Unga wa Kitarasa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 398
- 101
Ubora wa mtu unawakilishwa na kile anachokitenda na kusema
Sura haiwakilishi ubora wa mtu,hivyo sihitaji kukuona ili nivutiwe na wewe!
Aisee hii naenda ku apply mahala
Ubora wa mtu unawakilishwa na kile anachokitenda na kusema
Sura haiwakilishi ubora wa mtu,hivyo sihitaji kukuona ili nivutiwe na wewe!
unanionaje kwanza?
Teheeeee maneno si ndo hayo bwana...!
Eti alitaka tujadili katiba na muundo wake wakati bungeni huko hata wenyewe yamewashinda
Bujibuji yote haya umetaka wewe...
Ni taarifa tu kama huogopi endelea kurusha kete