To MMU ladies ....

To MMU ladies ....

Hili swali ni sawa na kuuliza ukinikubalia nitakuchukuliaje?
 
Ntakuomba kwa heshima na taadhima mtongozano wetu tuuamishie chitchat.
 
yaani ntakuvurumishia maswali kama pepa la necta. hivi wewe utajibu maswali yangu yote kweli? nna wasiwasi.
 
ok, una mke? watoto?

Mrembo,
Mke ningekuwa nae ningehangaika kukutafuta?
Watoto sina kwani nilikuwa namsubiria malkia ambae ni wewe nizae nae watoto ambao watakuwa na mama mwema kama wewe kwani wanahakikishiwa malezi bora

Swali linalofuata tafadhali!
 
yaani ntakuvurumishia maswali kama pepa la necta. hivi wewe utajibu maswali yangu yote kweli? nna wasiwasi.

Mimi ni bingwa wa kujibu maswali

Naya penda sana!
 
Najua tu kama ni uongo...usitongoze unaowaona huko uje unitongoze mie usonijua je ka nna sura ---- ndo mwanzo wa kukimbiana!

Wa nje na wewe wana kuna tofauti kubwa sana moja

Nayo ni kuwa wao hawana uwezo mkubwa wa kufikiri kama wewe na uwezo huo nimeuona hapa kwa namna ambavyo unajibu hoja

Siwataki hao wa mtaani hata kama nazijua sura zao kwani mimi sioi sura bali naoa mwanamke ambae uwezo wake wa kufikiri upo juu kama wewe ili maisha yetu yawe mazuri!
 
Mrembo,
Mke ningekuwa nae ningehangaika kukutafuta?
Watoto sina kwani nilikuwa namsubiria malkia ambae ni wewe nizae nae watoto ambao watakuwa na mama mwema kama wewe kwani wanahakikishiwa malezi bora

Swali linalofuata tafadhali!
ok, swali linalofata ni kujua assets zako unazomiliki na elimu yako. hilo ndo swali langu la mwisho ndugu mtongozaji.
 
Back
Top Bottom