To MMU ladies ....

To MMU ladies ....

si huyu ndo paroko aliyekuwa amepotea? amekuja na ufunuo mpya!! msaidieni wenye mauzoefu ya pm

Baba paroko anaogopa asije kuumwagia mtongozo mdume mwenzie.....chezea multiple ID wewe.....! Mwenyewe unajipinda kumwaga mtongozo wa maneno matamu kumbe dume lenzio linakuchoraa tu! Acha atafute experience ya wadada ili aweze kudiscriminate majibu......lolz.
 
Baba paroko anaogopa asije kuumwagia mtongozo mdume mwenzie.....chezea multiple ID wewe.....! Mwenyewe unajipinda kumwaga mtongozo wa maneno matamu kumbe dume lenzio linakuchoraa tu! Acha atafute experience ya wadada ili aweze kudiscriminate majibu......lolz.

Mkuu umevunja mbavu zangu!!!!!!!!
 
Ningekwambia tusipotezeane wakati, unataka nini? mtu wa ku do nae au rafiki tu wa mtandaoni etc... tangaza nia ueleweke ili twende sawa
 
Nakunyamaziaa kimya nkishaona mitongozo tu nakupotezea kwa vile najia moja tu jf ila kama waja na mastory ya kawaida tutachat hadi asubuh.....
 
Back
Top Bottom