Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Kama wote wanatoa majini, hakuna tofauti.
Kazi ya Table(English) ndiyo kazi ya meza(kiswahili)
Kipi kinachokufanya uone wote wanatoa majini? Nimesema hapo kwamba hata manabii wa uongo hutoa majini.

Yani kama tofauti kubwa ya Mungu na asiye Mungu kwa issue ya Yesu haikusumbui ni ajabu kusumbuka na utofauti na wa Yesu na Issa.
 
Nataka kujua tu wewe umewajuaje hao majini eleza vyovyote vile ulipowajulia kutoka popote pale iwe kwenye bible au popote.
Ni roho chafu/mapepo
Huwa wanapiga kelele wakisikia jina la Yesu

Bible verse ziko nyingi kaachini usome
 
Ni roho chafu/mapepo
Huwa wanapiga kelele wakisikia jina la Yesu

Bible verse ziko nyingi kaachini usome
Mimi naulizia majini, sina uhakika kama hao mapepo ndio hawa majini sasa labda uniambie una uhakika gani kwamba hao mapepo ndio hawa majini?
 
Mimi naulizia majini, sina uhakika kama hao mapepo ndio hawa majini sasa labda uniambie una uhakika gani kwamba hao mapepo ndio hawa majini?
Hauna uhakika?
Unabishaje kitu usichokijua?

Yani itabidi nianze kufundisha kuanzia mwanzo , kuwa shetani hakuumbwa akiwa kama shetani(Ibilisi) kama Quran inavyo dai - hii ndo madhara ya kuchanganya uongo na ukweli

Shetani ni matokeo ya uasi wa baadhi malaika. Ndipo wakapewa jina shetani na kutupwa duniani. Majini au Ibilisi au Shetani ni yule yule malaika walioasi mbinguni wakatupwa duniani wasikuchanganye.
Jini ndiye pepo ambaye humuingia na kufanya possession

Kiujumla Muhammad alikuwa ni nabii wa Shetani aliyekuja kupinga Yesu:
2 Wakorintho 11:14-15
“Na si ajabu; maana Shetani mwenyewe hubadilika awe kama malaika wa nuru. Basi si ajabu watumishi wake nao wakajifanya kuwa watumishi wa haki.”
 
Hauna uhakika?
Unabishaje kitu usichokijua?

Yani itabidi nianze kufundisha kuanzia mwanzo , kuwa shetani hakuumbwa akiwa kama shetani(Ibilisi) kama Quran inavyo dai - hii ndo madhara ya kuchanganya uongo na ukweli

Shetani ni matokeo ya uasi wa baadhi malaika. Ndipo wakapewa jina shetani na kutupwa duniani. Majini au Ibilisi au Shetani ni yule yule malaika walioasi mbinguni wakatupwa duniani wasikuchanganye.
Jini ndiye pepo ambaye humuingia na kufanya possession

Kiujumla Muhammad alikuwa ni nabii wa Shetani aliyekuja kupinga Yesu:
2 Wakorintho 11:14-15
“Na si ajabu; maana Shetani mwenyewe hubadilika awe kama malaika wa nuru. Basi si ajabu watumishi wake nao wakajifanya kuwa watumishi wa haki.”
ISOME BIBLIA YAKO VIZURI

Shetani/ibilisi ni nafsi moja iliyo muasi Mungu. Soma

(Ayubu 1:13-19; 2:7, 8; 2 Timotheo 2:26) Pia inasimulia mazungumzo kati ya Shetani na Mungu na pia kati yake na Yesu.—Ayubu 1:7-12; Mathayo 4:1-11.

Majini ni Viumbe vilivyo umbwa kwa moto na malaika ni viumbe vilivyo umbwa kwa Nuru hivyo majini sio malaika na shetani sio Jini.

Soma

Luka 10:17-20
" Ndipo watu sabiini waliporudi kwa FURAHA,wakisema,BWANA HATA PEPO WANATUTII KWA JINA LAKO"

Hivyo hata Majini wanamtii Mungu ila Shetani sababu ya kuitwa shetani ni alipinga amri ya kumtii Mungu.

