwa sehemu mbili tofauti ,Hivyo kwa tofauti hizi Isa si Yesu.

Lakini kwasababu ya ugumu wa mioyo wa wengi wetu ngoja nichambue hoja nyingine kuhusu Yesu na Isa

2.ISA SI MWANA WA MUNGU LAKINI YESU NI MWANA WA MUNGU.

Soma

(111) Al-Israa

Na sema: Alhamdulillah, Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye [HASHTAG]#hana[/HASHTAG] [HASHTAG]#mwana[/HASHTAG], wala hana mshirika katika ufalme, wala hana rafiki wa kumsaidia kwa sababu ya udhaifu wake. Na mtukuze kwa utukufu mkubwa.

LAKINI Yesu ni Mwana wa Mungu [emoji116]


16 Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
MATHAYO 3

&
Yohane 17[emoji116][emoji116]

1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;


3.KUHUSU UTUME WAO.

ISA ni mtume kwa wana wa Israeli peke yao ,hakuwa na zaidi ha hapo ,soma[emoji116][emoji116]

(59) Az-Zukhruf

Hakuwa yeye (Isa) ila ni Mtumwa tuliye mneemesha na tukamfanya ni mfano kwa Wana wa Israili.


Lakini utume wa Yesu ulikuwa mpana zaidi ya mipaka ya Israeli , naam ilimpasa aanzie kwa wana wa Israeli kwanza kisha na mataifa yote hata miisho ya dunia

NDIO MAANA Yesu alitamka haya, maana muda wa kwenda nje ya mipaka ya israeli ulikuwa bado haujawadia
[emoji116][emoji116]
24 Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
(MATHAYO 15)

Waislamu hujenga yao kuwa Yesu alitumwa Israel tu kwa aya hii! Upofu mkubwa

NA MUDA ULIPOWADIA YESU ALIAGIZA INJILI IHUBIRIWE KILA TAIFA CHINI YA MBINGU

[emoji116][emoji116][emoji116]
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

19 Basi, enendeni, [HASHTAG]#mkawafanye[/HASHTAG] [HASHTAG]#mataifa[/HASHTAG] [HASHTAG]#yote[/HASHTAG] kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari(MATHAYO 28)

Na Yesu alifundisha Wanaomwamini Wabatizwe Jambo ambalo Isa hakuwahi kufundisha ndio maana wafuasi wa Isa(Muslms) hawabatizwi huku wafuasi wa Yesu wanabatizwa.
Swali linabaki kwanini Issa analazimishwa kuwa Yesu? Na kwanini Yesu analazimishwa kua muislamu wakati yeye si Issa?

BWANA AWE NAWE KTK KUTAFAKARI HAYA !



Father of Lies?


"All scripture is given by inspiration of God" – 2 Timothy 3.16.



"And for this cause God shall send them strong delusion, that they should believe a lie." – 2 Thessalonians 2.11
 
Na wala YESU si JESUS

"Prove all things, hold fast to that which is good."

1 Thessalonians 5.21



Father of Lies?


"All scripture is given by inspiration of God" – 2 Timothy 3.16.



"And for this cause God shall send them strong delusion, that they should believe a lie." – 2 Thessalonians 2.11
Naona shipa linakutoka utetezi huna......
 
BWANA YESU APEWE SIFA.

AMANI YA ALLAH IWE NANYI NYOTE NDUGU WAISLAMU.

MADA YETU ITAHUSU EISA BIN MARYAMU NA YESU KRISTO AL MASIH JE NI MMOJA?

JE YESU/YESHUA NDIYE NABII ISSA ?

Mada hii ni ndefu sana lakini mm nitaifanya fupi sana kwa kutoa tofauti za hawa watu ISSA KTK UISLAMU NA YESU KTK UKRISTO.

kimsingi imani ya kikristo imejengwa juu ya Yesu mwenyewe ndiye mwenye kuianzisha na ndiye atakayeitimiza soma

WAEBRANIA 12[emoji116]
2 tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.

BAADA YA KUBAINISHA HOJA YA KUWA IMANI YA KIKRISTO IMEANZISHWA NA YESU BASI TUANGALIE TOFAUTI ZA MSINGI SANA KATI YA HUYU MWENYE KUITWA ISSA NA HUYU MWENYE KUITWA YESU.

1.kuhusu mahali walipozaliwa

YESU ALIZALIWA kwenye hori la kulishia ng`ombe mjini Bethlehem ya Uyahudi

" Akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto ,AKAMLAZA KTK HORI YA KULIA NG`OMBE ."( Mathayo 2:7).

Isa bin Maryamu alizaliwa chini ya mtende ,soma ktk surat Maryam aya ya 23[emoji116]

(23) Maryam

Kisha uchungu ukampeleka kwenye [HASHTAG]#shina[/HASHTAG] la [HASHTAG]#mtende[/HASHTAG]; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa

Kwa tofauti za mahali pa kuzaliwa tu hawa si mmoja bali wawili tofauti, maana haiwezekani mtu mmoja akazaliwa sehemu mbili tofauti HAIWEZEKANI, hata hivyo kuran tukufu haisemi huo mtende ulikuwa nchi Gani ,haisemi na kijiografia miti ya mitende humea jangwani ,na nchi ya Arabia yote ni jangwa bila shaka ni maeneo ya Arabia alikozaliwa Isa bin Maryam .
LAKINI HALI NI TOFAUTI SANA KWA YESU KRISTO huyu alizaliwa sehemu inayojulikana wazi BETHLEHEM YA UYAHUDI IPO HADI LEO .

ningeweza kuishia hapa ,maana hoja imeisha maana Hakuna anayanayezaliwa sehemu mbili tofauti ,Hivyo kwa tofauti hizi Isa si Yesu.

