RIWAYA: Am not a Doctor

kichakaa man

JF-Expert Member
Oct 20, 2011
5,479
5,068
Habari zenu naomba kuwaletea story nzuri na tamu Am not a doctor

AM NOT A DOCTOR 01
Muandishi………………………………………..EDDAZARIA
G.MSULWA(Next Level Author)
Mawasiliano…………………………………….0657
072588(Whatsapp)/0768516188
Wasimamizi……………………………………TEAM STORY ZA
EDDY(TSE)

*********************************************
*********************************************
***********************
Ukimy unao endelea kutawala hapa sebleni, kila
mmoja anamsubiria baba kuweza kuzungumza kitu
ambacho amepanga kukizungumza baada ya kuuita
mimi na mama. Kila mmoja macho yapo kwa baba
ambaye anaonekana kama anafikiria jambo fulani,
baba akakohoa kidogo kisha akaanza kunitazama
mimi.
“Siku zote ninakuona ukizunguka zunguka hapa
nyumbani una mpango gani na kusoma?”
Swali la baba likanifanya kukaa kimya kwa muda
kwa maana katika maswala ambayo huwa sipendi
kuyasikia kwenye maisha yangu ni swala zima la
kurudi darasani. Elimu ya kidato cha sita niliyo nayo
kwangu ninaiona inatosha kabisa.
“Wewe si umeulizwa swali na baba yako, unatoa
toa nini macho?”
Mama alizungumza huku akiwa amenikazia macho
kwa maana anaelewa kabisa kwamba mimi huwa
sipendi kabisa swala zima la kusoma na nilisha
muweka wazi.
“Bado ninaendelea kujipanga panga baba”
“Pumbavu wewe, utaendelea kujipanga hadi lini.
Unaona raha kukaa hapa nyumbani kijinga jinga,
kazi kucheza game kwenye Tv si ndio?”
Baba alifoka hadi nikaanza kutetemeka kwa maana
siku zote huwa ninamuogopa sana baba yangu, ni
mtu ambaye hapendi masihara kabisa kwenye
maisha yake. Hata kwenye makuzi yangu,
amenikuza katika mstari wa kunyooka. Sikuwa na
jinsi zaidi ya kukaa kimya kabisa kwa maana kujibu
kwangu kunaweza kumfanya baba kunyanyuka
sehemu alipo kaa na kunifwata nilipo na akifika
hapa nilipo basi kinacho tokea nitakielewa mimi
mwenyewe.
“Ahaa bado ninafikiria ni chuo gani niende kusoma”
“Sasa nisikilize, nimesha anza kufwatilia process za
wewe kwenda chuo cha udaktari. Jiandae na hili”
Baba alizungumza kisha akanyanyuka na kuniacha
nikiwa nimekaa kimya nikiwaza pasipo kupata
majibu ya aina yoyote kwa maana swala la kwenda
kusoma lenyewe linanishinda, ndio sembuse
kwenda kusomea udaktari. Baba baada ya kuingia
chumbani kwake mama akabaki akitabasamu kwa
maana anatambua mimi na kusoma ni sawa na
mbingu na ardhi.
“Leo umekomeshwa, si nilikupa nafasi ya kwenda
kuchagua chuo gani usome, ukaleta maseke seke
yako, sasa baba yako amesha zungumza imekula
kwako”
“Sasa mama wewe unahisi kichwa hichi kweli
kitaweza kwenda kusomea udaktari?”
“Ahaa mimi hilo sijui, na unafahamu kabisa kwamba
ukifeli ni kitu gani huwa kinatokea kwa baba yako”
Mama naye alizungumza na kuondoka sebleni,
nikabaki nikiwa nimekaa kimya hata hamu ya kula
chakula kwa usiku wa leo imenipotea kabisa.
Taratibu nikanyanyuka na kuelekea chumbani
kwangu, sikutaka hata kuwasiliana na mtu wa iana
yoyote hususani mpenzi wangu, nilicho kifanya ni
kuzima simu na kulala fofofo.
***
Siku na masaa yakazidi kwenda haraka sana tofauti
hata na siku za kawaida ambzo nilikuwa ninakaa tu
nyumbani nikifanya matembezi yangu ya hapa na
pele. Sikutamani hata kidogo siku ya kwenda
mkoani Kilimanjaro kilipo chuo cha kusomea
udaktari ambacho baba aliweza kunitafutia na
kupata nafasi hiyo kirahisi kutokana na nafasi yake
ya juu serikalini.
“Erick inabidi ukajitahidi tu”
Rose alizungumza kwa sauti ya chini huku akiwa
amenigemea kwenye bega langu tukiwa katika
fukwe za bahari katika hoteli moja hapa jijini Dar es
Salaam.
“Ila kitu ninacho kwenda kusomea sio fani yangu,
sio kitu ninacho kipenda”
“Najua Erick ila nenda kajitahidi, kwa maana hivi
kukaa tu nyumbani kwa maisha ya sasa utajikuta
hata malengo yetu hayawezi kutimia”
“Ina maana na wewe unaungana na wazazi wangu?
“Sio hivyo Erick ila ukweli ndio huo, na hata
ukisema kwamba nikusuport wewe, siwezi
kubadilisha maamuzi yoyote kwako na wazazi ndio
kama hivyo walivyo amua”
Maneno ya Rose nikaona yanazidi kunikatisha
tamaa kwa kweli. Sikuona haja ya kuendelea kukaa
katika eneo hili, zaidi nilicho kiamu ni sote kuondoka
katika eneo hili na kueleka sehemu nilipo liacha gari
langu.
“Sasa Erick kuzungumza hivyo mpenzi wangu ndio
umekasirika?”
“Ingia kwenye gari nikurudishe kwenu sawa”
Nilizungumza kwa hasira huku nikifungua mlango
wa gari langu, Rose hakuwa na jinsi zaidi ya kuingia
ndani ya gari langu. Njia nzima ukimya umetawala
ndani ya gari, sikutaka kumsemesha chochote Rose
kwa maana yeye mwenyewe anatambua kwamba
kazi ninayo ipenda mimi ni kufanya biashara, ila
wazazi hususani baba ndio analazimisha mimi
kurudi darasani.
“Erick”
“Mmmm”
“Unanipenda kweli mpenzi wangu?”
“Hilo unalitambua”
“Sio jibu mpenzi wangu, kama nimekukwaza
tafadhali ninakuomba unisamehe mume wangu”
“Nimekusamehe”
“Mbona unanijibu kimikato kato mpenzi wangu,
kweli hapo kuna swala la mimi kugombana na wewe
wakati mimi nilitoa kama ushauri”
“Tuachane na hiyo mada, na wiki ijayo mimi ndio
ninaelekea chuo”
“Mmmm sawa”
Kutokana na foleni za hapa Dar es Salaam,
ikatuchukua masaa kadhaa hadi kufika nyumbani
kwa kina Rose, nikafungua waleti yangu, nikampatia
noti mbili za dola mia mia, akanisogelea na
kunibusu mdomoni.
“Nakupenda sana Erick wangu”
“Ninakupenda pia”
“Ushuki kuja kumsalimia mama?”
“Nitamsalimia siku nyingine, muda umekwenda
sasa inanibidi kuwahi nyumbani mzee mwenyewe
amesha anza uchuro”
“Sawa mume wangu”
Rose akafungua mlango akashuka kwenye gari,
akaufunga mlongo na kunipungia mkono. Taratibu
nikaondoka na gari kueleka nyumbani kwetu huku
kichwani mwangu nikifikiria ni kitu gani ambacho
ninaweza kukifanya kumshawishi baba yangu ili
kusitisha mpango wake wa mimi kwenda chuo
kusoma.
Nikafika nyumbani, kwa bahati nzuri sikukuta gari
lake ikiashiria kwamba bado hajarudi nyumbani.
“Erick”
Mlinzi wa getini aliniita ikanibidi kusimama kabla ya
kuingia ndani. Akanikimbilia hadi sehemu nilipo
simama.
“Vipi kuna nini?”
“Ahaa bosi wangu, nitoe japo pesa ya kiroba”
“Una mpango wa kutumbuliwa jipu na wewe”
“Ahaa kwani nipo bungeni bosi wangu?”
“Ohoo haya”
Nikatoa noti ya shilingi elfu kumi na kumpatia mlinzi
ambaye tumezoea kumuita kwa jina la Cholo.
“Asante sana kaka, ila leo ameletwa katoto kazuri
hako”
“Katoto kazuri ka nani?”
“Ahaa bi mkubwa si ameleta msichana wa kazi”
“Ahaa”
“Ingia tu humo ndani utakiona”
“Mkali au macho yako hayo ya kipemba kila
mwanamke unamuona ni mzuri ?“
“Ahaa kaka hapa kuna wafanyakazi wengi
wamekuja na kuondoka na ninawaona ila huyu
mmmmm, wewe ingia tu utamuona”
“Sawa”
Nikaachana na Cholo, mimi nikaingia ndani,
sikumkuta mtu yoyote sebleni. Nikaelekea moja
kwa moja chumbani kwa mama, nikagonga mlango
wa chumbani kwake.
“Nani?”
“Mimi”
“Umetoka wapi muda wote huo ndio unarudi sasa
hivi?”
Mama akafungua mlango akiwa amejifunga tenge
zito kifuani mwake.
“Vipi mbona umelala mapema hivi?”
“Saa nne ni mapema?”
“Ndio”
“Kesho asubuhi tunasafari na baba yako, tunaelekea
Iringa mara moja”
“Kufanyaje?”
Kwenye mzinguko yake tu ya kikazi, chakula chako
kipo mezani hapo.”
“Sawa, baba amerudi?”
“Anakusikia yupo ndani?”
“Mmmm haya usiku mwema”
Nilizungumza kwa sauti ya chini, nikaelekea
chumbani kwangu. Nikabadilisha nguo nilizo zivaa,
kisha nikarudi sebleni, nikapakua chakula cha
kutosha na kukaa kwenye sofa ambalo siku zote
huwa ninapenda kulikaa niwapo hapa sebleni. Wazo
la kwenda kusomea udaktari likaanza kunitawala
tena kichwani mwangu, nikahisi kichwa kunipasuka
kwani kazi ya kuajiriwa huwa sipendi kuzisikia
kabisa. Hamu ya chukula pia ikaanza kunipotea
mdomoni mwangu, nikarudisha chakula mezani na
kuingia chumbani kwangu, nikaoga na kulala.