SOMA UKIWA NA ROHO MTAKATIFU
 
Wakristo wanaamini kuwa majini ni mawakala wa shetani,na hawana msaada kabisa kwao zaidi yakuwapeleka kwa shetani aliye mkuu wa jehanam.Nilimsikia jirani yangu mwislam akinihadithia habari za majini wazuri na wabaya.Nami nilimkatalia kuwa hakuna jini mzuri.
Shida hata sio kuwepo majini wazuri hata kama tutakubaliana kwamba majini wote ni wabaya ila issue ni kwamba majini ni viumbe tofauti na malaika hivyo majini hawana uhusiano na malaika waliyoasi, majini wanajamiana na kuzaa kitu ambacho ni tofauti na malaika.
 
Hauna uhakika?
Unabishaje kitu usichokijua?

Yani itabidi nianze kufundisha kuanzia mwanzo , kuwa shetani hakuumbwa akiwa kama shetani(Ibilisi) kama Quran inavyo dai - hii ndo madhara ya kuchanganya uongo na ukweli

Shetani ni matokeo ya uasi wa baadhi malaika. Ndipo wakapewa jina shetani na kutupwa duniani. Majini au Ibilisi au Shetani ni yule yule malaika walioasi mbinguni wakatupwa duniani wasikuchanganye.
Jini ndiye pepo ambaye humuingia na kufanya possession

Kiujumla Muhammad alikuwa ni nabii wa Shetani aliyekuja kupinga Yesu:
2 Wakorintho 11:14-15
“Na si ajabu; maana Shetani mwenyewe hubadilika awe kama malaika wa nuru. Basi si ajabu watumishi wake nao wakajifanya kuwa watumishi wa haki.”
Mkuu mimi nawaelewa majini kama viumbe ambao ni tofauti na malaika na binaadamu kwa maana majini hawana asili ya malaika wala binaadamu, sasa ukusema kwamba majini ni malaika ndio hapo nimetaka kujua kipi kinakufanya uone majini wana asili ya malaika?

Kwa sababu malaika tunajua jinsi wailivyo na majini tunajua pia na ukiangalia unaona kabisa majini ni tofauti na malaika.
 
Nimekuwa nikisikia mijadala mingi mtaani na hata mitandaoni kuhusu Yesu na Nabii Isa. Wengine wanasema ni mtu mmoja kwa majina tofauti, wengine wanadai kuna tofauti kubwa sana.

Katika Ukristo, Yesu anatajwa kama Mwana wa Mungu, alizaliwa na Bikira Maria, alifanya miujiza mingi, alisulubiwa msalabani kwa ajili ya dhambi za wanadamu, akafa, akafufuka na kupaa mbinguni. Ana nafasi ya kipekee kama Mwokozi wa ulimwengu.

Kwa upande wa Uislamu, Nabii Isa bin Mariam naye alizaliwa kwa muujiza bila baba, pia alifanya miujiza mingi (kama kuponya wagonjwa na kufufua wafu), lakini haaminiki kama Mwana wa Mungu bali Nabii wa Mwenyezi Mungu. Waislamu huamini hakuuliwa msalabani bali alinyakuliwa na Mungu, na atarudi tena kabla ya Siku ya Kiyama.

Swali langu kwa wana Jamii Forums:

Hivi tunaposema Yesu na Nabii Isa ni mtu mmoja, ni sahihi kihistoria na kiimani?

Je, tofauti hizi za kiimani zinaathiri vipi maelewano ya kidini?

Na kwa wale wanaopenda kuchimba zaidi, kuna maandiko yanayofanana kwenye Biblia na Qur’an kuhusu maisha yake?


Naomba tujadili kwa heshima, kueleweshana, siyo mihemko
Issa kazaliwa chini ya mtende Yesu kwenye zizi la ng'ombe
 
 Majini ni Viumbe vilivyo umbwa kwa moto na malaika ni viumbe vilivyo umbwa kwa Nuru hivyo majini sio malaika na shetani sio Jini.
Hapa ndipo Muhammad aliweka uwongo wake.
Katika biblia, MUNGU alimuumba malaika. Walioasi ndo walikuwa mashetani. Hii majini , Ibilisi na shetani ni kuchanganya ili uongo uingizwe -
Ni sawa na kusema Table na Meza
MUNGU hajawahi kuumba majini(kutokana na biblia)
Soma

Luka 10:17-20
" Ndipo watu sabiini waliporudi kwa FURAHA,wakisema,BWANA _ _ _ _ HATA PEPO WANATUTII KWA JINA LAKO"

Acha kufuta vifungu vya biblia, unachofanya ni ushetani

Luka 10:17 " Wale wanafunzi sabini na wawili wakarudi wakiwa na furaha. Wakamwambia Yesu, “Bwana, tukilitumia jina lako, hata pepo wanatutii!”
Hivyo hata Majini wanamtii Mungu ila Shetani sababu ya kuitwa shetani ni alipinga amri ya kumtii Mungu.

Wanamtii Yesu, na ni kwa sababu anawatesa

Luka 10:17 " _ _ Wakamwambia Yesu Bwana, tukilitumia jina lako, _ _ _
Mathayo 8:29 " Na tazama, wakapiga kelele, wakisema, Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu(Yesu)? Je! Umekuja kututesa kabla ya muhula wetu? "

SOMA UKIWA NA ROHO MTAKATIFU
Quran inamjua Roho mtakatifu, njoo na fungi linaloonesha
 
Hapa ndipo Muhammad aliweka uwongo wake.
Katika biblia, MUNGU alimuumba malaika. Walioasi ndo walikuwa mashetani. Hii majini , Ibilisi na shetani ni kuchanganya ili uongo uingizwe -
Ni sawa na kusema Table na Meza
MUNGU hajawahi kuumba majini(kutokana na biblia)


Acha kufuta vifungu vya biblia, unachofanya ni ushetani

Luka 10:17 " Wale wanafunzi sabini na wawili wakarudi wakiwa na furaha. Wakamwambia Yesu, “Bwana, tukilitumia jina lako, hata pepo wanatutii!”


Wanamtii Yesu, na ni kwa sababu anawatesa

Luka 10:17 " _ _ Wakamwambia Yesu Bwana, tukilitumia jina lako, _ _ _
Mathayo 8:29 " Na tazama, wakapiga kelele, wakisema, Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu(Yesu)? Je! Umekuja kututesa kabla ya muhula wetu? "


Quran inamjua Roho mtakatifu, njoo na fungi linaloonesha
Nakujibu kulingana na imani yako kama huiamini Biblia yako pia ni sawa kwasababu Yesu hakuandika Biblia..

Okay.. Jina La shetani ni Ibilisi kama biblia inavyo sema

Mpingeni Ibilisi, naye atawakimbia ninyi.” —YAKOBO 4:7

Majini na shetani(ibilisi) ni vitu viwili tofauti kwa mujibu wa Biblia yako unayo iamini.

Wanamtii Yesu, na ni kwa sababu anawatesa
Shetani alimtaka Yesu amfanyie tendo la ibada.’—Mathayo 4:9.

Tokea alipo itwa shetani hajawahi kumtii Mungu kwa maana hyo wanao mtii Mungu ni Majini na sio Shetani(ibilisi).
Quran inamjua Roho mtakatifu, njoo na fungi linaloonesha

Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, Quran (16:102)​

 
Mkuu mimi nawaelewa majini kama viumbe ambao ni tofauti na malaika na binaadamu kwa maana majini hawana asili ya malaika wala binaadamu, sasa ukusema kwamba majini ni malaika ndio hapo nimetaka kujua kipi kinakufanya uone majini wana asili ya malaika?

Kwa sababu malaika tunajua jinsi wailivyo na majini tunajua pia na ukiangalia unaona kabisa majini ni tofauti na malaika.
Na nilisema toka awali mmelishwa ukweli, ulio changanywa na uongo.