Lakini kwasababu ya ugumu wa mioyo wa wengi wetu ngoja nichambue hoja nyingine kuhusu Yesu na Isa

2.ISA SI MWANA WA MUNGU LAKINI YESU NI MWANA WA MUNGU.

Soma

(111) Al-Israa

Na sema: Alhamdulillah, Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye [HASHTAG]#hana[/HASHTAG] [HASHTAG]#mwana[/HASHTAG], wala hana mshirika katika ufalme, wala hana rafiki wa kumsaidia kwa sababu ya udhaifu wake. Na mtukuze kwa utukufu mkubwa.

LAKINI Yesu ni Mwana wa Mungu [emoji116]


16 Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
MATHAYO 3

&
Yohane 17[emoji116][emoji116]

1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;


3.KUHUSU UTUME WAO.

ISA ni mtume kwa wana wa Israeli peke yao ,hakuwa na zaidi ha hapo ,soma[emoji116][emoji116]

(59) Az-Zukhruf

Hakuwa yeye (Isa) ila ni Mtumwa tuliye mneemesha na tukamfanya ni mfano kwa Wana wa Israili.


Lakini utume wa Yesu ulikuwa mpana zaidi ya mipaka ya Israeli , naam ilimpasa aanzie kwa wana wa Israeli kwanza kisha na mataifa yote hata miisho ya dunia

NDIO MAANA Yesu alitamka haya, maana muda wa kwenda nje ya mipaka ya israeli ulikuwa bado haujawadia
[emoji116][emoji116]
24 Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
(MATHAYO 15)

Waislamu hujenga yao kuwa Yesu alitumwa Israel tu kwa aya hii! Upofu mkubwa

NA MUDA ULIPOWADIA YESU ALIAGIZA INJILI IHUBIRIWE KILA TAIFA CHINI YA MBINGU

[emoji116][emoji116][emoji116]
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

19 Basi, enendeni, [HASHTAG]#mkawafanye[/HASHTAG] [HASHTAG]#mataifa[/HASHTAG] [HASHTAG]#yote[/HASHTAG] kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari(MATHAYO 28)

Na Yesu alifundisha Wanaomwamini Wabatizwe Jambo ambalo Isa hakuwahi kufundisha ndio maana wafuasi wa Isa(Muslms) hawabatizwi huku wafuasi wa Yesu wanabatizwa.
Swali linabaki kwanini Issa analazimishwa kuwa Yesu? Na kwanini Yesu analazimishwa kua muislamu wakati yeye si Issa?

BWANA AWE NAWE KTK KUTAFAKARI HAYA !


The Virgin Birth Fraud

The most colossal blunder of the Septuagint translators, the mistranslation of the original Hebrew text of Isaiah, 7.14, allowed deceitful early Christians to concoct their infamous prophecy that somehow the ancient Jewish text presaged the miraculous birth of their own godman.

The Hebrew original says:
'
Hinneh ha-almah harah ve-yeldeth ben ve-karath shem-o immanuel.'


Honestly translated, the verse reads:

'Behold, the young woman has conceived — and bears a son and calls his name Immanuel.'


The Greek-speaking translators of Hebrew scripture (in 3rd century B.C. Alexandria) slipped up and translated 'almah' (young woman) into the Greek 'parthenos' (virgin). The Hebrew word for virgin would have been 'betulah.'

The slip did not matter at the time, for in context, Isaiah’s prophecy – set in the 8th century BC but probably written in the 5th – had been given as reassurance to King Ahaz of Judah that his royal line would survive, despite the ongoing siege of Jerusalem by the Syrians. And it did.

In other words, the prophecy had nothing to do with events in Judaea eight hundred years into the future!


Justin ‘Martyr’, a pagan Greek from Palestine, fled to Ephesus at the time of Bar Kochbar’s revolt (132 -135 AD).

He joined the growing Christian community and found himself competing with the priests of Artemis, an eternally virgin goddess. Justin successfully overcame the sentiments of established Christians and had Mary, mother of Jesus, declared a virgin, citing his Greek copy of Isaiah as 'evidence' of scriptural prescience.

The Greek priest who then forged the 'Gospel according to St. Matthew' went one stage further, taking the word 'harah' – in Hebrew a past or perfect tense – and switched it into a future tense to arrive at:

'Behold, a virgin shall be with child, and shall bring forth a son, and they shall call his name Emmanuel.'

– Matthew 1.23.


All this to arrive at the monstrous fiction that ancient scripture foretold of the arrival of an infant actually called Jesus!
 
BWANA YESU APEWE SIFA.

AMANI YA ALLAH IWE NANYI NYOTE NDUGU WAISLAMU.

MADA YETU ITAHUSU EISA BIN MARYAMU NA YESU KRISTO AL MASIH JE NI MMOJA?

JE YESU/YESHUA NDIYE NABII ISSA ?

Mada hii ni ndefu sana lakini mm nitaifanya fupi sana kwa kutoa tofauti za hawa watu ISSA KTK UISLAMU NA YESU KTK UKRISTO.

kimsingi imani ya kikristo imejengwa juu ya Yesu mwenyewe ndiye mwenye kuianzisha na ndiye atakayeitimiza soma

WAEBRANIA 12[emoji116]
2 tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.

BAADA YA KUBAINISHA HOJA YA KUWA IMANI YA KIKRISTO IMEANZISHWA NA YESU BASI TUANGALIE TOFAUTI ZA MSINGI SANA KATI YA HUYU MWENYE KUITWA ISSA NA HUYU MWENYE KUITWA YESU.

1.kuhusu mahali walipozaliwa

YESU ALIZALIWA kwenye hori la kulishia ng`ombe mjini Bethlehem ya Uyahudi

" Akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto ,AKAMLAZA KTK HORI YA KULIA NG`OMBE ."( Mathayo 2:7).

