This is how l lost it.....

This is how l lost it.....

Huwa namwangalia binti yangu wa miaka 3, nawaza changamoto zinazomkabili na watu kama hawa ambao wamedhamiria kabisa, mda mwingine nakosa raha. Mungu aepushie mbali ila kama tungefuata msemo wa watendeeni wengine kama ambavyomnataka wao wawatendee ninyi, tungekua na dunia yenye amani sana.

Watoto wa mtu mwingine ungewaona kama wanao, usingewafanyia kitu ambacho hutaki watoto wako wafanyiwe.


I wish watu wote wenye watoto wangefikiria hivyo...siyo kwa watoto wa kike tu bali hata wa kiume....

Siku hizi kuna mijitu haina akili kabisa, inabaka kila kitu kasoro nyoka na mijusi........

I wish they thought of their own kids.....ooooh....may be I am being naive....kuna mingine hata watoto wao si kitu....

What a blue day to start a week with??

Babu DC!!
 
Ewaaaaaaaaaaa.... lakini mchawi mwenyewe asiwe bazazi Superman. Mtu analoga hata kikombe akinyweacho chai? Khaaa!


Uzuri wake nimeshuhudiwa na wengi kuwa mimi ni mtu mwema. Muulize Kaunga kwa nini alitaka taarifaa ya huyu binti kigoli aliyeharibiwa ikufikie?
 
Last edited by a moderator:
so sad Kaunga hata sikulaumu zaidi ya kukupa pole kwa sababu wazazi wetu wa enzi za mwalimu ni wakali sana hata kujenga nao urafiki inakua ngumu hata mi mwenyewe nilikua nikikutwa na masaibu nakufa nayo rohoni mengine hadi yananitokea puani,cha msingi ni kuchukua changamoto zetu kama starting point ya kuwalea watoto wetu vema na cha msingi ni kumfanya mtoto ajisikie kuwa ww ndo rafiki yake mkubwa kuliko mtu mwingine.
 
No way, you new what was going on before then the going to his home was to full fill the desire. Hakukubaka eti ila ulitoa kwa hiari yako kwani ulikwisha kujua nia yake ya moyoni.
 
duh so unaona ni sawa mkuu?

....la hasha, na maanisha wanadamu pamoja na kupewa akili wanafanya sawa na wayafanyao wanyama.
Halafu ujinga ujinga huu unaendelea hata kwa baba mwenye nyumba kumbaka housegirl....
Nyie kina mama mnajukumu hata kuwasikiza kilio cha hawa wasichana wa ndani
 
Pole sana Kaunga wengi tuna historia mbaya sana za hawa ndugu zetu wa kiume ni vizuri kuwa karibu sana na watoto wetu maana huwezi amini pale atapokuta hata wale tunaoamini ni ndugu wa karibu sana mtoto wa dada, kaka ,shangazi, mjomba anaweza mbaka/mlawiti mwanao.
Samahani kama kuna jambo nachukia mie ni hizi sleepover si entertain kabisa na huwa sizitaki kuzisikia.Pamoja na yote kwa nguvu zetu hatuwezi ni kusali sana tusiache kuwaombea watoto wetu.
 
Uzuri wake nimeshuhudiwa na wengi kuwa mimi ni mtu mwema. Muulize Kaunga kwa nini alitaka taarifaa ya huyu binti kigoli aliyeharibiwa ikufikie?
Kwa sababu anajua mie ni mtu wa maombi. Alitaka nimfanyie maombi huyu binti na kumfanyia sala ya toba huyu mwanaizaya mwenzio.
 
Yes nilipeleka, as mahusiano yalikuwa non-existence kama mwanzo; baba yangu kwa kazi yake watu wengi walikuwa wanamjua and as me he was poor with names and faces, so ilibidi amchangamkie yoyote anajifanya kumfahamu. So the guy couldn't stop calling ofcourse na kukata kila anapopokea mtu mwingine which was bad for me as nilikuwa binti pekee home and my bros couldn't be fooled.
Thats a past tense, right?
 
Ilikuwaje mlipoonana na huyo jamaa baada ya tukio hakukuomba tena?
 
I know you will believe me. Unajua, kila maid ninayempata nampa orientation (nilijifunza kwa.wifi yangu mmoja mwenye a bastard for a hubby, ambae hubaka.maids wooote!). Na namuambia, i will never protect any man over you. If he does anything absurd, let me know. I am sure i will screw hubby or my dad for raping my maid!
RAPE! It is the one thing in which i will KILL, ofcoz alongside PHYSICAL ABUSE!

....la hasha, na maanisha wanadamu pamoja na kupewa akili wanafanya sawa na wayafanyao wanyama.
Halafu ujinga ujinga huu unaendelea hata kwa baba mwenye nyumba kumbaka housegirl....
Nyie kina mama mnajukumu hata kuwasikiza kilio cha hawa wasichana wa ndani

kaka, hii ni kweli. Her personal experience!
Pheeeeeeeeeeeeew! Kumbe Ni movie?
 
mimi mwenyewe nimenusurika kubakwa juzi babu na uzee huu.wanaume wapuuzi kweli except u

i cant imagine if by any chance i say something similar... but i cant do coz my mom raised me better

I think you need to apologize... seriously!
 
Ndio sababu kuu ya kuileta humu, ili wazazi tujifunze kama lipo la kujifunza.
By the way l am happy to see you.

Kaunga wengine wanafikiri ni whiskey ndiyo ilikopotezea usichana wako................au ulionja nini na wewe?
 
Pole sana...ulikuwa jasiri kukaa kimya au nawe ulinogewa ukaridhia kuwa mzinga wa jamaa?

Doppelganger sasa naona umemgeuzia kibao Kaunga kuwa alijitakia kwani hakupiga ukelele na baadaye alinogewa akapiga "silence" hadi juzi alipotutonya.........................rape leaves victims feeling it is their mistake, somehow!...............the victims begin to suspect that maybe they led the rapist to do to them what he has done......................and habitual rapists take that into consideration, too.

It is high time rapists are not given such a leeway to justify themselves before us, anymore...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom