To MMU ladies ....

To MMU ladies ....

Mmmhhh
Kiukweli kwanza ningejiuliza y?
Halafu ningekuiliza y mi? Hunijui sikujui unaniamini nn?
 
Huna sababu ya kuhofia moyo wangu kwakuwa mimi sina kawaida ya kudanganya

Nimekukubali kwa namna ulivyo hivyo huna haja ya kuhofia chochote kile
Uko salama ukiwa na mimi

Mipango utaijua baada ya kujua kama nakupenda kwelli!

Siwez kuwa salama mikononi mwako hapo umenidanganya tupo salama mikononi mwa Mungu..
Tafakar kama kweli husemi uongo na cha pili kama ungekuwa waweza kuvumilia kabla Yang ulikuwa na mtu ungemvumilia Mimi sio wa kwanza kwako

Kubali mapenz ni kama maji ya moto hayakawii kupoa wewe upo radhi kwa chochote kwa maana wataka kujua kilichopo ndani Yang ila baada ya mda na kunijua hutokuwa na uvumilivu
 
Siwez kuwa salama mikononi mwako hapo umenidanganya tupo salama mikononi mwa Mungu..
Tafakar kama kweli husemi uongo na cha pili kama ungekuwa waweza kuvumilia kabla Yang ulikuwa na mtu ungemvumilia Mimi sio wa kwanza kwako
Mungu anahusika na mambo ambayo yanamhusu yeye
Kuna mambo ya Mungu na mengine hayamhusu

Kuhusu kuvumilia jua kuwa kuna ambae anavumiliwa lakini yeye ndio anakuwa hataki hayo mahusiano hivyo inawezekana tatizo halikuwa kuvumilia bali ni hao wanaovumiliwa kutokutaka mahusiano yaendelee

Naamini wewe huoko hivyo
Kubali mapenz ni kama maji ya moto hayakawii kupoa wewe upo radhi kwa chochote kwa maana wataka kujua kilichopo ndani Yang ila baada ya mda na kunijua hutokuwa na uvumilivu
Nimeshakujibu hili na inaonekana unaogopa sana kutendwa la kizuri ni kuwa sijakutongoza ili nikutende bali nikupende

Ondoa hofu mrembo!
 
Ishu sio kufurahia michango yako bali nimeona unafaa kuwa mama mwema wa watoto na zaidi sana uhastahili penzi lililosalama na la uhakika kama ninalotaka kukupa!
Mimi tayari ni mama mwema wa watoto na napata penzi salama na la uhakika kwa niliyenaye.
Thanks for offering anyway!!
 
Back
Top Bottom