Kwa mbali nikausikia mlago ukigongwa,
nikaupotezea nikihisi kwamba nipo uzingizini. Ila
sauti ya mama iliyo niita kwa nguvu ndio
ikanikurupusha usingizini.
“Naaam”
“Hembuamka”
Nikajizoa zoa kitandani na kukaa huku nikipiga
miyayo. Nikachukua suruali yangu ya mazoezi
nikavaa. Nikatoka chumbani na kumkuta mama
amesimama sebleni.
“Shikamoo”
“Marahaba, sasa sisi ndio tunaondoka hivi, tutarudi
kesho. Hakikisha mazingira ya hapa ndani
yanakwenda vizuri. Kuna msichana wa kazi
amekuja jana, hakikisha unamuelekeza kazi zote za
hapa ndani. Ile tabia yako ya kuleta marafiki zako
kuja kufanya Party humu ndani kwangu ikome
sawa?”
“Sawa mama”
“Pesa za matumizi zipo kwenye dreasing table
chumbani kwangu, kuna vitu vimepungua kwenye
friji, hakikisha unaviongeza”
“Poaaa”
Tukasikia honi ya gari, mama akanitazama usoni
akanisogelea na kunikumbatia haraka haraka kisha
akaanza kutembea kuelekea nje.
“Umependeza mama yangu”
“Asante”
Mama alijibu huku akilikaribia gari la baba, nikapiga
hatua hadi kwenye mlango wa sebleni,
nikalisindikiza gari la baba linalo toka getini kisha
Cholo akalifunga geti. Saa ya ukutani kwa sasa
inaonyesha ni saa kumi na moja kasoro, nikajitupa
kwenye sofa, usingizi haukuchukua muda sana
ukanipitia na kulala fofofo.
“Kaka, kaka”
Sauti nyororo ya msichana ikapenya masikinoni
mwangu, nikayafumbua macho yangu. Nikakutana
na binti mrefu kwenda juu, ngozi yake watoto wa
mjini tunasema ana udongo wa Maka maana yake
ni mweupe. Kanga aliyo ivaa, inalionyesha umbo
lake maeneo ya mapajani jinsi lilivyo jazia na
kukusanya hispi kubwa japo sijaona nyuma, ila nina
imani kwamba amekusanya zigo la maana. Sura
amebarikiwa kusema ukweli, ana macho malegevu,
lipsi nzuri, kijipua kidogo kiasi chenye
kuupendezesha uso wake vizuri.
“Naaa”
“Naomba nifanye usafi”
“Kumekucha?”
“Yaa sasa hivi ni saa moja”
“Ohooo”
Nilijidai nina shanga, kama mtu ambaye nina
sehemu muhimu ambayo nilipaswa kwenda kwa
asubuhi hii ya leo, ila sina chochote, huwa ratiba
yangu nikiamka asubihi ni kucheza games kwenye
Tv hadi muda wa kifungua kinywa ukifika, basi hapo
ndio ninapata ratiba ya kwenda kumtembelea
mshikaji yoyote ambaye nitatokea kumchunuku kwa
siku hiyo. Nikanyanyuka kwenye sofa huku
nikimtazama tazama msichana huyu kwa macho ya
kuiba iba.
Kama nilivyo waza kwamba nyuma atakuwa
amefungasha zigo la kutosha na ndio kweli. Mwili
mzima ukanisisimka, kwa maana siku zote za
maisha yangu mwanamke aliye jaliwa kupewa
maumbile makubwa ya nyuma kwangu ni ugonjwa
mkubwa sana.
“Unaitwa nini?”
“Zari”
“Unajina zuri”
“Asante kaka Erick”
Sauti ya Zari ndio kabisa ikazidi kuniua kwa maana
ni nyepesi na ya kutamanisha. Sikutaka kuendelea
kukaa hapa sebleni, ili kuendelea kuugulia maumivu
haya kwa maana tayari Zari amesha nipagawisha.
Nikajitupa kitandani, kw mara kadhaa nikawa
ninajigeuza geuza kitandani ili kufuta picha ya Zari
ambayo tayari ilisha anza kusumbua ubongo wangu
huu.
‘Kwa kichwa hichi kweli, udaktari nitauweza mimi?’
Nilijiuliza huku nikiwa nimelala chali. Nikanyanyuka
kitandani na kukaa kitako. Nikaichukua simu yangu
iliyopo mezani. Nikakuta missed call za Rose zaidi
ya sita alizo piga asubihi hii, ikanibidi kumpigia,
“Umeamkaje?”
“Salama mume wangu, mbona ulikuwa hupokei
simu yangu jamani”
“Nilikuwa bado nimelala”
“Ohoo pole sana mpenzi wangu, naimani asira yako
kwa sasa imekwisha?”
“Yaa nipo poa”
“Nashukuru kusikia hivyo”
Nikasikia mlango wa chumbani kwangu ukigongwa.
“Honey nitakupigia, nahisi mama ananigongea”
Ilinibidi kumdanganya Rose
“Sawa msalimie mama yangu mkwe’
“Poa nitakupigia”
“Ok”
Nikakata simu, nikausogelea mlango wa chumbani
kwangu, nikaufungua na kumkuta Zari akiwa
ameshika mopu pamoja na ndoo yenye maji.
“Naomba nideki kaka Erick”
“Sawa, unaweza kuingia”
Zari akaingia na vifaa vyake vya kufanyia usafi,
nikapanda kitandani huku nikiyaandaa macho yangu
kuangalia mzigo wa Zari kwa umakini zaidi. Taratibu
akaanza kupanga nguo ambazo zipo shaghara
bagara. Alipo hakikisha kwamba ameziweka vizuri.
Akaanza kufuta vumbi baadhi ya vitu ndani ya
chumba changu. Muda wote Zari akiendelea
kufanya hivyo macho yangu yakawa na kazi ya
kuendelea kumtazama kwa umakini. Jogoo wangu
aliye anza kukosa aiba taratibu akaanza kuwika
kwa kuku huyu mgeni,
“Kaka Erick unaweza kunipisha nikatandika kitanda
mara moja”
“Ndio ndio”
Kwa kitendo cha jogoo wangu kunyanyuka sana,
ikanibidi kuanza kufikiria ni jinsi gani ambavyo
ninaweza kunyanyuka kwenye hichi kitanda, kwa
maana nguo niliyo ivaa ni nyepesi sana na
inajichora vizuri maungo yangu ya ndani.
“Kaka Erick”
“Mmmm”
“Nyanyuka nitandike kitanda, au unatandika
mwenyewe?”
Sasa sijui Zari anafanya makusidi katika
kuzungumza na sauti nyororo, au ndio sauti yake.
“Ahhaa nanyanyuka”
Taratibu nikaanza kujivuta kitandani kiana aina hadi
nikakanyaga miguu yangu chini. Nikajiweka vizuri
nguo yangu na kusimama wima. Nikasogealea sofa
langu na kukaa, Zari akapanda kitandani kwangu,
hapo ndipo nilipo shuhudia mapaja yake meupe jinsi
yalivyo nona, kwa maana kinguo alicho kivaa
kimepanda juu na kuepeleka macho yangu kutu
katika mapaja hayo. Kijasho cha uchu wa mapenzi
kakaanza kunimwagika mwilini mwangu, mapigo ya
moyo yakaanza kuenda kasi. Zari kama asiye jua
kwamba kuna mgojwa nyuma yake, akaendelea
kulivuta shuka la kitanda changu taratibu huku
akiwa amebong’oa. Pasipo hata kujielewa, nikajikuta
nikiuingiza mkono wangu wa kushoto kwenye
suruali yangu na kuanza kumshika jogoo wangu,
huku nikimchua taratibu, utamu wa kumchua jogoo
wangu ukazidi kupamba moto, nikajikuta nikimtoa
hadi nje ya suruali na kuendelea kumvutia hisia za
kimapenzi Zari ambaye hajui ni kitu gani kinacho
endelea. Gafla Zari akageuka na kunikuta nikiwa
katikati ya raha, akahamaki kwa nguvu hadi
nikastuka na kujikuta nikianza kuweweseka,
nikijaribu kumficha jogoo wangu kwa viganja.
ITAENDELEA


AM NOT A DOCTOR 02
Muandishi………………………………………..EDDAZARIA
G.MSULWA(Next Level Author)
Mawasiliano…………………………………….0657
072588(Whatsapp)/0768516188
Wasimamizi……………………………………TEAM STORY ZA
EDDY(TSE)

ILIPOISHIA
Kijasho cha uchu wa mapenzi kakaanza
kunimwagika mwilini mwangu, mapigo ya moyo
yakaanza kuenda kasi. Zari kama asiye jua
kwamba kuna mgojwa nyuma yake, akaendelea
kulivuta shuka la kitanda changu taratibu huku
akiwa amebong’oa. Pasipo hata kujielewa, nikajikuta
nikiuingiza mkono wangu wa kushoto kwenye
suruali yangu na kuanza kumshika jogoo wangu,
huku nikimchua taratibu, utamu wa kumchua jogoo
wangu ukazidi kupamba moto, nikajikuta nikimtoa
hadi nje ya suruali na kuendelea kumvutia hisia za
kimapenzi Zari ambaye hajui ni kitu gani kinacho
endelea. Gafla Zari akageuka na kunikuta nikiwa
katikati ya raha, akahamaki kwa nguvu hadi
nikastuka na kujikuta nikianza kuweweseka,
nikijaribu kumficha jogoo wangu kwa viganja.
ENDELEA
Zari wala hakumaliza kutandika shuka kwenye
kitanda changu, kwa haraka akatoka nje ya chumba
changu na kuniacha nikiwa ninahema huku aibu
kubwa ikiwa imenitawala. Hata hamu ya kutoka
ndani ya chumba changu ikapotea kabisa, aibu
niliyo ipata ninaamini ni aibu ya mwaka ambayo
sikuwa kuipata tangu kuzaliwa kwangu.