Isa bin Maryamu alizaliwa chini ya mtende ,soma ktk surat Maryam aya ya 23[emoji116]

(23) Maryam

Kisha uchungu ukampeleka kwenye [HASHTAG]#shina[/HASHTAG] la [HASHTAG]#mtende[/HASHTAG]; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa

Kwa tofauti za mahali pa kuzaliwa tu hawa si mmoja bali wawili tofauti, maana haiwezekani mtu mmoja akazaliwa sehemu mbili tofauti HAIWEZEKANI, hata hivyo kuran tukufu haisemi huo mtende ulikuwa nchi Gani ,haisemi na kijiografia miti ya mitende humea jangwani ,na nchi ya Arabia yote ni jangwa bila shaka ni maeneo ya Arabia alikozaliwa Isa bin Maryam .
LAKINI HALI NI TOFAUTI SANA KWA YESU KRISTO huyu alizaliwa sehemu inayojulikana wazi BETHLEHEM YA UYAHUDI IPO HADI LEO .

ningeweza kuishia hapa ,maana hoja imeisha maana Hakuna anayanayezaliwa sehemu mbili tofauti ,Hivyo kwa tofauti hizi Isa si Yesu.

Lakini kwasababu ya ugumu wa mioyo wa wengi wetu ngoja nichambue hoja nyingine kuhusu Yesu na Isa

2.ISA SI MWANA WA MUNGU LAKINI YESU NI MWANA WA MUNGU.

Soma

(111) Al-Israa

Na sema: Alhamdulillah, Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye [HASHTAG]#hana[/HASHTAG] [HASHTAG]#mwana[/HASHTAG], wala hana mshirika katika ufalme, wala hana rafiki wa kumsaidia kwa sababu ya udhaifu wake. Na mtukuze kwa utukufu mkubwa.

LAKINI Yesu ni Mwana wa Mungu [emoji116]


16 Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;

17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
MATHAYO 3

&
Yohane 17[emoji116][emoji116]

1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;


3.KUHUSU UTUME WAO.

ISA ni mtume kwa wana wa Israeli peke yao ,hakuwa na zaidi ha hapo ,soma[emoji116][emoji116]

(59) Az-Zukhruf

Hakuwa yeye (Isa) ila ni Mtumwa tuliye mneemesha na tukamfanya ni mfano kwa Wana wa Israili.


Lakini utume wa Yesu ulikuwa mpana zaidi ya mipaka ya Israeli , naam ilimpasa aanzie kwa wana wa Israeli kwanza kisha na mataifa yote hata miisho ya dunia

NDIO MAANA Yesu alitamka haya, maana muda wa kwenda nje ya mipaka ya israeli ulikuwa bado haujawadia
[emoji116][emoji116]
24 Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
(MATHAYO 15)

Waislamu hujenga yao kuwa Yesu alitumwa Israel tu kwa aya hii! Upofu mkubwa

NA MUDA ULIPOWADIA YESU ALIAGIZA INJILI IHUBIRIWE KILA TAIFA CHINI YA MBINGU

[emoji116][emoji116][emoji116]
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

19 Basi, enendeni, [HASHTAG]#mkawafanye[/HASHTAG] [HASHTAG]#mataifa[/HASHTAG] [HASHTAG]#yote[/HASHTAG] kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari(MATHAYO 28)

Na Yesu alifundisha Wanaomwamini Wabatizwe Jambo ambalo Isa hakuwahi kufundisha ndio maana wafuasi wa Isa(Muslms) hawabatizwi huku wafuasi wa Yesu wanabatizwa.
Swali linabaki kwanini Issa analazimishwa kuwa Yesu? Na kwanini Yesu analazimishwa kua muislamu wakati yeye si Issa?

BWANA AWE NAWE KTK KUTAFAKARI HAYA !


It is apparent that when Eusebius assembled scribes to write the New Testimonies, he first produced a single document that provided an exemplar or master version.

Today it is called the Gospel of Mark, and the Church admits that it was "the first Gospel written" (Catholic Encyclopedia, Farley ed., vol. vi, p. 657), even though it appears second in the New Testament today.


The scribes of the Gospels of Matthew and Luke were dependent upon the Mark writing as the source and framework for the compilation of their works.

The Gospel of John is independent of those writings, and the late-15th-century theory that it was written later to support the earlier writings is the truth (The Crucifixion of Truth, Tony Bushby, Joshua Books, 2004, pp. 33-40).



Thus, the Gospel of Mark in the Sinai Bible carries the "first" story of Jesus Christ in history, one completely different to what is in modern Bibles.

It starts with Jesus "at about the age of thirty" (Mark 1:9), and doesn't know of Mary, a virgin birth or mass murders of baby boys by Herod.

Words describing Jesus Christ as "the son of God" do not appear in the opening narrative as they do in today's editions (Mark 1:1), and the modern-day family tree tracing a "messianic bloodline" back to King David is non-existent in all ancient Bibles, as are the now-called "messianic prophecies" (51 in total).

The Sinai Bible carries a conflicting version of events surrounding the "raising of Lazarus", and reveals an extraordinary omission that later became the central doctrine of the Christian faith: the resurrection appearances of Jesus Christ and his ascension into Heaven.

No supernatural appearance of a resurrected Jesus Christ is recorded in any ancient Gospels of Mark, but a description of over 500 words now appears in modern Bibles (Mark 16:9-20).
 