Ni malaika ila walioasi,
Katika Biblia, MUNGU hajawahi kuumba jini, wala hakuna tofauti kati ya shetani, Ibilisi na mapepo,
hao ni malaika waasi.
Asikudanye mtu ni kitu kilekile

Tunarudi palepale kazi ya spoon au kijiko ni kula, na kazi ya jini au pepo ni kufanya possession anapomuingia mtu

Mathayo 8:28 -29 " Naye alipofika ng’ambo, katika nchi ya Wagerasi, watu wawili wenye pepo walikutana naye, wanatoka makaburini, wakali mno, hata mtu asiweze kuipitia njia ile.Na tazama, wakapiga kelele, wakisema, Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu? Je! Umekuja kututesa kabla ya muhula wetu?"

Na ukiangalia atakayewapiga mashetani siku ya mwisho ni Yesu.

Na kati inayoongoza kuwa na waumini wengi wenye pepo ambao ndio majini yenyewe ni nyinyi waislamu.

Hakunaga shetani mzuri, usidanganywe kuna majini wema na wabaya. Huo ni mtego
 
Katika Biblia, MUNGU hajawahi kuumba jini, wala hakuna tofauti kati ya shetani, Ibilisi na mapepo,
Kwanini unabisha kitu usicho kijua na kulazimisha unacho amini wewe.. Shetani biblia imemuelezea vzuri na kila aliye soma biblia atajua tofauti ya Shetani(ibilisi) na Majini.

Wewe sijui unasoma biblia gani soma hapa

Ezekieli 28:17 "Moyo wako uliinika kwa sababu ya uzuri wako umeiharibi hekima yako kwa sababu ya mwangaza wako ni mekutupa chini ni mekulaza mbele ya wafalme, wapate kukutazama."

Shetani ni Joka moja na sio majini kama inavyo sema Bibli
 
Nakujibu kulingana na imani yako kama huiamini Biblia yako pia ni sawa kwasababu Yesu hakuandika Biblia..
Biblia sio Kuran , ambayo theory tu - kwenye matendo hamna kitu
Okay.. Jina La shetani ni Ibilisi kama biblia inavyo sema

Mpingeni Ibilisi, naye atawakimbia ninyi.” —YAKOBO 4:7
Je kuna mahali nimesema shetani sio ibilisi?
Majini na shetani(ibilisi) ni vitu viwili tofauti kwa mujibu wa Biblia yako unayo iamini.
Majini ndiyo mapepo yenyewe,
Kama unabisha - Njoo na Aya au mstari wa biblia unaosema majini sio shetani.
Huu ni uongo mliolishwa na umewachanganya.
Shetani alimtaka Yesu amfanyie tendo la ibada(amwabudu).’—Mathayo 4:9

Ila akamkataa shetani

Mathayo 4:10-11 " Yesu akamwambia, “Ondoka hapa shetani! Kwa maana imean dikwa, ‘Utamwabudu Bwana Mungu wako na utamtumikia yeye peke yake.’Ndipo shetani akamwacha, na malaika wakaja wakamhu dumia.

Tokea alipo itwa shetani hajawahi kumtii Mungu kwa maana hyo wanao mtii Mungu ni Majini na sio Shetani(ibilisi).

Nipe mstari au Aya ya biblia inayosema wanao mtii Mungu ni Majini

Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, Quran (16:102)​

Ruh al-Qudus(Roho Mtakatifu wa Kurani) hakai ndani ya mtu, ni mtumishi tu anayetumwa hana tofauti na malaika.
Roho mtakatifu wa biblia , anakaa ndani ya mtu na yeye sio malaika Bali ni MUNGU(anakamilisha Umungu nafsi tatu)

Ruh al-Qudus(Roho Mtakatifu wa Kurani) haabudiwi.
Roho mtakatifu wa biblia , anaabudiwa kwa sababu ni MUNGU

Utofauti upo mkubwa
 
Back
Top Bottom