Angelicious
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 869
- 499
Hata wewe baba paroko?
Mimi tayari ni mama mwema wa watoto na napata penzi salama na la uhakika kwa niliyenaye.
Thanks for offering anyway!!
Asee mtu unaezachepuka hivi hivi kimasihara....
Sio kweli
Line zako zitakuwa zimesajiliwa
Kama zimesajiliwa utakuwa umeunganishwa na hizo huduma
Nitumie namba tafadhali niitunishe account yako just in a minute!
Sijaelewa.Umeniita mimi na OS ama umeniita kama Mrs.
Furtherm+ore sijaelewa what is going on.
acha kujidai mdomo mrefu.
Ukikubali utasema?
Naamini wewe huoko hivyo
Nimeshakujibu hili na inaonekana unaogopa sana kutendwa la kizuri ni kuwa sijakutongoza ili nikutende bali nikupende
Ondoa hofu mrembo!
Ziko wapi?
hahahah poleeeeeeShangaa na wewe wife!