A world cup is a global sporting competition in which the participant entities – usually international teams or individuals representing their countries – compete for the title of world champion. A world cup is generally, though not always, considered the premier competition in its sport, with the victor attaining the highest honour in that sport and able to lay claim to the title of their sport's best. However, in some sports the Olympic title carries at least as much prestige, while other sports such as diving and artistic gymnastics differentiate between their premier competitions, such as World Championships and Olympic Games, and their "World Cup", which is organised as a smaller scale but high-level showcase event with small elite fields.
There are a number of notable popular team sports competitions labeled "world cups", such as the ICC Cricket World Cup, Rugby World Cup, Rugby League World Cup and the Hockey World Cup but perhaps the best known is the FIFA World Cup (an association football tournament, first held in 1930), which is widely known simply as "the World Cup".
Nimeona wananchi kesho wana mechi ya ligi ya mabingwa afrika, ni mechi muhimu sana kiasi wakaamua kuipa jina “Pacome Day” huku wakinogesha na style ya nywele ya mchezaji wao Pacome.
Style hiyo kutumiwa na wachezaji wengi wa timu sio ngeni katika shughuli za michezo hasa kabumbu.
Mwaka 1998...
Embu jaribu kuwaza Simba ifanikiwe kufuzu kwenye mashindano ya FIFA Club World Cup 2025 yanayotarajiwa kufanyika Marekani.
Embu waza night kali flani hivi, Tanzania nzima mijini hadi vijijini ndani ndani huko kila mtanzania anakesha kuisubiri mechi ya Simba vs Real Madrid, oya weee. Halafu...
Monday’s eight-game slate of the 2023 FIBA World Cup provided yet another impressive showing from players and teams looking to advance on the international stage. Take a closer look at some of the other top performers from games played on Aug. 28, including another big game from Luka Doncic, an...
Kulikoni hakuna ushabiki wowote kenye hili dimba la wanawake, sababu?
Naangalia hapa wasichana wanachea mpira safi kabisa, nadhani vitimu vyetu vya Taifa wanaweza kuvifunga magoli mengi tu hasa vya Africa.
Mashindanoa ya FIFA kombe la dunia la wanawake litaanza kesho Alhamisi July 20, 2023 na kumalizika August 2nd.
Round za kwanza zitachezwa Sydney, Australia na Auckland, New Zealand huku fainali ikichezwa Sydney Australia.
Mashindano haya mwaka huu yamehusisha timu 32 tofauti na huko nyuma...
#MICHEZO
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imepangwa kundi E katika harakati za kufuzu kombe la dunia mwaka 2026.
Timu ambazo Stars imepangwa nazo ni pamoja na
Morocco
Zambia,
Congo,
Tanzania,
Niger &
Eritrea.
Michezo hiyo itaanza kuchezwa mwezi Novemba mwaka huu
#KombeLaDuia #TaifaStars...
Nimekuwa shabiki wa soka kwa muda mrefu sana. Kwa muda wa miaka 20 sasa. Nimeangalia mechi nyingi sana na za kutosha, zaidi ya 1000 hadi leo hii.
Toka enzi za goli la dhahabu hadi leo hii ambapo goli la ugenini limefutwa kwenye mashindano ya Ulaya na technolojia ya VAR inatumika.
Nimeangalia...
Yule mchezaji na kocha mwenye bahati zaidi duniani anaichukua timu ya taifa ya Ufaransa kama kocha kuanzia January 2023.
Ninatarajia ataenda kubeba Euro 2024 na kombe la dunia mwaka 2026. Ufaransa wanavyo vipaji vya kila aina ikiwemo kijana machachari Mbappe. Muda utatupatia majibu.
Binafsi ni mshabiki mkubwa wa Argentina lakini game ya leo naona kabisa Ufaransa anabeba.
Ufaransa ni team yenye uzoefu mkubwa na wana kocha ambaye anajua vizuri kucheza kwenye game muhimu kama hizi, tujiandae kisaikolojia kabisa kwa Ufaransa kubeba tena kwa mara nyingine.
Wachezaji wa Ufaransa waliokosa penati ni Kingsley Junior Coman na Aurélien Djani Tchouaméni.
Baada ya dakika 90 kukamilika matokeo yakiwa 2-2, zikaongezwa dakika 30 matokeo yakawa 3-3, ndipo ikaamuliwa zipigwe penati na Argentina kushinda kwa matuta 4-2
Muda wa penati
Mwamuzi anakamilisha...
#FIFAWorldCup2022: Ni Desemba 18, 2022 Dunia itashuhudia Fainali za Kombe la Dunia lililoanza Nov 20, 2022 huko Qatar kwa kuzileta pamoja Timu za Mataifa 32 zilizomenyana kwa jumla ya Mechi 64.
Leo katika Dimba la Lusail Stadium, Al Daayen watakutana Mabingwa mara 2 wa #KombelaDunia Timu za...
1. Wanacheza Kimkakati zaidi kama Simba SC
2. Wana Wachezaji Wapambanaji kama wa Yanga SC
3. Wana Golikipa Bora sana
4. Messi anawarahisishia Kazi Wengine
5. Wana Morali ya Kiuzalendo hasa
6. Argentina ni Timu ya Mungu
7. Lionel Messi hakabiki na Kabarikiwa
Nami MINOCYCLINE namalizia kwa...
69' Julian Alvarez anafunga goli la tatu akimalizia kazi nzuri ya Messi
60' Timu zinashambuliana kwa zamu
58' Messi anakosa nafasi nzuri, shuti lake linapanguliwa na kipa
55' Argentina wanaamka na kufanya mashambulizi ya kushtukiza
50' Croatia wanamiliki mpira na kupiga pasi nyingi
Kipindi cha...
Hii article nimeitoa online BBC; ni majibu ya mwandishi mmoja ikijaribu kujibu kwanini Afrika haijawahi kuchukua hili Kombe...
In November, Cameroon football federation president Samuel Eto'o Fils declared that he was expecting Cameroon to beat Morocco in an all-African final.
He was...
Toka nimekuja Qatar kwa ajili ya Mapumziko nikitokea Sweden ambako nlipitia kusalimia nikiwa nimetokea Japan kwenye meeting iliyokuwa imeanzia Usa. Nipo hapa Qatar toka tarehe 10 November.
Nabadilisha badilisha Hotel maana sipendi sana mazoea na watu so kuna dada mmoja ambaye yeye huwa namtumia...
Beki huyo anatarajiwa kuiongozi timu yake ya taifa katika mchezo wa kukamilisha Hatua ya Makundi dhidi ya Cameroon, leo Desemba 2, 2022.
Alves (39), beki wa kulia ambaye anaichezea UNAM Pumas ya Mexico atapewa nafasi hiyo kwa kuwa tayari timu yake imeshakata tiketi ya kucheza Hatua ya 16 Bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.