King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Parenting!
This is typical! Nilipomaliza form four, mshua alisafiri lakini kukawa na mzigo wake wa kwenda kuchukua (kama km 200 hivi). Nadhani alitaka kuniexpose kwa kazi kidogo manake already i was handling stuff for him. So baba habib akaja kunichukua na nikiwa na pesa za kulipia mzigo twende huko. Alinitongoza na nikamjibu mbovu ile mbaya (king'asti has always been like this. Mi nilimshangaa Paw kwa kuvumilia maumivu yaani, dah).
Bahati yangu nilikuwa very close na mama. Nikamsimulia, tukamnanga huyo baba na mama akisema jinsi alivyo na mke mrembo na watoto wazuri na yeye alivyo hopeless! Sikuwahi kujua kulitokea nini, ila hiyo ilikuwa mara ya mwisho kumuona baba habib na familia yake. Imagine!
Tuna mengi ya kujifunza juu ya ulezi na mahusiano ya watoto wetu!
This is typical! Nilipomaliza form four, mshua alisafiri lakini kukawa na mzigo wake wa kwenda kuchukua (kama km 200 hivi). Nadhani alitaka kuniexpose kwa kazi kidogo manake already i was handling stuff for him. So baba habib akaja kunichukua na nikiwa na pesa za kulipia mzigo twende huko. Alinitongoza na nikamjibu mbovu ile mbaya (king'asti has always been like this. Mi nilimshangaa Paw kwa kuvumilia maumivu yaani, dah).
Bahati yangu nilikuwa very close na mama. Nikamsimulia, tukamnanga huyo baba na mama akisema jinsi alivyo na mke mrembo na watoto wazuri na yeye alivyo hopeless! Sikuwahi kujua kulitokea nini, ila hiyo ilikuwa mara ya mwisho kumuona baba habib na familia yake. Imagine!
Tuna mengi ya kujifunza juu ya ulezi na mahusiano ya watoto wetu!