Taratibu nikajizoa zoa na kuingia bafuni,
nikajimwagia maji huku nikijiuliza maswali mengi
sana kwa kitendo hichi alicho kishuhudia Zari.
‘Ahaa shauri yake’
Nilizungumza huku nikimalizia kuoga. Nikarudi
chumbani kwangu kwa haraka nikabadilisha nguo
zangu za kuvaa. Nilipo hakikisha nipo vizuri,
nikatoka na kuingia chumbani kwa mama yangu,
nikatazama sehemu alipo niaeleza kwamba nitakuta
pesa za kununulia vitu vya ndani. Nikatoka
chumbani kwa mama na kukutana na Zari kwenye
kordo akitoka chumbani kwake akiwa amevalia
suruali ambayo ilizidi kuniduwaza kwa uzuri wake
ambao Mungu amemjalia.
“Ahaa Zari”
Nilijikaza kumuita, ila kusema ukweli ninamuonea
aibu sana.
“Beee”
“Hembu angalia kwenye friji uniambie ni kitu gani
kimepungua tukanunue”
“Sawa kaka Erick”
Kitendo cha Zari kupita mbele yangu, jogoo wangu
akaanza kusisimka na kutaka kujikaza. Ukubwa wa
makalio yake kwa jinsi yanavyo tingishika jogoo
wangu ana haki ya kusisimka na isitoshe nina
ugonjwa wa kuwapenda wasichana wenye makalio
makubwa.
“Kaka Erick”
“Naam”
“Njoo uangalie wewe mwenyewe kwa maana mimi
sielewi ninaona kila kitu kipo”
Nikatembea hadi alipo Zari akanipisha kutazama ni
kitu gani ambacho kimepungua kwenye friji. Kwa
mtu mgeni anaweza kusema kila kitu kilichopo
ndani ya friji kimejitosheleza, ila kwa mimi mwenyeji
na ninaye liewewa friji la hapa nyumbani
ninatambua kuna vitu vingi vimepungua.
“Vipo vilivyo pungua njoo uone”
Zari akasimama pembeni yangu huku akitazama
ndani ya friji. Mikono yetu ikagusana, mwili wangu
ukahisi kama nimepigwa na shoti ya umeme, hata
nilicho kuwa nimepanga kumueleza kwamba
kimekwisha kikayeyuka kichwani mwangu kama
barafu juani, nikabaki kimya nikiwa nimetazama
chupa ya Tomato iliyomo humu ndani ya friji.
“Kaka”
Sauti ya Zari ikanistua sana baada ya kuona ukimya
ukiwa umetawala zaidi ya dakika mbili pasipo mimi
kumueleza kile ambacho nimemuitia hapo kwenye
friji.
“Naa..m naaam”
“Ni nini kilicho isha?”
“Ahaa..ahaa hapo ni, ni ahaa twende tu sokoni
tukanunue”
“Sawa kaka”
Nikafunga friji nikiwa bado hata kichwa changu
sikielewi, japo ninampenda sana mpenzi wangu
Rose na ana vigezo vyote ambavyo mimi huwa
ninavihitaji, ila Zari sifahamu ameniwekea kitu gani
ambacho kinanifanya nipagawe na kuchanganyikiwa
kwa kiasi hichi.
“Jiandae, ninachukua simu chumbani kwangu”
“Sawa”
Nikaingia chumbani kwangu, breki ya kwanza
nikasimama kwenye kioo cha kabati huku
nikijitazama.
“Wee Erikc acha ujinga”
Nilizungumza huku nikijipiga piga vibao kadhaa
kwenye uso wangu.
“Kama ninampenda si nisemeee tu, kwa nini
ninashindwa. Ila amesha ona mbo** yangu kabla
sijamtongoza”
Niliendelea kuzungumza huku nikiwa nimesimama
kwenye kioo hichi kinacho nionyesha kuanzia chini.
Nikajigeuza na kujitazama mwili mzima.
“Ila mimi wala sio mzuri ehee?”
Vitu ambavyo ninavifanya mbele ya hichi kioo laiti
angekuja mtu mwengine na kunikuta ninafanya hivi
vituko sidhani kama angenichukulia kama nina akili
timamu akilini mwangu. Nikachukua simu yangu
pamoja na funguo ya gari langu, nikaelekea sebleni,
nikamkuta Zari akiwa amekaa kwenye sofa na
mikononi mwake akiwa ameshika kapu.
“Hilo kapu la nini?”
“La kuwekea vitu huko sokoni”
“Ahaa lirudishe jikoni, tutajua mbele ya safari”
Zari taratibu akarudisha kapu lake jikoni na mimi
nikaeleka nje, nikaingia ndani ya gari na kumsubiria
Zari, hazukupita muda mwingi akafika katika
kwenye gari. Akafungua mlango wa nyuma ya gari
ila nikamzuia na kumuomba afungue mlango wa
mbele, akatii nilivyo mueleza.
“Funga mkanda”
“Mkanda!?”
Zari aliniuliza huku akibabaika, asijue ni mkanda
gani ambao anatakiwa kuufunga kwenye gari.
Taratibu nikamsogelea na kuuchukukua mkanda
ulipo pembeni ya siti yake na kumfunga vizuri.
“Huu ndio mkanda”
“Ahaaa”
Kitu nilicho kigundua kutoka kwa Zari ni ushamba
wa baadhi ya vitu. Hadi sasa hivi sijafahamua
ametokea mkoa gani. Tukaianza safari ya kueleka
sokoni huku kwenye gari tukisikiliza miziki mbali
mbali ya wasanii tofauti ndani na nje ya Tanzania.
“Hivi Zari umetokea mkoa gani?”
“Nimetokea mkoa Kilimanjaro”
“Ahaa wewe ni Mchaga?”
“Ndio”
“Mchaga wa wapi?”
“Kibosho”
“Hivi wale wanao ua ua wanaume ni wachaga wa
wapi?”
“Hahaa hakuna wachaga wanao ua wanaume, japo
wachaga wa machame wao ndio wana vijisita hivyo
japo sijawahi kushuhudia kuuwawa kwa
mwanaume”
“Ahaa kwa maana ninasikia kwamba wachaga hao
wanapenda sana kuchoma visu wanaume?”
“Hahaa hapana kaka Erick”
Tukajikuta tukiwa tumesha anza kuzoeana haraka
sana, ile aibu ambayo ilinikumba, nikajikuta nikiwa
imeanza kuondoka taratibu”
Tukafika sokoni, nikasimamisha gari kwenye
maegesho yaliyopo hapa sokoni.
“Tukishuka hakikisha kwamba unakuwa karibu na
mimi, kwa maana kuna vibaka wengi sana kwneye
hili soko”
“Sawa kaka Erick”
Tukashuka kwenye gari, Zari akazunguka upande
niliopo mimi, taratibu nikamshika mkono yote si
kwaajili ya kumlinda tu, bali ni kutokana hisia zangu
za mapenzi kwa Zari. Tartaibu tukaanza kuingia
kwenye soko hili lililo jaa watu wengi, kila ambaye
anamtazama Zari, nikaona jisni alivyo jawa na uchu
wamapenzi hususani wanaume. Kidume nikajikuta
bichwa likinijaa, mwili nikaanza kuufutua ilimradi tu
mjinga yoyote asimguse Zari.
“Shikamoo mama”
“Marahaba Erick, karibu sana”
“Asante mama yangu, nipatie vitu vyote ambavyo ni
vya ndani. Ukianzia na nyanya, karoti, vitunguu
maji, vitunguu swaumu, yaani kila kitu”
Nilizungumza na mama huyu ambaye kwa mara
nyingi huwa ninamnunuza nikiagizwa vitu sokoni na
mama.
“Ila Erikc siku hizi mambo yako sio mabaya”
“Ahaa mama Jumaa usimwage mchele bwana kwa
kuku wengi”
“Haahahaa baba yangu nimekuelewa. Niweke vya
kiasi gani?”
“Kama kawaida, ngoja tuchukue chukue vitu vingine
humu ndani ya soko”
“Sawa mwanangu”
Nikaondoka na Zari huku nikiwa nimemshika
mkono, wanaume wezangu wengi nikaona jinsi
wanavyo mkodolea macho Zari hadi akaanza
kujisikia aibu.
“Watu wanakutazama wewe ni mzuri”
“Ahaaa”
Nilimsikia Zari akilalamika huku akigeuka nyuma
kwa hasira na kunifanya na mimi kugeuka nyuma.
Akamtokea macho jamaa mmoja aliye kaa tumbo
wazi huku mwili wake ukiwa umejawa na misuli
mingi.
“Wewe kaka shika adabu yako si kila mwanamke
unaweza kushika shika makalio”
Zari alizungumza kwa hasira huku akimtazama
jamaa huyo. Hasira kali ikanipanda na kujikuta
nikikunja ngumi mkono wangu wa kushoto huku
taratibu nikimuachia Zari mkono wake.
“Wee malaya vipi wewe, umeshikwa unalalamiaka,
ungetiwa dol** si ndio ungepasuka kwa hasira”
“Unasemaje wewe fala”
Nikuzungumza kwa hasira huku nikimsogelea
jamaa huyu ambaye anaonekana kujiamini kutokana
na kujazia mwili wake kwa misuli mkubwa aliyo
nayo mwilini mwake.
“Na wewe boya unataka nini, unakuja kuja nini na
mademu wakali sehemu kama hi…..”
Sikuta amalizie senyensi yake, nikatandika ngumi
ya mdomo wake, jamaa akatoa ukelele mkubwa wa
hasira. Jamaa akanisukumia kwenye bao la
pembeni, sikutaka kushindwa nikajikakamua kwa
jinsi ninavyo weza kuhakikisha kwamba
ninapambana na hili lijamaa. Watu wakazidi
kukusanyika katika eneo hili kutazama ugomvi huu.
Jamaa akaendelea kunishindilia mangumi ya maana
ila hata mimi nikajitahidi sana kurudisha makonde
mazito mazito japo jamaa anangumi nzito kuliko
hata mimi.
