Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,722
- 45,128
Nimeona wananchi kesho wana mechi ya ligi ya mabingwa afrika, ni mechi muhimu sana kiasi wakaamua kuipa jina “Pacome Day” huku wakinogesha na style ya nywele ya mchezaji wao Pacome.
Style hiyo kutumiwa na wachezaji wengi wa timu sio ngeni katika shughuli za michezo hasa kabumbu.
Mwaka 1998 wakati wa michuano ya kombe la dunia la FIFA pale katika ardhi ya Wafaransa, timu ya taifa ya Romania ilienda kushiriki kwa namna yake.
Asilimia 99 ya wachezaji walipaka “bleach” na kuwa kivutio miongoni mwa watazamaji waliojitokeza kutazama michuano hiyo inayotajwa ndio bora kuwahi kutokea.
Vyombo vya habari vilikuwa vinavutiwa zaidi na mechi kikosi cha Romania kwani waliweza kupata picha mbalimbali kwajili ya media zao.
Bahati mbaya Romania alitolewa Round ya 16 bora dhidi ya moja ya timu bora za wakati ule Croatia ya akina Davor Suker na Zvonomir Boban.
Haya wananchi ni zamu yenu kupaka “bleach” kikosi kizima nasubiria kumuona mwanangu Zawadi Mauya.
Style hiyo kutumiwa na wachezaji wengi wa timu sio ngeni katika shughuli za michezo hasa kabumbu.
Mwaka 1998 wakati wa michuano ya kombe la dunia la FIFA pale katika ardhi ya Wafaransa, timu ya taifa ya Romania ilienda kushiriki kwa namna yake.
Asilimia 99 ya wachezaji walipaka “bleach” na kuwa kivutio miongoni mwa watazamaji waliojitokeza kutazama michuano hiyo inayotajwa ndio bora kuwahi kutokea.
Vyombo vya habari vilikuwa vinavutiwa zaidi na mechi kikosi cha Romania kwani waliweza kupata picha mbalimbali kwajili ya media zao.
Bahati mbaya Romania alitolewa Round ya 16 bora dhidi ya moja ya timu bora za wakati ule Croatia ya akina Davor Suker na Zvonomir Boban.
Haya wananchi ni zamu yenu kupaka “bleach” kikosi kizima nasubiria kumuona mwanangu Zawadi Mauya.