Habari wanajamvi, Leo naomba tujifunze kwa kuchokoza bongo zetu haswa juu ya uelewa wa kile tunachofunzwa.
Ulingano wa kitu au jambo huja pale ambapo jambo hilo linalingana hata kama limeelezwa sehemu tofauti. Linashahibiana katika kuzaliwa, lengo na dhumuni. Utofauti pia unaonekana katika mwanzo wa jambo lenyewe, kusudi, uhusika na mazingira.
Yesu wa Nazareti kama anavyoeleza ktk Biblia na Issa bin Mariam/Nabii Issa wanaonekana ni watu tofauti kbsaa.

1.UTABIRI
Quran katika sura 19 inaeleza kuwa malaika alizungumza na Mariam akiwa ni mjamzito juu ya kile alichobeba.
Biblia katika Mathayo 1:20 inaeleza malaika alizungumza na Yusuph juu ya kile alichobeba mkewe.

2.KUZALIWA
Quran inaeleza Mariam alijifungulia chini ya mtende.
Biblia inaeleza alijifungulia ktk zizi la ng'ombe.

3.KUSUDI
Quran haielezi kusudi lolote kwa Issa bin Mariam ila inampa wadhifa ni Nabii tu.
Biblia inamkusudia ndiye mkombozi wa watu na dhambi zao Mathayo 1:21

4: UNDUGU
Quran inamtaja Mariam kuwa ni ndg wa Harun yani dada yake Haruni Quran 19:28
Biblia inamtaka Haruni anatoka kabila la Lawi wala hana uhusiano na Mariam anaetoka kabila la Yuda.

5. KUFA
Quran inasema Nabii Issa alikufa tu kama wengine.
Biblia inasema Yesu alikufa,akafufuka akapaa kuzimu siku ya 3.

6.MAANA
Kwa mujibu ya kamusi ya kiislamu yenye kitabu Mushidi jina Issa maana yake ni " wekundu uliochanganyika na weupe" yaani zeruzeru.
Biblia ktk utabiri wa Isaya,Yesu anatajwa ni Immanuel yaani Mungu pamoja na sisi.

Kwa tofauti izo apo juu kama watu hawa hawana tofauti basi ndgu zangu katika vitabu viwili,QURAN-BIBLIA, tunavyoamini kuna kimoja kipo sahihi na kimoja hakipo sahihi.
Nawakaribisha kwa michango zaidi,maoni,kukosoa.
 
aisee kumbe Yesu alipaa kuzimu???
nimejifunza kitu kipya hapa.
 
Yesu sio Issa aisee


Nabii Isa Mwana wa Maryamu ni Yesu huyo huyo!!



Kwa sababu Wakristo wengi kuanzia Papa, Makadinali, Maaskofu, Mapadri, Wachungaji na waumini wote wa Kikristo wanakiri kwamba Issa (a.s.) ndiye Yesu. Kwa sababu Waislamu tunasema Issa (a.s.) si Mungu, na hakusulubiwa kwa maneno hayo Wakristo hutuambia kwamba tunakashifu kwa usemi huo ni dhahiri kwamba Issa (a.s.) ndiye Yesu.

Huu ni utangulizi tu wa kuwafahamisha Wakristo wote wanaokataa kwamba Issa (a.s), Wakristo katika kuonyesha kwamba Issa (.a.s.) na Yesu ni tofauti huainisha mambo sita, hayo ni (1) jina (2) ukoo (3) kuumwa (4) kuzaliwa (5) utume (6) matendo yao kwa mambo haya 6. Mada hii imerefushwa sana na mimi nitamfundisha moja baada ya moja kama alivyopanga ili aelewe vilivyo kwamba Issa na Yesu ni Mtu yule yule na pia ajue kwamba Waislamu wanayo elimu ambayo si ya kubabaisha.

Hoja ya kwanza inayotolewa ambayo wao huona kwamba Issa (a.s.) si Yesu ni hii ya jina na hapa hapa nanukuu kama wanavyoandika, nanukuu hapa chini,

Kimatamshi jina la Yesu kwa Kiarabu ni YASU. Hivyo ndivyo aitwavyo na Waarabu. Wakristo tangu zama za kabla ya Muhammad na ndivyo aitwavyo ndani ya Injili ya Kiarabu iliyotafsiriwaWaraa bin Naufal bin Asad kabla ya utume wa Muhammad (sahihi Muslim hadith 30). Haya ndio mafundisho ya baadhi ya wakristo na kwamba Wakristo wote wa Kiarabu walimwita Bw. Yesu, YASU kwa maelezo haya ni kwamba wanatufahamisha kwamba Yesu ndiye YASU kwa hilo (tunawaunga mkono) tunakubaliana nao, hakuna tofauti kama wanavyodai. Waarabu Wakristo walimwita YASU badala ya Yesu na Waislamu ni Isa.

Nanukuu tena usemi wao wa pili huandika hivi!

Jina la Issa linatokana na jina AYASI lenye maana ya wekundu uliozidiana na weupe (Badawi, Vol 1 ukibo) kwa maana hiyo jina la Yesu ni mwokozi wa Issa ni wekundu na weupe. Hii huoni kuwa ni tofauti?

Wakristo huuliza swali na mimi nawajibu kwamba hakuna tofauti kwa sababu wametufahamisha kwamba AYASI ndio inayozaa Issa au kwa maana nyingine ni kwamba tafsiri ya AYASI ni Issa kama vile Father maana yake baba bado hawajafundisha kitu ila wanajichanganya wenyewe!

Lakini hujaribu kujenga hoja kwamba Issa maana yake ni Wekundu na Weupe hapa napenda kuwafundisha kwamba Bwana Yesu ni wa ukoo wa Daudi na Daudi alikuwa nabii Mathayo 1.1 - Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. Aya hii inatufundisha kwamba bwana Yesu ni wa ukoo wa Daudi yaani ametoka katika tumbo la Daudi.