“Waamueni jamani wataauna hawa”
Watu wakaanz akututenganisha huku nikiwa nina
hasira kali, ila watu wakahakikisha kwamba
tumeachiana na kututenganisha.
“Erick mwanagu achana nao hawa wanatabia chafu
mwangu”
Mama ambaye ananiuzia vitu kwenye genge lake
alizungumza, Zari naye akanisogelea na kunishika
mkono.
“Ningekuua wewe mseng**”
Jamaa alizungumza kwa kujisifu huku watu wakiwa
wamemshika.
“Mseng** mwenye. Kum** mak**”
Niliporomosha matusi huku watu nao wakiendelea
kunirudisha nyuma.
“Chok** weweee, mtoto wa kiume mlaini”
“Kwenda zako, mimbavu ya bure hiyo”
Tukushiana maneno ya hapa na pele, ila ukwelli ni
kwamba jaa amenizidi katika kunithibiti na ameweza
kuniumiza sehembu mbali mbali za mwili wangu.
“Erick mwangu twende twende huku”
Mama anaye uza bao, akanishika mkono na
kuondoka nami huku Zari akiwa amenishika
mabegani. Kila tulipo pita watu walitutazama.
“Mwanangu vitu vyako hivi hapa nilisha kuandalia”
“Ni kiasi gani mama yangu?”
“Elfu arobaini na tano”
Nikajipasa mfuko wa nyuma ya suruali yangu,
nikafungua zipo na kutoa waleti yangu, nikato
shilingi elfu hamsini na kumpa mama.
“Mama hivi huyu jamaa unamfahamu?”
“Ndio ninamfahamu ni muhuni muhuni tu hapa
sokoni kazi yake ni kubeba magunia tu”
“Nashukuru mama”
“Pole sana mwanangu. Binti mwaye kamsaidie
mwenzako si unaona jinsi alivyo?”
“Ndio mama”
“Fanya hivyo”
Tukaondoka na kuelekea kwenye gari huku nikiwa
nimejawa na hasira sana moyoni mwangu.
Tukaingia kwenye gari huku nikiwa nimenuna sana,
safariri ya nyumbani haikuwa na amani kama
tulivyo kuja. Kila kitu kwangu kimekuwa kibaya kwa
siku hii ya leo, hata Zari mwenyewe hakunisemesha
chochote kwa maana anatambua kwamba nina
hasira kubwa sana.
Nikafika getini na kukuta geti likiwa limefungwa,
nikapiga honi kwa nguvu. Cholo akafungua geti kwa
haraka, nikaingiza gari kwa kasi na kulisimamisha
sehemu nilipo litoa, nikashuka kwa haraka na
kueleka ndani. Moja kwa moja nikaelekea chumbani
kwangu, nikavua nguo zangu na kusimama kwenye
kioo cha kabati na kujitazama.
Mwili wangu umejaa makovu kadhaa. Kila sehemu
ninayo jishika inaniuma kusema kweli. Mlango wa
chumbani ukafunguliwa na Zari akaingia pasipo
kubisha hodi, akanikuta nikiwa kama nilivyo zaliwa.
Tukabaki tukiwa tumetazamana, nikamuona jinsi
Zari anavyo tetemeka kwa woga, kwa muda huu
hasira yangu bado imetwala moyo wangu, sikuwa
na hisia yoyote na yeye.
“Nibandikie maji”
Nilizungumza kwa sauti nzito, Zari akajibu kwa
kutingisha kichwa na kutoka chumbani kwangu.
Nikajifunga taulo nikafungua kabati langu na kutoa
kiboksi chenye dawa za huduma ya kwanza.
Nikaanza kupaka dawa sehemu ambazo
nimechubuka chubuku ili kuua bacteria ambao
wanaweza kushambulia mwili wangu.
‘Hili bifu halijaisha leo, lazima nimsake yule fala’
Niliwaza moyoni mwangu huku nikiendelea
kujitazama mwilini mwangu. Mlango ukagongwa
taratibu.
“Ingia”
Zari akaingia akiwa ameshika dishi dogo lililo jaa
maji ya moto akaliweka kwenye meza.
“Nahitaji nikukande huko usoni”
“Hayo maji si ya moto sana kama ya kupuchulia
kuku?”
“Hapana nimechangaya na maji ya ubaridi kidogo.”
“Chukua hicho kijitaulo kidogo hapo juu”
Zari akachukua kijitaulo kidogo nilicho kining’iniza
kwenye kabati langu, akarudi sehemu nilipoa kaa.
Akachovya kitaulo hicho kwenye maji akakikamua
kiasi na kuanza kunichua usoni mwangu. Kila Zari
alivyo zidi kunichua mwili wangu kwa utaratibu,
ndivyo jinsi hasira yangu ilivyo anza kupungua hadi
hisia za mapenzi taratibu zikaanza kuibuka kwa
mara nyingine tena.
Zari akaendelea kunichua taratibu hadi kifuani
mwangu, hapo msisimko wa mapenzi ndivyo ulivyo
zidi kuongezeka hadi ikafikia kipindi nikajikuta
nikishindwa kabisa kujizuia hisia zangu. Mkono
wangu wa kushoto nikaupeleka kwenye kifua cha
Zari aliye piga magoti mbele yangu akiendelea
kunichua taratibu mwili wangu.
Zari akatulia kimya kama vile hajaona kitu chochote
kilichopo kwenye kifua chake. Nikauingiza mkono
wangu kwenye tisheti yake aliyo ivaa, nikaona
haitoshi zaidi nikauingiza mkono wangu kwenye
siridia yake na hapo sasa nikawa ninashika ziwa
lake ambalo linajaa kwenye kiganja changu vizuri
sana.
Nikaanza kulitomasa ziwa lake la upande wa kulia,
Zari akaanza kulainika huku akiwa ameyafumba
macho yake akisikilizia utamu wa msisimko ninao
mpatia.
Sikuishia hapo nikamvuta karibu yangu zaidi,
taratibu nikajifungua taulo langu na kubaki kama
nilivyo zaliwa. Jogoo wangu tayari alisha anza
kusimama. Nikamshika Zari nyuma ya kichwa
chake, nikataka aanze kumnyonya jogoo wangu,
Zari akawa na kazi ya kukwepesha kwepesha
kichwa chake, ila jogoo alivyo zidi kugangamala
katika kusimama dede, taratibu Zari akamshika kwa
kiganja chake kilaini na kuanza kumchua chua.
“Ila kaka Erick unaumwa?”
“Mnyonye bwana”
Nilizungumza kwa sauti ambayo hata utokaji wake
ni mdogo sana, msisimko ambao ninaupata sijawahi
kuupata kwenye maisha yangu. Taratibu Zari
akamuingiza jogoo wangu mdomoni mwake,
nikayafumba macho yangu kwa raha huku
nikishusha pumzi nyingi. Zari akashika makend**
yangu na kuyapa huduma ya kuyanyonya hapo
ndipo raha ikazidi mara dufu. Nikafumbua macho
yangu kuangalia jinsi Zari anavyo ninyonya kwa
raha, ila hata kabla sijayafikisha sehemu anapo
ninyonya Zari, macho yangu yakakutana na Rose
akiwa amesimama mlangoni kwa hasira kali
akishuhudia uchafu wote ninao ufanya na Zari.
ITAENDELEA


AM NOT A DOCTOR 03
Muandishi………………………………………..EDDAZARIA
G.MSULWA(Next Level Author)
Mawasiliano…………………………………….0657
072588(Whatsapp)/0768516188
Wasimamizi……………………………………TEAM STORY ZA
EDDY(TSE)

ILIPOISHIA
“Ila kaka Erick unaumwa?”
“Mnyonye bwana”
Nilizungumza kwa sauti ambayo hata utokaji wake
ni mdogo sana, msisimko ambao ninaupata sijawahi
kuupata kwenye maisha yangu. Taratibu Zari
akamuingiza jogoo wangu mdomoni mwake,
nikayafumba macho yangu kwa raha huku
nikishusha pumzi nyingi. Zari akashika makend**
yangu na kuyapa huduma ya kuyanyonya hapo
ndipo raha ikazidi mara dufu. Nikafumbua macho
yangu kuangalia jinsi Zari anavyo ninyonya kwa
raha, ila hata kabla sijayafikisha sehemu anapo
ninyonya Zari, macho yangu yakakutana na Rose
akiwa amesimama mlangoni kwa hasira kali
akishuhudia uchafu wote ninao ufanya na Zari.
ENDELEA
Rose akaachia msunyo mkali na kuondoka kwa
hasira chumbani kwangu, Zari akataka kutazama
nyuma ila nikamuwahi kuzuia kichwa chake na
kiganja chake.
“Nimesikia kama mtu akisunya?”
Zari aliniuliza huku akinitazmaa usoni mwangu.
“Ahaa hakuna mtu”
“Wewe hujasikia?”
“Nahisi ni huko nje”
“Nje!!?”
“Yaa ngoja, ngoja nikaangalie”
“Subiri nikaangalie mimi”
“Hapana wewe kaa hapa ngoja nikatazame”
Zari hakuwa na kipingamizi tena, nikajifunga taulo
langu na kutoka chumbani kwangu haraka. Mlango
wa sebleni nikaukuta wazi. Moja kwa moja
nikakimbilia nje, nikamuona Rose akitoka getini kwa
haraka.
Nikaaza kukimbia hadi getini, nikamshuhudia Rose
akitokomea na dereva pikipiki.
“Mkuu imekuwaje?”
Cholo akanitazama huku nikifunga geti nikiwa na
huzuni sana moyoni mwangu.
“Hakuna kitu”
“Naona mchumba ametoka akiwa amekasirika?”
“Haikuhusu Cholo”
Nilizungumza na kuondoka getini huku nikijifunga
taulo langu vizuri kiunoni. Nikarudi chumbani
kwangu, nikamkuta Zari akiwa amejilaza kitandani
mwangu, huku amevalia bikini na siridiria, nguo
zake za juu tayari aamesha zivua. Nikaufunga
mlango kwa ndani huku macho yangu nikiwa
ninatazama katikati ya mapaja yake, sehemua
mbayo inatushanganya wanaume wengi sana
kwenye miili ya wanawake.
“Umemuona huyo mtu?”
