Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,018
- 144,377
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, hii ndio hofu yangu kwa mechi ya leo kwani baadhi ya wachezaji wetu wa humu ndani na wale wa kimataifa, walikuwa wanatumikia timu zao za Taifa katika kusaka nafasi ya kushiriki kombe la Dunia mwaka 2026.
Sasa sijui wamekaa kambini kwa siku ngapi ingawa bado nina imani na kikosi chetu kwa ujumla.
Mungu ibariki Yanga.
Sasa sijui wamekaa kambini kwa siku ngapi ingawa bado nina imani na kikosi chetu kwa ujumla.
Mungu ibariki Yanga.