I Samweli 16! 11-13 kisha Samweli akamwambia Yesu, watoto wako wote wapo hapa? Naye akasema, amesalia mdogo wao, na tazama, anachunga kondoo. Basi Samweli akamwambia Yesu. Tuma watu, wamlete, kwa sababu hatutaketi hata atakapokuja huku. Basi akatuma mtu, naye akamleta kwao, naye alikuwa mwekundu, mwenye macho mazuri, na umbo lake lilikuwa la kupendeza. Bwana akasema, ondoka, umtie mafuta, maana huyu ndiye. Ndipo Samweli akaitwaa pembe yenye mafuta, akautia kati ya ndugu zake na roho ya Bwana ikamjilia Daudi kwa nguvu tangu siku ile. Basi Samweli akaondoka, akaenda zake Rama.

Wimbo ulio bora 5! 10- Mpendwa wangu ni mweupe, tena mwekundu mashuhuri miongoni mwa elfu kumi.

Aya hizi mbili zinatufundisha sifa za Nabii Daudi ambaye ndiye wa ukoo mmoja na Yesu kwa hiyo Bwana Yesu amechukuwa jina la Wekundu wa weupe kutoka kwa Nabii Daudi.

Kwa maana hiyo hakuna tofauti yoyote kati ya Issa (a.s.) na Yesu. Nabii Daudi amefanywa kuwa masihi na Samweli kwa idhini ya Mungu, hali kadhalika na Issa (Yesu) amefanywa masihi na kuitwa hivyo sasa tuisome Qur’an 3.45 - Kumbukeni waliposema malaika Ewe Maryam! Mwenyezi Mungu anakupa habari njema za (kumzaa mtoto bila ya mume, bali kwa kutamkwa) neno tu litokalo kwake (la kukwambia "zaa" ukazaa pasina kuingiliwa) Jina lake ni Masih, Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na akhera, na miongoni mwa waliopelekwa mbele ya Mwenyezi Mungu.

Wakristo wote wanakubali na kuamini kwamba Bwana Yesu ni Masih, na Qur’ani imetufahamisha kwamba Masih ndiye Issa mwana wa Mariyamu kwa maana hii mtu ni yeye yule, sasa nakuuliza Waingereza wanamwita Jesus jee huyu ni nani? Kati ya Isa, Yesu, Yasu?

Fahamu kwamba lugha ya Kiarabu inafanana na lugha ya Kiarau lugha hii ni lugha dada ya Kiarabu hivyo, zinafanana Issa hutamkwa na Waarabu na Isai hutamkwa na Bani Israil (wana wa Israil) ambao hutumia lugha ya Aramic.

Bwana Yesu alikuwa anaitwa Yehoshua lakini Wayunani walishindwa kuita Yehoshua wakaita Yesu. Kwa hiyo waliacha Ho na shua wakakata Yesu sasa ninakushangaa wewe kutoa tafsiri ya Yesu kwamba ni mwokozi wakati neno lenyewe limekosewa kutamkwa.

Hivi sasa atakaporudi bwana huyo tunayemwita Yesu halafu tumuite Yesuu, Yesuu, Yesuu sidhani kwamba ataitikia kwa sababu jina hilo halitambui. Hakuna jina Yesu katika Israel bali utakuta jina Yoshua, Ishaya, Yona, Isaya, Isai, Yakobo, lakini Yesu si jina la Kiisrael.

Lakini sisi Waislamu hayo hayatupi tabu kuyatumia, sisi tunaita Yesu au Jesus kwa kuwaridhisheni nyingi ili tuweze kuwasiliana kwa hilo tunalokusudia kulizungumzia kama vile Mtume Musa mnavyomwita Moses jee unadhani kwamba kama akija leo atakubali kuitwa Moses?

Hali kadhalika huyu mwanafunzi wa Yesu mnaemwita Petro hili si jina lake bali ni jina la kupanga tu alilopewa na Warumi lakini sisi hatuwezi kusema kwamba Warumi wana-Petro wao na sisi tuna Simon Bar Yona wetu, na huyu Simon bar Yona ni ukoo wa Yesu.

Mathayo 16:16 - Simon Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliyehai. Yesu akajibu akamwambia, Heri wewe Simon Bar Yona kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali baba yangu aliye mbinguni.

Elewa hapa bwana Yesu kama mwalimu mwema anatufundisha kwamba Petro jina lake halisi Simon bar-Yona, sasa nyie muiteni mpendavyo lakini mtuambie hapa tuna maana ya Simon bar-Yona basi tutawasikiliza kwa hilo hilo mpendalo.

Ndio maana sisi Waislamu tunasema huyo mnayemwita Yesu ni Issa (a.s.) tusigombanie jina tugombanie mtu mtarajiwa.

Tunakubali Yesu ni mwokozi lakini si maana ya jina Yesu bali hiyo ndio kazi yake aliyojia duniani kuokoa, Mathayo 1:21.
 
Nabii Isa Mwana wa Maryamu ni Yesu huyo huyo!!



Kwa sababu Wakristo wengi kuanzia Papa, Makadinali, Maaskofu, Mapadri, Wachungaji na waumini wote wa Kikristo wanakiri kwamba Issa (a.s.) ndiye Yesu. Kwa sababu Waislamu tunasema Issa (a.s.) si Mungu, na hakusulubiwa kwa maneno hayo Wakristo hutuambia kwamba tunakashifu kwa usemi huo ni dhahiri kwamba Issa (a.s.) ndiye Yesu.

Huu ni utangulizi tu wa kuwafahamisha Wakristo wote wanaokataa kwamba Issa (a.s), Wakristo katika kuonyesha kwamba Issa (.a.s.) na Yesu ni tofauti huainisha mambo sita, hayo ni (1) jina (2) ukoo (3) kuumwa (4) kuzaliwa (5) utume (6) matendo yao kwa mambo haya 6. Mada hii imerefushwa sana na mimi nitamfundisha moja baada ya moja kama alivyopanga ili aelewe vilivyo kwamba Issa na Yesu ni Mtu yule yule na pia ajue kwamba Waislamu wanayo elimu ambayo si ya kubabaisha.