Zari aliuliza kwa sauti iliyo jaa mahaba, woga wa
kuachwa na Rose, likaanza kuniondoka kichwani
mwangu.
“Hakuna mtu”
“Ahaaa”
Nikapanda kitandani taratibu huku nikiendelea
kuutazama uzuri wa umbo la Zari. Kusema kweli
Rose ni mzuri ila Zari amemzidi Rose kwa asilimia
nyingi sana. Uzuri wa Zari, umbo lake limekatika
vizuri sana, hana tumbo kubwa kama ilivyo kuwa
kwa Rose ambaye ana tumbo kubwa kiasi. Zari
akanipokea taratibu kwa mikono yake kuichanua.
Akaipitisha mgongoni mwangu, huku aninivutia
mwilini mwake. Midomo yetu ikakutana kwa ukaribu
sana. Zari taratibu akayafumbu macho yake,
tukaanza kunyonyana midomo yetu huku kila
mmoja akiwa katika hisia kali za mapenzi. Zari
hakusita kuipitisha mikono yeka katika kila kona ya
mwili wangu.
Akamshika jogoo wangu na kuendelea kumchua
taratibu kwa viganja vyake vilaini sana. Sikutaka na
mimi kujizubaisha, nikaupistisha mkono wangu wa
kulia kwenye mbavu zake hadi kwenye kalio lake
ambalo kusema kweli limenona kisawa sawa.
Mvurugano ambao unaanza hapa kitandani, kusema
kweli umekata hata maumivu ambayo nipo nayo.
Kila mmoja anahakikisha kwamba anamkamua
mwenzake hadi kamasi la mwisho, na ndivyo ilivyo,
Zari huyu bintii wa kichaga anajua jinsi ya kukata
kiuno hususani pale anapo mkalia jogoo, anajua jinsi
ya kutoa miguno ya kumteka mwanaume yoyote.
Uzuri ameamua kujiachia, hajibani bani kwangu
unaweza kusema kwamba tumejuana kwa siku
nyingi ila ukweli ni kwamba ni leo tu ndio tumejuana.
Hadi tunafika tamati kila mmoja jasho linamwagika
kisawa sawa.
“Zari hivi wewe ni mchaga kweli?”
“Aki ya Mungu mimi ni mchaga, kwa nini unaniuliza
hivyo?”
“Sijawahi kuona mchaga anaye jua mapenzi kama
wewe”
“Unataka kuniambiwa kwamba wachaga wote
ulisha wahi kuwapitia?”
“Hapana, ila huwa ninasikia wanawake wakichaga,
hawajui mapenzi ya kumburudisha mwanaume
hususani kitandani”
“Hahaaa unisifurahishe Erick, huyo aliye kuambia
amekudanganya”
“Mmmm, umenitoa jasho hadi la kwapa”
“Hahaaaa Mungu wangu, jasho la kwapa hili nalo
kubwa leo”
“Ohhoo umenitoa jasho lwa kwapa, hapa nilipo
yaani najihisi kunuka kikwapa”
“Twende tukaoge”
“Mwenyewe nilihitaji kuzungumza hivyo”
“Ila ujihisi maumivu kwenye hizi sehemu ambazo
umeumi?”
“Hapa damu ina chemka, ila nikitulia ndio nitajisikia
maumivu sana”
“Yaani wakaka wa huku wana tabia mbovu kama
wale wa ngarenaro”
“Tena yule jamaa, nitahakikisha ninamfundisha
adabu”
“Ahaa achana naye bwana, usipende kulipiza kisasi,
jamaa mwenyewe anaonekana hana mbele wala
nyuma”
“Hata kama, ujue amenidhalilisha sana”
“Natambua, na ninajua kwamba yote ni kwajili
yangu. Ndio maana hata mimi nimejikuta nikufungua
moyo wangu haraka sana kwako, kutokana na
kunijali kwako”
“Kweli?”
“Ndio, unajua kujali, unajua ni muda gani
mwanamke anahitaji kuapata raha. Sikuwahi
kutembea na mwanaume akiwa amenishika mkono
kwenye maisha yangu tangu kuzaliwa kwangu”
“Mimi ni mwanaume wako wa ngapi?”
“Wa pili, wa kwanza nilikuwa naye ila niliachana
naye”
“Kisa nini cha kuachana?”
“Alitembea na mdogo wangu anaye nifwata, iliniuma
sana nikaona niachane naye, yaani ni bora
mwanaume akatembea na rafiki yangu kuliko
mdogo wangu wa baba mmoja na mama mmoja
iliniuma sana”
“Pole sana, twende tukaoge”
Tukanyanyuka kitandani na kuingia bafuni,
tukaogesha huku tukicheza michezo ya hapa na
pale. Tukatoka bafuni, Zari akaeleka chumbani
kwake kwa ajili ya kuvaa na mimi nikabaki
chumbani kwangu na kuanza kuvaa. Wazo la Rose
likanijia kichwani mwangu, nikaitafuta suruali
yangua mbayo nilikuwa nimeivaa kipindi nikielekea
sokoni, nikaanza kuipapasa kwenye kila mfuko
nikitafuta simu yangu, ila sikuweza kuiona kabisa.
Nikajikuta nikihisi kuchanganyikiwa, si kwamba
simu yangu ni ya garama, ila katika simu yangu
kuna vitu vyangu muhimu sana. Nikaendelea
kuitafuta kwenye kila kona ya chumba changu ila
sikuiona. Jasho la woga na wasiwasi likaanza
kunimwagika, nikatoka nje nikiwa na funguo ya gari,
nikafungua mlango wa gari, cha kumshukuru Mungu
nikaikuta ikiwa pembeni ya siti dereva.
Nikashusha pumzi nyingi huku nikiwa ninaichukua,
nikaitazama, nikakuta missed call zaidi ya ishirini
na tisa, meseji kumi na mbili. Nikafungua missed
call hizo, missed call kumi zimetoka kwa Rose huku
nne zikitoka kwa mama Rose. Nikafungua meseji
moja ambayo ni ya mama Rose, macho yakanitoka
kwa kile nilicho kutana nacho.
(ERICK MWANANGU AMEKUNYWA SUMU KWA
AJILI YAKO, AKIFA MIMI NA WEWE)
Mwili mzima nikahisi ukikosa nguvu, nikahisi
kuchanganyikiwa sana. Hata nguvu za kuishika
simu nikajikuta zikiniishia na kuiweka kwenye siti ya
dereva. Kwa jinsi mapigo ya moyo yanavyo kwenda
kasi ni ziaidi na hata na mwanzo nilipokuwa
nikiitafuta simu yangu.
“Erick”
Saiuti ya Zari niliisikia pembeni yangu na kunifanya
nistue sana, nikamtazamana na kubaki tukiwa
tumesimama huku tumetazamana akionekana
kunishangaa sana.
“Vipi una tatizo gani?”
“Eheee”
“Unatatizo gani, mbona jasho linakumwagika usoni
mwako”
“Ahaa ahaa hamna kitu chochote”
“Nikuandalie chai na nini?”
“Chohote tu”
“Sawa, ila unaonekana huna wasiwasi mwingi
sana”
“Hapana kuna maswala ya kibiashara
yamenichanganya kidogo hapa, hembu nenda
kaniletee viatu ndani”
“Vipi hiyo?”
“Zile raba nyeusi nilizokuwa nimezivaa”
“Sawa”
Zari akaondoka, nikachukua simu na kusoma meseji
ya Rose, ambayo nayo inazidi kuninyong’onyeza.
‘ERICK SIAMINI KWAMBA WEWE NDIO WA
KUNIFANYIA HICHI AMBACHO UMENIFANYIA.
NINAJIUA ILI UBAKI NA HUYO MWANAMKE
AMBAYE UPO NAYE. NINAWATAKIA MAISHA
MEMA’
Nikahisi machozi kunilenga lenge, kwa maana hii
ndio mara yangu ya kwanza kuchepuka kwenye
maisha yangu na ninakutana na matatizo makubwa
kama haya. Zari akaniletea raba zangu, nikavaa
haraka.
“Ninarudi muda si mrefu hakikisha kila kitu
kinakuwa vizuri”
“Sawa Erick, ninakupenda”
“Ninakupenda pia”
Hata hiyo nakupenda pia imetoka kiubishi tu, laiti
Zari angejua msalaba ambao nimeubeba kwa hivi
sasa wala asinge diriki hata kuzungumza maneno
ya namna hiyo. Nikaingia kwenye gari langu,
nikaliweka sawa na kwa kasi nikaelekea getini.
Nikapiga honi kwa nguvu na kumstu Cholo aliye
jilaza kwenye kiti cha uvivu kilicho tengenezwa kwa
plastiki.
“Fungua geti wewe”
Nilimfokea kwa hasira, kwa haraka Cholo akafanya
kama vile nilivyo mueleza. Kitendo cha geti
kufunguliwa nikatoka kwa kasi ya ajabu kuwahi
nyumbani kwa kika Rose. Barabara nzima
ninaendesha gari kama mwendawazimu,
nikafanikiwa kufika nyumba kwao salama salimini.
Kwa haraka nikashuka kwenye gari, nikawasilimia
wamama wawili nilio wakuta hapa kibarazani.
Hawakuniitikia kwa furaha, nikawapita na kuingia
ndani kwa haraka nikaelekea kwenye chumba cha
Rose kwenye hii nyumba ambayo ina wapangaji
wengi.
Nikagonga ila sikupata majibu yoyote ya kujibiwa
ndani, nikajaribu kusukuma ndani ila mlango
umefungwa.
“Hawapo wenyewe Rose amepelekwa hospitali”
Kitoto kidogo cha kike kilinijibu huku kikiwa
kimetokea kwenye mlango wa chumba cha pili.
“Anaumwa na nini?”
“Amekunywa sumu”
Maneno ya mtoto huyu yakazidi kunichanyanya
sana. Nikapiga hatua mbili mbele, kisha nikageuka
na kurudi sehemu alipo mtoto huyu.
“Eti mtoto mzuri dada Rose amepelekwa hospitali
gani?”
