ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,765
- 3,596
Na baada ya hapo?
Naomba nijue kwanni Mimi..
Je upo tayar kunipenda..
.je utaweza kunivumilia
Na baada ya hapo?
Hizi sasa ni dalili za kunyimana
Sio vizuri ujue!!
Acha kunibania bana
Usisepe muremboooooooo!!!!!!!
Kwasababu wewe ni ICHANA na hakuna kama wewe dunianiNaomba nijue kwanni Mimi..
Nisingekuwa tayari nisingekutumia PM ya kukuomba unikabidhi moyo wako mremboJe upo tayar kunipenda..
Kuvumilia ni jadi ya anaejua kupenda.je utaweza kunivumilia
hahahhaha jaribu kwa Evelyn Salt mhhhh nahisi mpaka kitandani utaniuliza kwanini nagugumia lol
Naona dalili zote za moyo wangu kutoka nje ya igizo hapa
mi nasepa....
Sio kweli!!!!!!!!!!hahahhaha jaribu kwa Evelyn Salt mhhhh nahisi mpaka kitandani utaniuliza kwanini nagugumia lol
Hauwezekani kabisaaaaa!!!!!!!
Sio kweli!!!!!!!!!!
Hebu nifafanulie hapo kwenye kisiasa
Ndio kuhudumiwaje?
Hebu acha kubana mrembo!
mhhh acha zakoWa nje na wewe wana kuna tofauti kubwa sana moja
Nayo ni kuwa wao hawana uwezo mkubwa wa kufikiri kama wewe na uwezo huo nimeuona hapa kwa namna ambavyo unajibu hoja
Siwataki hao wa mtaani hata kama nazijua sura zao kwani mimi sioi sura bali naoa mwanamke ambae uwezo wake wa kufikiri upo juu kama wewe ili maisha yetu yawe mazuri!