Hoja ya kwanza inayotolewa ambayo wao huona kwamba Issa (a.s.) si Yesu ni hii ya jina na hapa hapa nanukuu kama wanavyoandika, nanukuu hapa chini,

Kimatamshi jina la Yesu kwa Kiarabu ni YASU. Hivyo ndivyo aitwavyo na Waarabu. Wakristo tangu zama za kabla ya Muhammad na ndivyo aitwavyo ndani ya Injili ya Kiarabu iliyotafsiriwaWaraa bin Naufal bin Asad kabla ya utume wa Muhammad (sahihi Muslim hadith 30). Haya ndio mafundisho ya baadhi ya wakristo na kwamba Wakristo wote wa Kiarabu walimwita Bw. Yesu, YASU kwa maelezo haya ni kwamba wanatufahamisha kwamba Yesu ndiye YASU kwa hilo (tunawaunga mkono) tunakubaliana nao, hakuna tofauti kama wanavyodai. Waarabu Wakristo walimwita YASU badala ya Yesu na Waislamu ni Isa.

Nanukuu tena usemi wao wa pili huandika hivi!

Jina la Issa linatokana na jina AYASI lenye maana ya wekundu uliozidiana na weupe (Badawi, Vol 1 ukibo) kwa maana hiyo jina la Yesu ni mwokozi wa Issa ni wekundu na weupe. Hii huoni kuwa ni tofauti?

Wakristo huuliza swali na mimi nawajibu kwamba hakuna tofauti kwa sababu wametufahamisha kwamba AYASI ndio inayozaa Issa au kwa maana nyingine ni kwamba tafsiri ya AYASI ni Issa kama vile Father maana yake baba bado hawajafundisha kitu ila wanajichanganya wenyewe!

Lakini hujaribu kujenga hoja kwamba Issa maana yake ni Wekundu na Weupe hapa napenda kuwafundisha kwamba Bwana Yesu ni wa ukoo wa Daudi na Daudi alikuwa nabii Mathayo 1.1 - Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. Aya hii inatufundisha kwamba bwana Yesu ni wa ukoo wa Daudi yaani ametoka katika tumbo la Daudi.

I Samweli 16! 11-13 kisha Samweli akamwambia Yesu, watoto wako wote wapo hapa? Naye akasema, amesalia mdogo wao, na tazama, anachunga kondoo. Basi Samweli akamwambia Yesu. Tuma watu, wamlete, kwa sababu hatutaketi hata atakapokuja huku. Basi akatuma mtu, naye akamleta kwao, naye alikuwa mwekundu, mwenye macho mazuri, na umbo lake lilikuwa la kupendeza. Bwana akasema, ondoka, umtie mafuta, maana huyu ndiye. Ndipo Samweli akaitwaa pembe yenye mafuta, akautia kati ya ndugu zake na roho ya Bwana ikamjilia Daudi kwa nguvu tangu siku ile. Basi Samweli akaondoka, akaenda zake Rama.

Wimbo ulio bora 5! 10- Mpendwa wangu ni mweupe, tena mwekundu mashuhuri miongoni mwa elfu kumi.

Aya hizi mbili zinatufundisha sifa za Nabii Daudi ambaye ndiye wa ukoo mmoja na Yesu kwa hiyo Bwana Yesu amechukuwa jina la Wekundu wa weupe kutoka kwa Nabii Daudi.

Kwa maana hiyo hakuna tofauti yoyote kati ya Issa (a.s.) na Yesu. Nabii Daudi amefanywa kuwa masihi na Samweli kwa idhini ya Mungu, hali kadhalika na Issa (Yesu) amefanywa masihi na kuitwa hivyo sasa tuisome Qur’an 3.45 - Kumbukeni waliposema malaika Ewe Maryam! Mwenyezi Mungu anakupa habari njema za (kumzaa mtoto bila ya mume, bali kwa kutamkwa) neno tu litokalo kwake (la kukwambia "zaa" ukazaa pasina kuingiliwa) Jina lake ni Masih, Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na akhera, na miongoni mwa waliopelekwa mbele ya Mwenyezi Mungu.

Wakristo wote wanakubali na kuamini kwamba Bwana Yesu ni Masih, na Qur’ani imetufahamisha kwamba Masih ndiye Issa mwana wa Mariyamu kwa maana hii mtu ni yeye yule, sasa nakuuliza Waingereza wanamwita Jesus jee huyu ni nani? Kati ya Isa, Yesu, Yasu?

Fahamu kwamba lugha ya Kiarabu inafanana na lugha ya Kiarau lugha hii ni lugha dada ya Kiarabu hivyo, zinafanana Issa hutamkwa na Waarabu na Isai hutamkwa na Bani Israil (wana wa Israil) ambao hutumia lugha ya Aramic.

Bwana Yesu alikuwa anaitwa Yehoshua lakini Wayunani walishindwa kuita Yehoshua wakaita Yesu. Kwa hiyo waliacha Ho na shua wakakata Yesu sasa ninakushangaa wewe kutoa tafsiri ya Yesu kwamba ni mwokozi wakati neno lenyewe limekosewa kutamkwa.

Hivi sasa atakaporudi bwana huyo tunayemwita Yesu halafu tumuite Yesuu, Yesuu, Yesuu sidhani kwamba ataitikia kwa sababu jina hilo halitambui. Hakuna jina Yesu katika Israel bali utakuta jina Yoshua, Ishaya, Yona, Isaya, Isai, Yakobo, lakini Yesu si jina la Kiisrael.

Lakini sisi Waislamu hayo hayatupi tabu kuyatumia, sisi tunaita Yesu au Jesus kwa kuwaridhisheni nyingi ili tuweze kuwasiliana kwa hilo tunalokusudia kulizungumzia kama vile Mtume Musa mnavyomwita Moses jee unadhani kwamba kama akija leo atakubali kuitwa Moses?

Hali kadhalika huyu mwanafunzi wa Yesu mnaemwita Petro hili si jina lake bali ni jina la kupanga tu alilopewa na Warumi lakini sisi hatuwezi kusema kwamba Warumi wana-Petro wao na sisi tuna Simon Bar Yona wetu, na huyu Simon bar Yona ni ukoo wa Yesu.

Mathayo 16:16 - Simon Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliyehai. Yesu akajibu akamwambia, Heri wewe Simon Bar Yona kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali baba yangu aliye mbinguni.

Elewa hapa bwana Yesu kama mwalimu mwema anatufundisha kwamba Petro jina lake halisi Simon bar-Yona, sasa nyie muiteni mpendavyo lakini mtuambie hapa tuna maana ya Simon bar-Yona basi tutawasikiliza kwa hilo hilo mpendalo.

Ndio maana sisi Waislamu tunasema huyo mnayemwita Yesu ni Issa (a.s.) tusigombanie jina tugombanie mtu mtarajiwa.

Tunakubali Yesu ni mwokozi lakini si maana ya jina Yesu bali hiyo ndio kazi yake aliyojia duniani kuokoa, Mathayo 1:21.
Hebu tuondolee utata wa kuzaliwa kwa Yesu na Issa ili tuamini ulichoandika. Inawezekana mtu mmoja akazaliwa chini ya mtende na kwenye hori la wanyama ng'ombe?
 
Nabii Isa Mwana wa Maryamu ni Yesu huyo huyo!!



Kwa sababu Wakristo wengi kuanzia Papa, Makadinali, Maaskofu, Mapadri, Wachungaji na waumini wote wa Kikristo wanakiri kwamba Issa (a.s.) ndiye Yesu. Kwa sababu Waislamu tunasema Issa (a.s.) si Mungu, na hakusulubiwa kwa maneno hayo Wakristo hutuambia kwamba tunakashifu kwa usemi huo ni dhahiri kwamba Issa (a.s.) ndiye Yesu.

Huu ni utangulizi tu wa kuwafahamisha Wakristo wote wanaokataa kwamba Issa (a.s), Wakristo katika kuonyesha kwamba Issa (.a.s.) na Yesu ni tofauti huainisha mambo sita, hayo ni (1) jina (2) ukoo (3) kuumwa (4) kuzaliwa (5) utume (6) matendo yao kwa mambo haya 6. Mada hii imerefushwa sana na mimi nitamfundisha moja baada ya moja kama alivyopanga ili aelewe vilivyo kwamba Issa na Yesu ni Mtu yule yule na pia ajue kwamba Waislamu wanayo elimu ambayo si ya kubabaisha.

Hoja ya kwanza inayotolewa ambayo wao huona kwamba Issa (a.s.) si Yesu ni hii ya jina na hapa hapa nanukuu kama wanavyoandika, nanukuu hapa chini,

Kimatamshi jina la Yesu kwa Kiarabu ni YASU. Hivyo ndivyo aitwavyo na Waarabu. Wakristo tangu zama za kabla ya Muhammad na ndivyo aitwavyo ndani ya Injili ya Kiarabu iliyotafsiriwaWaraa bin Naufal bin Asad kabla ya utume wa Muhammad (sahihi Muslim hadith 30). Haya ndio mafundisho ya baadhi ya wakristo na kwamba Wakristo wote wa Kiarabu walimwita Bw. Yesu, YASU kwa maelezo haya ni kwamba wanatufahamisha kwamba Yesu ndiye YASU kwa hilo (tunawaunga mkono) tunakubaliana nao, hakuna tofauti kama wanavyodai. Waarabu Wakristo walimwita YASU badala ya Yesu na Waislamu ni Isa.

Nanukuu tena usemi wao wa pili huandika hivi!

Jina la Issa linatokana na jina AYASI lenye maana ya wekundu uliozidiana na weupe (Badawi, Vol 1 ukibo) kwa maana hiyo jina la Yesu ni mwokozi wa Issa ni wekundu na weupe. Hii huoni kuwa ni tofauti?

Wakristo huuliza swali na mimi nawajibu kwamba hakuna tofauti kwa sababu wametufahamisha kwamba AYASI ndio inayozaa Issa au kwa maana nyingine ni kwamba tafsiri ya AYASI ni Issa kama vile Father maana yake baba bado hawajafundisha kitu ila wanajichanganya wenyewe!

Lakini hujaribu kujenga hoja kwamba Issa maana yake ni Wekundu na Weupe hapa napenda kuwafundisha kwamba Bwana Yesu ni wa ukoo wa Daudi na Daudi alikuwa nabii Mathayo 1.1 - Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. Aya hii inatufundisha kwamba bwana Yesu ni wa ukoo wa Daudi yaani ametoka katika tumbo la Daudi.

I Samweli 16! 11-13 kisha Samweli akamwambia Yesu, watoto wako wote wapo hapa? Naye akasema, amesalia mdogo wao, na tazama, anachunga kondoo. Basi Samweli akamwambia Yesu. Tuma watu, wamlete, kwa sababu hatutaketi hata atakapokuja huku. Basi akatuma mtu, naye akamleta kwao, naye alikuwa mwekundu, mwenye macho mazuri, na umbo lake lilikuwa la kupendeza. Bwana akasema, ondoka, umtie mafuta, maana huyu ndiye. Ndipo Samweli akaitwaa pembe yenye mafuta, akautia kati ya ndugu zake na roho ya Bwana ikamjilia Daudi kwa nguvu tangu siku ile. Basi Samweli akaondoka, akaenda zake Rama.

Wimbo ulio bora 5! 10- Mpendwa wangu ni mweupe, tena mwekundu mashuhuri miongoni mwa elfu kumi.

Aya hizi mbili zinatufundisha sifa za Nabii Daudi ambaye ndiye wa ukoo mmoja na Yesu kwa hiyo Bwana Yesu amechukuwa jina la Wekundu wa weupe kutoka kwa Nabii Daudi.

Kwa maana hiyo hakuna tofauti yoyote kati ya Issa (a.s.) na Yesu. Nabii Daudi amefanywa kuwa masihi na Samweli kwa idhini ya Mungu, hali kadhalika na Issa (Yesu) amefanywa masihi na kuitwa hivyo sasa tuisome Qur’an 3.45 - Kumbukeni waliposema malaika Ewe Maryam! Mwenyezi Mungu anakupa habari njema za (kumzaa mtoto bila ya mume, bali kwa kutamkwa) neno tu litokalo kwake (la kukwambia "zaa" ukazaa pasina kuingiliwa) Jina lake ni Masih, Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na akhera, na miongoni mwa waliopelekwa mbele ya Mwenyezi Mungu.

Wakristo wote wanakubali na kuamini kwamba Bwana Yesu ni Masih, na Qur’ani imetufahamisha kwamba Masih ndiye Issa mwana wa Mariyamu kwa maana hii mtu ni yeye yule, sasa nakuuliza Waingereza wanamwita Jesus jee huyu ni nani? Kati ya Isa, Yesu, Yasu?

Fahamu kwamba lugha ya Kiarabu inafanana na lugha ya Kiarau lugha hii ni lugha dada ya Kiarabu hivyo, zinafanana Issa hutamkwa na Waarabu na Isai hutamkwa na Bani Israil (wana wa Israil) ambao hutumia lugha ya Aramic.

Bwana Yesu alikuwa anaitwa Yehoshua lakini Wayunani walishindwa kuita Yehoshua wakaita Yesu. Kwa hiyo waliacha Ho na shua wakakata Yesu sasa ninakushangaa wewe kutoa tafsiri ya Yesu kwamba ni mwokozi wakati neno lenyewe limekosewa kutamkwa.

Hivi sasa atakaporudi bwana huyo tunayemwita Yesu halafu tumuite Yesuu, Yesuu, Yesuu sidhani kwamba ataitikia kwa sababu jina hilo halitambui. Hakuna jina Yesu katika Israel bali utakuta jina Yoshua, Ishaya, Yona, Isaya, Isai, Yakobo, lakini Yesu si jina la Kiisrael.

Lakini sisi Waislamu hayo hayatupi tabu kuyatumia, sisi tunaita Yesu au Jesus kwa kuwaridhisheni nyingi ili tuweze kuwasiliana kwa hilo tunalokusudia kulizungumzia kama vile Mtume Musa mnavyomwita Moses jee unadhani kwamba kama akija leo atakubali kuitwa Moses?

Hali kadhalika huyu mwanafunzi wa Yesu mnaemwita Petro hili si jina lake bali ni jina la kupanga tu alilopewa na Warumi lakini sisi hatuwezi kusema kwamba Warumi wana-Petro wao na sisi tuna Simon Bar Yona wetu, na huyu Simon bar Yona ni ukoo wa Yesu.

Mathayo 16:16 - Simon Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliyehai. Yesu akajibu akamwambia, Heri wewe Simon Bar Yona kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali baba yangu aliye mbinguni.

Elewa hapa bwana Yesu kama mwalimu mwema anatufundisha kwamba Petro jina lake halisi Simon bar-Yona, sasa nyie muiteni mpendavyo lakini mtuambie hapa tuna maana ya Simon bar-Yona basi tutawasikiliza kwa hilo hilo mpendalo.

Ndio maana sisi Waislamu tunasema huyo mnayemwita Yesu ni Issa (a.s.) tusigombanie jina tugombanie mtu mtarajiwa.

Tunakubali Yesu ni mwokozi lakini si maana ya jina Yesu bali hiyo ndio kazi yake aliyojia duniani kuokoa, Mathayo 1:21.
Kwa Jina Issa kua na maana ya wekundu na weupe ina Ashiria nini kiunabii ama kazi yake kwa ujumla? Unaweza kufafanua hapo?.
 
Bado naendelea kuwashangaa wanaowafananisha.

1. Neno Yesu kwa Kiarabu ni Yasu sio Issa.
2. Jina Issa linatokana na jina Ayasi.
3. Mama yake Yeu ni Mariamu wa ukoo wa Yuda, Wakati mama yake Issa ni Maryam wa ukoo wa Imran.
4. Nabii Issa bin Maryam ni Mu-irak wa kabila la Kurd wakati Yesu ni Mu-israeli wa kabila la kiebrania.
5. Koran inasema kuwa Nabii Issa bin Mariam alizaliwa chini ya mti wa Mtende. Biblia inasema Yesu alizaliwa katika Pango la Malisho ya Ng'ombe.
6. Issa sio mwana wa Mungu (Qur’ani Suratul Al An-Am,6:101) wakati Yesu ni Mwana wa Mungu (Luka 1:30-31,35)
7. Issa hajawahi kusulubiwa, Yesu alisulubiwa.
8. Issa atakaporudi atakuja kuvunja misalaba na kuua nguruwe, Yesu atakaporudi atawakusanya wateule.

KUNA TOFAUTI ZAIDI YA 100. Kwa leo niishie hapa
 
Back
Top Bottom