mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,582
Kwahiyo wa kusujudiwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe ni hata adam pia.Bila shaka , Kiburi ni kibaya
Kwahiyo wa kusujudiwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe ni hata adam pia.Bila shaka , Kiburi ni kibaya
Kwahiyo wa kusujudiwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe ni hata adam pia.
Kwa hivyo biblia za kiarabu mbona hilo jina Allah lipoHata Allah sio huyu Mungu ambaye wakristo wanamuabudu
Quran inamuongelea mtu tofauti mnayemuita Issa ambaye alizaliwa chini ya mti. Biblia inamuongeleà Yesu aliyezaliwa kwenye hori la ng'ombe. Hawa ni watu wawili tofauti
Hapa ametoa maagizo kwa malaika wamsujudie adam.Hapana wa kusujudiwa ni Yeye tu Allah
Tatizo huyo Allah wa huko ni baba wa Yesu.Kwa hivyo biblia za kiarabu mbona hilo jina Allah lipo
Tatizo huyo Allah wa huko ni baba wa Yesu.
Hapa ametoa maagizo kwa malaika wamsujudie adam.
POst namba 106 inaeleza Adam peke kusujudiwa,au kuna sehem Allah anasujudiwa pale??Itakuwa hukuelewa tokea mwanzo
rudia tena post # 106
Jibu lqko liko pale
Kabisa ila Allah wa Quran sio baba wa yeyote,umeelewa sasa??Hata wewe kwa lugha ya kiyahudi atakuwa ni baba yako
Common people (you and me) are the sons of God: "
Ye are the children ofthe LORD your God" Deuteronomy 14:1.
"For as many as are led by the Spiritof God, they are the sons of God" Romans 8:14
Huyo JESUS Ben STADA naye ni wa kwenu. Kwenye Biblia hatuna Issa wala Ben StafaBut was there a crucified Jesus?
Certainly. Jesus ben Stada was a Judean agitator who gave the Romans a headache in the early years of the second century.
He met his end in the town of Lydda (twenty five miles from Jerusalem) at the hands of a Roman crucifixion crew.
And given the scale that Roman retribution could reach – at the height of the siege of Jerusalem the Romans were crucifying upwards of five hundred captives a day before the city walls – dead heroes called Jesus would (quite literally) have been thick on the ground.
Not one merits a full-stop in the great universal history.
uliandikaPOst namba 106 inaeleza Adam peke kusujudiwa,au kuna sehem Allah anasujudiwa pale??
hata wa biblia si baba wa yeyote , ile ni lugha ya wakati ule tu ambayo haimaanishi kuwa mungu ana watoto. Kwani hakuna myahudi anayemuona mungu kuwa ni baba yakeKabisa ila Allah wa Quran sio baba wa yeyote,umeelewa sasa??
Huyo JESUS Ben STADA naye ni wa kwenu. Kwenye Biblia hatuna Issa wala Ben Stafa
kwanini awaamulishe haramu??uliandika
Hapa ametoa maagizo kwa malaika wamsujudie adam.
Jibu
Kwani ulitaka iwe vipi , na hiyo ni amri
leta andiko Mungu si baba wa yeyote ktk biblia.hata wa biblia si baba wa yeyote , ile ni lugha ya wakati ule tu ambayo haimaanishi kuwa mungu ana watoto. Kwani hakuna myahudi anayemuona mungu kuwa ni baba yake
kwanini awaamulishe haramu??
leta andiko Mungu si baba wa yeyote ktk biblia.
Na kwakuwa ni lugha ya wakati ule isiyomaanisha kwamba Mungu hakulala na mama zetu kwanini Muhammad hakujua hilo???
UsichoNi kweli kwa sababu,Issa alimuomba Mungu,kikombe cha umauti kimuepuke na akakubaliwa ombi lake na Mungu, hawakumsulubu,kumvalisha nepi,kumtesa na kumdhihaki.lakini Yesu,alipoomba kwa Mungu,kikombe cha mauti kimuepuke,hakukubaliwa ombi.lake na Mungu alivalishwa nepi,akadhihakiwa,akachomwa mkuki akasulubiwa na kufa msalabani.Issa hakufa msalabani,na yuko hai mbinguni ila Yesu alisulubiwa na kufa msalabani.
Usichojua ni kwqmba pale msalabani hakuwa na vazi lolote lie, si nepi, wala diaper, wala pampers. Na kweli alidhihakiwa, alidhalilishwa, alichomwa mkuki...aliteswa, akamwagq damu mpaka akakata roho. Kwa ajili yako alifufuka siku ya tatu, akaishinda mauti kwa ajili ya ukombozi wako na wangu. Jesus loves you...despite matusi yote hayo ambayo umemtukana hapo juu. Pale Kalvari alitukanwa zaidi but akasema Baba wasemehe...Ni kweli kwa sababu,Issa alimuomba Mungu,kikombe cha umauti kimuepuke na akakubaliwa ombi lake na Mungu, hawakumsulubu,kumvalisha nepi,kumtesa na kumdhihaki.lakini Yesu,alipoomba kwa Mungu,kikombe cha mauti kimuepuke,hakukubaliwa ombi.lake na Mungu alivalishwa nepi,akadhihakiwa,akachomwa mkuki akasulubiwa na kufa msalabani.Issa hakufa msalabani,na yuko hai mbinguni ila Yesu alisulubiwa na kufa msalabani.
KWanini awaamuishe kumsujudia adam wakati wa kusujudiwa ni yeye tu???Unaandika kitu gani mbona kiswahili kinaanza kukupiga chenga