This is how l lost it.....

relax babu
 

Hapa pamenigusa sana! Nimejikuta adrenalin inapanda ghafla! Nimemchukia huyo jambazi! Nimetamani ungekumbuka kumshtaki immediately. Pole sana japo unasema ulishapoa. Naomba tuambie tu je, alikupa huo mzinga wa scotch umpelekee baba? Mahusiano yake na familia yenu yalikuwaje baada ya hilo tukio?
 
Kaunga but parents have to be watchful..........................how do you send own daughter for a mere whiskey? it beats me to the fore..........the guy promised to meet the doctor in hospital why can't he bring his whiskey or whatever that meant?
 


You have a heart made of stone! Thats all I can say.
 
mimi mwenyewe nimenusurika kubakwa juzi babu na uzee huu.wanaume wapuuzi kweli except u


Kwa herini...

Huu mjadala naona umenizidi kimo....

Mtu anabaka ili afurahie nini?

Babu DC!!
 
 
Hata ningepiga, sauti isingetoka kwenye jumba kubwa licha ya compound.
Pia niliona nitaabika mwenyewe, nilienda kufanyeje?

Inaonyesha ulipanua mwenyewe, kwa nini baada ya tukio hukuenda kushtaki kwa wazazi au utamu ulikunogea ukaamua kupotezea
 
Pole sana Sister I hope wazazi wana cha kujifunza hapa.
 
mimi mwenyewe nimenusurika kubakwa juzi babu na uzee huu.wanaume wapuuzi kweli except u

.....lol,

Nipo hapa kijijini na wajukuu twanywa uji mara; '.....kuku dume (jogoo) kambaka kuku jike mbele ya wanawe (vifaranga) na jamaa zao ...' .same applies kwa paka, mbwa, nyani dume etc....

Nature at its best!
 
.....lol,

Nipo hapa kijijini na wajukuu twanywa uji mara; '.....kuku dume (jogoo) kambaka kuku jike mbele ya wanawe (vifaranga) na jamaa zao ...' .same applies kwa paka, mbwa, nyani dume etc....

Nature at its best!
duh so unaona ni sawa mkuu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…