To MMU ladies ....

To MMU ladies ....

Mimi Sina hofu na mtu ambaye hat ckujui...
Hofu lazima uwe nayo kwakuwa ninataka mahusiano na wewe
Imani yako imekudanganya kwa maana naweza tu kukuacha kama huyo mwingine mapenz ni popote
I know
Lakini najua wewe sio fake na hapa uko real kwakuwa wewe ni mwanamke unaejiamini
Hivyo sina wasiwasi na wewe
Bdo unakimbia swali langu na siwez kuongea lolote had ntakapokuona may be sio type nayofikiria kwa maana suala LA kupenda muonekano unahusika
Kama unanizungumzia mimi hilo kwangu halipo

Labda wewe

Mimi muonekano kwangu sio ishu ki vile kwani najua ubora wa mtu ahupo kwenye muonekano bali kile anachokifanya au kusema!
 
nimeweka kujifurahisha baba paroko,mi dume la simba
 
Back
Top Bottom