Kwasababu wewe ni ICHANA
Kuvumilia ni jadi ya anaejua kupenda
Kwakuwa mimi najua kupenda basi na kuvumilia ni jambo linalowezekana kwangu kwa asilimia zote
Hebu nikabidhi penzi lako halafu utathibitisha hili!
Hata wewe??
Nimkimbia saa ngapi?
Mbona nipo sana tu?
Hapana aisee hustahili penzi langu..Nothing comes for free..you have to sweat before you get sweet!!Huo ndio ukweli wenyewe mrembo
Ninaomba unipe penzi lako kwakuwa mimi tu ndionastahili!
Najua lakini tunaweza kuyajua yaliyoko moyoni mwa mtu angalau kwa kiasi kutokana na yale ambayo anasemaJe unajua moyo wa mtu ni fumbo????
Ninajua maana ya kupendaJe utawezeje kunivumila kwa vyovyote wakati bdo hujajua madhaifu Yang
Mipango utaijua baada ya kujua kama nakupenda kweliSiwezi kukupa/ kukabidhi penz langu nataka kujua wewe kama kiongozi/ mwanaume una mipango gani??
Haya,
Unataka nikupeje?
Asee mtu unaezachepuka hivi hivi kimasihara....hahahahahaa naunga tela lol
Utanipa tukionana!!!!!
Naweza tena kwa ustadi mkubwa sana!
mkuu Eiyer watakufuata PM.kama wakikufuata.nisogezee mmoja tu.mpe ID yangu,mwambie una multiple ID na hii yangu huwa unaitumia kwa watu maalum.mwambie akukute PM kwa ID hii.Na dhambi zako zote zitasamehewa!