“Amepelekwa hospitali ya Mwananyamala”
“Asante mtoto mzuri ehee”
Nikatoka kwa kasi huku nikiwa ninakimbia, nikaingia
kwenye gari nikahasau hata kuwaaga wanamama
walio kaa hapa nje, ambao nao ni wapangaji katika
hii nyumba. Nikaingia kwenye gari na kuanza
kuelekea hospitali ya Mwananyamala huku
nikijitahidi kupita barabara za mkato kuhakikisha
kwamba ninaikimbia foleni ya jiji hili la Dar es
Salaam. Nikafanikiwa kufika katika hospitali ya
Mwananyamala, nikasimamisha gari langu
nikashuka huku nisijue ni wapi ambapo nitaanzia
kwa maana kichwa changu kisha changanyikiwa
vya kutosha. Sikuwa na jinsi zaidi ya kumpigia
mama Rose ili niweze kufahamu ni sehemu gani
walipo. Simu ya mama Rose ikaita ila akakata,
nikajaribu tena akakata simu. Nikampigia kwa mara
ya tatu akapokea.
“Unataka nini wewe malaya mwana haramu usiye
na huruma na watoto wa watu?”
Mama Rose alizungumza kwa sauti ya hasira, ila
sikuhitaji kukata simu nikajikaza kuzungumza naye.
“Mama shikamoo”
“Mja laana wewe hiyo shikamoo yako ingekuwa ni
roho njoo umpe mwanagu”
Moyo ukanistuka sana kwa akuli hii ya mama Rose.
“Mama, mupo hospitali gani?”
“Nimekuambia sihitaji simu yako na huna haya ya
kujua nipo wapi”
Simu ikakatwa, jasho jingi likaanza kunimwagika
usoni mwangu. Nikabaki nikiwa ninawatazama watu
wanao ingia na kutoka katika hii hospitali. Miguu
yangu ikaanza kuchukua uamuzi wa kunipeleka
sehemu ya mapokezi, kwa maana kichwa changu
kinashindwa kabisa kufanya maamuzi.
“Samahani dada”
“Bila samahani?”
“Kuna dada ameletwa hapa amekunywa sumu sijui
yupo wodi gani?”
“Mmmm, eti Ester leo kuna mgonjwa ambaye
ameletwa amekunywa sumu?”
“Ndio amepelekwa wodi ya wagonjwa mahututi”
“Ni wapi?”
Nilimuuliza nesi huyu, akanitazama usoni mwangu.
“Ester nishikie mara moja nimpeleke huyu kaka”
“Poa ila usichelewe, si unajua watu wengi”
“Sawa”
Nesi huyu akazunguka upande wa pili wa chumba
hichi na kutoka, tukaanza kuongozana kueleka
katika vyumba hivyo vya wagonjwa mahututi.
Tukafika katika eneo la vyumba vya wagojwa
mahututi, nikamuona mama Rose akiwa amekaa
kwenye benchi la wagonjwa.
“Kaka ndio hapa”
“Asante”
Nesi akaondoka, nikatembea kwa hatua za taratibu,
mama Rose alipo geuka na kunitazama
akanyanyuka kwa haraka na kunifwata hadi sehemu
nilipo, akanitandika kibao kimoja kikali hadi watu
walipo katika sehemu hii wakashangaa huku
wakitutazama.
“ONDOKA ENEO HILI KABLA SIJAWAITA POLISI
WAKAKUCHUKUA MALAYA MKUBWA WEEEE”
Mama Rose alizungumza kwa sauti ya chini ila iliyo
jaa hasira kali huku machozi yakimlenga lenga
kwenye macho yake.
ITAENDELEA
STORY HII NI KWA WASOMAJI WENYE UMRI ZAIDI
YA MIAKA 18. HAKI ZOTE ZIMEIFADHIWA. USIKOSE
SEHEMU YA 04 YA KISA HICHI CHA KUSISIMUA.


AM NOT A DOCTOR 04
Muandishi………………………………………..EDDAZARIA
G.MSULWA(Next Level Author)
Mawasiliano…………………………………….0657
072588(Whatsapp)/0768516188
Wasimamizi……………………………………TEAM STORY ZA
EDDY(TSE)

ILIPOISHIA
Nesi huyu akazunguka upande wa pili wa chumba
hichi na kutoka, tukaanza kuongozana kueleka
katika vyumba hivyo vya wagonjwa mahututi.
Tukafika katika eneo la vyumba vya wagojwa
mahututi, nikamuona mama Rose akiwa amekaa
kwenye benchi la wagonjwa.
“Kaka ndio hapa”
“Asante”
Nesi akaondoka, nikatembea kwa hatua za taratibu,
mama Rose alipo geuka na kunitazama
akanyanyuka kwa haraka na kunifwata hadi sehemu
nilipo, akanitandika kibao kimoja kikali hadi watu
walipo katika sehemu hii wakashangaa huku
wakitutazama.
“ONDOKA ENEO HILI KABLA SIJAWAITA POLISI
WAKAKUCHUKUA MALAYA MKUBWA WEEEE”
Mama Rose alizungumza kwa sauti ya chini ila iliyo
jaa hasira kali huku machozi yakimlenga lenga
kwenye macho yake.
ENDELEA
“Mama please ninakuomba unisikilize mara moja”
“Nikusikilize unihalalishie upuuzi na ujinga wako
ambao umeufanya eheee”
Mama Rose aliendelea kuzungumza huku akinikazia
macho yaliyo jaa hasira kali.
“Hapana mama unashindwa kunielewa tu”
“Ninashindwa kukuelewa, unataka kuniambia
kwamba hukutoka kutom**ana wewe?”
Maneno ya mama Rose yakaendelea kuniumbua
kwa maana kitu anacho kizungumza kina ukweli
kabisa, japo siwezi kukiri mbele yake kwamba ni
kweli nilitoka kungonoka.
“Mama, unaamini kweli kwamba mimi nimetoka
kufanya mapenzi. Hembu tazama makovu haya
yote usoni kweli unaweza kuhisi kwamba nimetoka
kungono.?”
“Acha unafki mtoto wa kiume wewe, tazama sura
yako haina hata haya mambo mengine uacha
unafki”
MamaRose alizungumza huku akianza kuminya
minya simu ya Rose, alipo hakikisha amekipata kile
alicho kikusudia kukipata, akanigeuzia simu ya
Rsoe. Sikuamini macho yangu nilipo iona video
inayo tuonyesha mimi na Zari anaye ninyonya jogoo
wangu, japo Zari kwenye hii video anaonekana
mgongo.
‘Ina maana Rose aliturekodi?’
Nilijiuliza huku nikiitazama video hii ambayo mimi
mwenyewe ninaonekana kufumba macho kwa
utamu ambao ninaupata hapo.
“Zungumza malaya wa kiume wewee”
Mama Rose aliendelea kubwata huku akiwa
ameishika simu ya Rose akinionyeshea, nikatamani
sana kumpokonya simu hii, ila mazingira niliyopo sio
mazuri kabisa.
“Na ninakuambia, mwanangu akifariki hii video
nitaisambaza mtandaoni sasa tuone mimi na wewe
nani ni zaidi”
Mama Rose alizungumza huku akiondoka na kurudi
sehemu lilipo benchi la kupumzikia watu wanao
wasubiria wagonjwa wao walio ingizwa katika
chumba cha wagonjwa mahututi. Kichwa changu
nikahisi kinaweza kuchanganyikiwa kwa kile nilicho
kiona na kukisikia kutoka kwa mama Rose.
Simu mfukoni mwangu ikaanza kuita, nikatembea
kwa haraka hadi sehemu ambayo nikaona ninaweza
kuipokea simu hii ambayo bado ipo mfukoni
mwangu. Nikaitoa simu mfukoni na kukuta ni mama
ndio anaye nipigia.
“Shikamoo mama”
“Mara haba, sisi tumesha fika, vipi hapo
nyumbani?”
“Kila kitu kipo sawa”
“Ahaa hakikisha usalama unakuwepo, na usitoke na
kwenda kutembea ukamuacha huyo mtoto wa watu
peke yake hapo nyumbani”
“Sawa mama”
“Ulinunua vitu vilivyo pungua kwenye friji?”
“Ndio mama”
“Haya badae”
Mama akakata simu, nikaiingiza mfukoni na kurudi
sehemu alipo mama Rose huku nikiwa na wasiwasi
mwingi mwingi usoni mwangu. Nikasimama kwa
sekunde kadhaa pembeni ya benchi alilo kalia
mama Rose kisha nikaka pembeni yake huku
nikimtazama kwa jicho la kuiba iba. Mama Rose
akanitazama kwa jicho kali sana ila ila hata kabla
hajazungumza kitu chochote, dokta katika chumba
ninacho amini ndipo alipo ingizwa Rose, akatoka
akiwa amevalia koti jeupe na gloves zake mikononi.
“Dokta mwangu anaendeleaje?”
“Wewe ndio mama wa huyu binti humu ndani?”
“Ndio baba yangu”
Dokta akanitazama mimi niliye simama nyuma ya
mama Rose na kumfanya mama Rose naye
kutazama nyuma. Alipo niona akaachia msunyo
mkali sana hadi dakatari akabaki akiwa na
mshangao mkubwa sana.
“Si nilikuambia uondoke, Malaya weweee”
Mama Rose alizungumza kwa sauti ya chini huku
akiwa ameyang’ata meno yake kwa uchungu sana.
“Dokta ninakuomba uniambie Rose wangu
anaendeleaje?”
Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni
mwangu. Daktari akatuitazama mimi na mama Rose
huku akitafakari ni kitu gani anaweza kuzungumza
kwa wakati huu.
“Nani ni muhusika kati yenu?”
“Mimi baba”
“Kijana naomba utupishe”
Daktari alizungumza kwa sauti ya upole huku
akinitazama usoni mwangu. Sikuwa na jinsi ya
namna yoyote zaidi ya kuwapisha na kusimama
pembeni na kuwatazama jinsi wanavyo zungumza
mazungumzo yao. Kazi yangu kubwa ikawa ni
kutazama mdomo wa daktari, ninatazama jinsi
mdomo wake unavyo taja matamshi, nikamuona
mama Rose akiweka mikono yake kichwani
akionekana kuchanganyikiwa. Uvumilivu
ukanishinda na kujikuta nikitembea kwa haraka hadi
sehemu walipo simama.
“Daktari nakuomba uniambie ni kitu gani ambacho
kinaendelea?”
Daktari akanitazama kwa mshangao, sura ya mama
Rose imejaa machozi mengi, jambo lililo nifanya
nianze kupatwa na woga mwingi moyoni mwangu.
“Dokta tafadhali ninakuomba uniambie mpenzi
wangu Rose anaendeleaje?”
“Kwa hapa tumeshindwa kuiondoa sumu iliyopo
mwilini mwa Rose. Hadi sasa hivi hatufahamu ni
sumu ya aina gani ambayo ameweza kunywa kwa
maana ni sumu ambayo inamuharibu taratibu
taratyibu mwili wake.”
“Kwa hiyo hapo daktari inakuwaje?”
“Nimezungumza na mama hapa nikamuambie,
hakua jambo jingine ambalo tunaweza kulifanya
zaidi ya kumuhamisha hospitali, na si kumpeleka
hospitali za serikali, anaweza kufa. Ninacho kihitaji
ni nyinyi kuweza kumpeleka hospitali binafsi na
hospitali ambayo ninawashauri muweze kwenda ni
Aghakan. Hapo kuna madaktari bingwa ambao
wanaweza kudili na hii poison”
“Itagarimu kiasi gani dokta?”
“Mama hapa nilimueleza garama za awali
nikamuambia inaweza kugarimu kama milioni mbili
kwa kuanza matibabu ya haraka”
“Hakuna shida dokta nitagaramia mimi kila kitu”
“Sitaki pesa zako”
Mama Rose alizungumza huku akiwa amenikazia
macho japo anamwagikwa na machozi ila macho
yake yamemtoka na kwa jinsi alivyo mweupe sura
nzima imetawaliwa na wekundu wekundu kwenye
mashavu.
“Mama hapa hatuzungumzii pesa zangu, kama ni
makosa yamesha tokea. Tuangalie maisha ya
mpenzi wangu”
“Nimesema sihitaji pesa yako na kama unahisi
ninakutania endela kujipendekeza katika hili swala
nitakutoa roho”
Mama Rose baada ya kumaliza kuzungumza
akaondoka kwa mwendo wa haraka na kutuacha
mimi na daktari tukibaki huku tukiwa tunamtazama.
“Dokta yule ni mwanamke, ninaijua vizuri hii familia.
Ninakuomba kama inawezekana niweze kufanya
malipo ya hiyo pesa na mpenzi wangu aweze
kufanyiwa matibabu ya haraka”
Daktari akaka kimya huku akinitazama usoni
mwangu kisha akatazama upande alipo alekea
mama Rose, kisha akatingisha kichwa akionekaa
kukubaliana na kile ambacho ninakizungumza.
“Nifwate”
Tukaondoka na daktari huku tukitembea kwa
mwendo wa haraka sana. Tukaingia kwenye moja
ya ofisi, kitendo cha kufika ndani ya ofisi, daktari
akanyanyua mkonge wa simu yake ya mezani.
Akaminya minya namba kadhaa kisha akauweka
mkonge huo wa simu sikioni mwake.
“Dokta Almeda hapa ninazungumza”
“Nina dharura, kuna mgonjwa wangu ninahitaji
kumleta hapo hospitalini kwako haraka
iwezekanavyo”
“Ame kunywa sumu, hapa tumejitahidi kuitoa ila
tumeshindwa kabisa katika kulifanya hilo”
“Shukrani”
Dokta akaurudisha mkonge wa simu sehemu alipo
utoa kisha akachukua moja ya fomu, akajiza kwa
haraka haraka kwa kutumia mkono wake wa
kushoto. Alipo hakikisha kila jambo lipo sawa
akanigeuzia fomu hii.
“Saini hapa”
Akanionyesha sehemu ya kusaidi, kwa haraka
nikasaini, kisha akaitengenisha karatasi hii na
karatasi ambayo ilikuwa chini na maandishi yote
yaliyo andikwa yamebaki katika karatasi hiyo.
“Hii ni fomo ya transfer, malipo utakwenda kulipia
huko huko”
“Sawa”
Daktari akanyanyua tena mkonga wa simu ya
mezani, akaminya minya namba na kupiga namba
ya simu.
“Andaaeni gari la wagonjwa ni dharura”
Daktari akarudisha mkonga wa simu sehemu alipo
utoa kisha akaniomba niongozane naye. Tukatoka
kwenye ofisi, moja kwa moja tukaelekea hadi katika
chumba cha wagonjwa mahututi.
“Subiri”
Daktari alizungumza huku akiingia ndani, nikabaki
nje huku nikiwa na wasiwasi mwingi sana. Ujio wa
Zari nyumbani kwetu ndio umesababisha haya yote
katika maisha yangu. Nikiwa katika hali ya
kumfikiria Zari mlango wa chumba hichi cha
hospitalini ukafunguliwa kikatolewa kitanda cha
matairi na juu yake amelazwa Rose anaye hemea
mashine ya oksijeni.
Manesi wanao kisukuma kitanda hichi wote
wamejifunga nyuzo zao na kubakisha macho
pamoja na paji za nyuso zao. Nikaanza kukifwata
kitanda kwa nyuma huku daktari akiwa pembeni
yangu. Tukatoka nje na kukuta gari la wagonjwa
likiwa tayari limesha andaliwa kwa safari ya
kuelekea safari ya Akgakan. Manesi wakaanza
kumuingiza Rose katika gari la wagonjwa,
nikamuona mama Rose akija eneo hili kwa kasi
sana.
“Mwanangu munampeleka wapi jamani?”
Mama Rose alizungumza huku machozi yakimtoka,
sikuhitajhi kumsikiliza kwa maana ninatambua akili
yake kwa sasa amechanganyikiwa kabisa na
hafahamu anacho kizungumza kwa sasa kinamtoka
pasipo kuelewa hali halisi ya jambo lenyewe jinsi
lilivyo.
“Mama kama nilivyo kuambia pale ndani. Mwanao
inatulazimu kumpeleka Agakgan kwa ajili ya
matibabu zaidi kwa maana hapa kwenye hospitali
yetu sisi tumeshindwa”
“Sihitaji huyu kijana aweze kwenda”
“Kama umepata hiyo milioni mbili kijana atakupa
fumo niliyo mpatia kisha atakwenda na mwanao”
Maneno ya dokta yakamfanya mama Rose kukaa
kimya huku akibaki akiwa anamtazama daktari
pasipo kumjibu kitu cha aina yoyote. Ukimya wa
mama Rose ni jibu tosha kwamba hana pesa ya
kulipia matibabu ya mwanaye.
“Mama tuweke tofuati zetu pembeni, tuangalie hili
tatizo linakwenda, kwa kuzubaa kwako hapa Rose
akifa, kifo chake kitakuwa mikononi mwako”
Nilizungumza kwa kujiamini huku nikiwa
nimemkazia mama Rose macho. Akaaendelea
kukaa kimya, nikamtazama daktari usoni mwake,
kwa ishara ya macho akaniomba niingie kwenye
gari. Nikaingia kwenye gari na mama Rose naye
akafwata, manesi wakafunga mlango na gari
ikaruhusiwa kuondoka.
Machozi yakaanza kunilenga lenga usoni mwangu,
siamini kama Rose huyu ambaye jana muda na
wakati kama huu nilikuwa naye pembezoni mwa
fukwe za bahari tukizungumza mambo mengi
hususani swala langu la kwenda kusomea udaktari.
Mama Rose kazi yake kubwa ni kulia kimya kimnya
huku akimtazama mwanye jinsi alivyo lala na alivyo
mrembo sana mbele za macho ya watu.
“Ohoo Rose, usife mwangu, nitabaki na nani mimi”
“Mama usizungumze kwa sauti, mgonjwa haitaji
kelele”
Nesi mmoja alizungumza na kumfanya mama Rose
asizungumze kitu kingine zaidi ya kujipangusa
machozi yake usoni mwake.
Hatukuchukua muda sana tukafanikiwa kufika
katika hospitali ya Agakhan, manesi wakafungua
mlango, nikaanza kutoka mimi. Manesi wengine
ambao nahisi walisha pewa taarifa juu ya ujio wetu
tukawakuta wakitusubiri huku wakiwa na kitanda
chao maalumu cha kubebea wangonjwa. Kwa
haraka Rose akatolewa ndani ya gari akapakiwa
kwenye kianda hichi tulicho wakuta nacho hawa
manesi, na kuanza kukisukuma kuelekea ndani
huku mimi na mama Rose tukiwa tunawafwata kwa
nyuma.
“Unaweza kufanya malipo hapo mapokezi”
Nesi mmoja alizungumza huku akinishika mkono,
sikuwa na jinsi zaidi ya kuwaacha manesi pamoja
na mama Rose kutangullia katika sehemu ambayo
Rose anaweza kupatiwa matibabu kwa haraka
iwezekanavyo. Nikasimama katika dirisha la
mapokezi na kuwakuta manesi wengi wakiendelea
kuwahudumia wato tofauti tofauti tuliopo kwenye hili
dirisha.
“Nimemleta mgonjwa wangu sasa hivi hapa,
sifahamu malipo ninafanya vipi?”
“Unakaratasi yoyote uliyo kuja nayo na mgonjwa
wako hapa?”
“Ndio ninayo”
“Naiomba”
Nikampatia nesi huyu mwenye asili ya kihindi
karatasi niliyo patiwa na daktari. Akaisoma kwa
haraka haraka, kisha akachukua peni na kusaini,
kisha akagonga muhuri.
“Matibabu ya walini ni milioni moja na laki mbili.
Akichukua chumba, pamoja na garama nyingine ni
laki nane”
“So ni sawa na milioni mbili si ndio?”
“Yaa”
“Ninaweza kulipia kwa huduma ya mpesa”
“Ndio, namba ya malipo hiyo hapo kwenye dirisha”
Nikaitazama namba hii ya malipo, kisha nikatoa
simu yangu mfukoni. Nikaanza kufanya hatua za
malipo kwa maana kwenye akaunti yangu Mpewa
kuna pesa ya nyingi tu.
“Done”
Nilimuambia nesi huyu huku nikimtazama uosni
mwake. Akachukua simu ndogo, akanitazama kwa
sekunde kadhaa.
“Erick Palm”
“Yaa”
“Imefika, subiri nikuandikie risiti”
Nikasubiria kwa dakika moja, nesi akaniandika risiti
na kunikabidhi.
“Samahani mgonjwa wangu atakuwa amepelekwa
wapi?”
“Ngoja niulize”
Nesi huyu akachukua simu iliyopo pembeni yake,
akaanza kuzungumza kiarabu ambacho sikielewi
kabisa. Akakata simu na kunitazama.
“Wewe ni mwenyeji katika hii hospitali?”
“Hapana”
“Basi twende nikupeleke”
Tukaongozana na nesi huyu, tukaingia kwenye lifti
na kuelekea gorofa namba moja, moja kwa moja
tukaongozana kwenye kordo, tukakunja kushoto
kukuta vyuma vilivyo tulia. Nikamuona mama Rose
akiwa amesimama pembeni huku akionekana
kujawa na mawazo mengi.
“Asante”
Nilimuambia nesi, baada ya kumuona mama Rose,
nesi akaninyooshea kidole gumba kisha akageuza
na kuondoka eneo hili. Nikamsogelea mama Rose
na kusimama pembeni yake, ukimya ukatutawala
kati yetu hapakuwa na mtu ambaye alimsemesha
mwenzake, kila mtu akili yake inamfikiria Rose
aliyopo ndani ya chumba hichi akifanyiwa matibabu.
“Asante”
Mama Rose alizungumza kwa saunti ya chini.
“Usijali mama”
“Ila kwa nini umefanya ulicho kifanya wakati si mimi
tu niliye kuwa ninakuamini, ila hata Rose mwenyewe
alikuwa anakuamini sana?”
“Mama hili ni kosa ambalo kusema kweli hadi sasa
hivi ninajutia kwenye maisha yangu, kwa maana laiti
nisinge fanya vile leo hii mimi tusinge kuwepo hapa”
Mama Rose akatazama pande zote za hili eneo,
kisha akanigeukia na kunikumbatia kwa nguvu huku
akiniminya minay mgongoni mwangu
“Erick nahitaji na mimi ili niifute hii video”
“Unahitaji nini?”
“Nahitaji kile ulicho mpa Rose na kumfanya
apagawe na kunywa sumu”
Nilijikuta nikistuka sana kwa maana sikutegemea
kuyasikia maneno haya kutoka kwa mama Rose
ambaye siku zote ninamuogopa na kumuheshimu
kupita maelezo
ITAENDELEA
STORY HII NI KWA WASOMAJI WENYE UMRI ZAIDI
YA MIAKA 18. HAKI ZOTE ZIMEIFADHIWA. USIKOSE
SEHEMU YA 05 YA KISA HICHI CHA KUSISIMUA.


AM NOT A DOCTOR 05
Muandishi………………………………………..EDDAZARIA
G.MSULWA(Next Level Author)
Mawasiliano…………………………………….0657
072588(Whatsapp)/0768516188
Wasimamizi……………………………………TEAM STORY ZA
EDDY(TSE)

ILIPOISHIA
“Ila kwa nini umefanya ulicho kifanya wakati si mimi
tu niliye kuwa ninakuamini, ila hata Rose mwenyewe
alikuwa anakuamini sana?”
“Mama hili ni kosa ambalo kusema kweli hadi sasa
hivi ninajutia kwenye maisha yangu, kwa maana laiti
nisinge fanya vile leo hii mimi tusinge kuwepo hapa”
Mama Rose akatazama pande zote za hili eneo,
kisha akanigeukia na kunikumbatia kwa nguvu huku
akiniminya minay mgongoni mwangu
“Erick nahitaji na mimi ili niifute hii video”
“Unahitaji nini?”
“Nahitaji kile ulicho mpa Rose na kumfanya
apagawe na kunywa sumu”
Nilijikuta nikistuka sana kwa maana sikutegemea
kuyasikia maneno haya kutoka kwa mama Rose
ambaye siku zote ninamuogopa na kumuheshimu
kupita maelezo
ENDELEA
Taratibu nikajitoa mikononi mwa mama Rose huku
nikimtazama usoni mwake.
“Mama tuangalie kwanz afya ya Rose itakuwa vipi”
Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikimtazama
mama Rose usoni mwake.
“Ok ok”
Mama Rose alizungumza huku akijipangusa
machozi usoni mwake. Tukakaa kwa masaa mawili
pasipo kuondoka katika mlango wa chumba alicho
ingizwa Rose. Daktari mwenye asili ya kihindi.
“Dokta vipi hali ya mgonjwa”
“Anaendelea fine, tumeshatoa sumu yote mwilini
mwake na sasa hivi atapelekwa chumba cha
mapumziko baada ya masaa sita mbeleni
atazinduka”
“Ohoo asante Mungu”
Nilijikuta nikizungumza kauli hii huku nikiwa
nimejawa na furaha sana moyoni mwangu, kwa
maana sisi sote hatukuwa na uhakika kama Rose
anaweza kuwa sawa, hii ni baada ya kushindikana
katika hospitali ya kwanza.
“Ilikuwaje mgonja wenu akanywa sumu?”
Swali la daktari likatufanya mimi na mama Rose
kutazamana.
“Ahaa ni ugomvi umetokea yeye na mwenzake”
“Ni ugomvi wa aina gani kwa maana ninauliza hivyo
kutokana nina maana yangu”
“Nilitoka nje ya ndoa”
Ilinibidi kujiwahi kuzungumza kwa maana sifahamu
mama Rose akngezungumza kwa namna gani
“Basi ninakuomba, akizinduka kutoka usingizini
hakikisha kwamba hakuoni wewe wa kwanza, kwa
maana kukuona kwake inaweza ikamletea mstuko
ambao unaweza kupeleka moyo wake kufeli na
ukifeli kitrkacho tokea hapo ni kifo chake”
“Sawa dokta”
“Manesi wanamuandaa humo ndani kasha
atapelekwa ICU”
“Sawa dokta”
“Kijana mpe siku ya leo mke wako, labda kesho
huko ndio unaweza kumuona”
“Hakuna tabu dokta katika hilo”
Daktari akaondoka, haukupita muda mrefu manesi
wakamtoa Rose katika chumba cha matibabu.
Tukaongozana nao tukaingia kwenye lifti na
kushuka chini.
“Subirini nje”
Nesi mmoja alizungumza huku akinitazama usoni
mwangu, wakamuingiza katika chumba cha
wagonjwa mahututi ambao wanaangaliwa kwa
uangalizi wa hali ya juu.
“Munaweza kuingia sasa ila mmoja mmoja”
Nesi huyo alizungumza mara baada ya kuandaa
mazingira ya chumba hichi. Akaanza kuingia mama
Rose. Baada ya dakika tano akatoka, kasha
nikaingia mimi. Chumba hichi kimezungushiwa
mashuku ya kijana na kina mashine nyingi za
kuhemea. Kwa mtu ambaye ni muogo unaweza
kuogopa hichi chumba kwa maana kina mashine
nyingi sana ambazo humsaidia mgonjwa kuhema
huku nyingine zikifanya kazi ya kuhesabu mapigo
yake ya moyo.
“Usimshike”
Nesi aliye simama pembeni ya kitanda akiendelea
kumuhudumia Rose alizungumza huku akinitazama
kwa macho makali.
“Kwa nini nesi?”
“Ni sheria, hata mama yake pia hakumgusa”
Ikanibidi kuwa mpole katika hili. Nikamtazama Rose
kwa muda, kisha nikatoka katika chumba hichi.
“Mama mimi ninakwenda kuchukua gari langu”
“Twende wote”
“Unaweza kubaki na mgonjwa hapa”
“Nesi ameniambia ninaweza kwenda nyumbani
nikarudi hata kesho”
“Sawa mama, ila wamekuambia ni vyakula gani
anavyo takiwa kula?”
“Ndio”
“Basi nitakupatia pesa ili uvinunue kesho na uvilete”
“Sawa”
Tukaondoka na mama Rose eneo hili la hospitalini.
Tukatembea kwa umbali kidogo kutoka ilipo
barabara, tukakodisha bajaji itupeleke kwenye
hospitali ambayo nimeacha gari langu.
“Saa ngapi hapo baba”
“Saa moja kasoro”
Nilimjibu mama Rose huku nikitazama simu yangu.
Ninatamani sana kumuambia mama Rose aifute
video iliyopo kwenye simu ya Rose ila ninashindwa
kwa kumuhofia ukali wake.
“Erick unakumbuka nilicho kuambia leo?”
“Leo tumezungumza mambo mengi mama yangu”
Mama Rose akaniweka mkonoo juu ya paja langu,
mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi. Hata
upepo ambao unaingia kwenye hii bajaji haukufua
dafu kabisa. Uzuri katikati ya dereva na abiria kuna
nyavu ambayo ni nzito sana na si raisi kwa dereva
kuona ni kitu gani kinacho tendeka nyuma. Mama
Rose akaanza kuniminya minya paja langu, taratibu
nikaushika mkono wake na kuusogeza pembeni, ila
akaurudisha tena na safari hii akamshika jogoo
wangu, nikameza fumba la mate pasipo kupenda.
“Mama”
“Mmmm tulia”
Mama Rose akaendelea kumpapasa jogoo wangu,
japo kiganja chake kipo juu ya suruali, ila
anamsisimua sana. Jasho la woga likaendelea
kunimwagika sana, nikatamani sana tufike hospitali
nishuke tu kwenye hili hii bajaji kwa maana haya
yote ni majaribu ambayo yananipata. Akilini mwangu
sikuwahi kufikiria kama ipo siku mama Rose
anaweza kunifanyia vituko vya mapenzi kama hivi.
“Mama tupo kwenye foleni tulia”
Nilizungumza huku nikimsogeza mama Rose mkono
wake kwa nguvu, kwa maasa gari la pembeni yetu,
endapo mtu atageuza kichwa chake na kutazama
huku kwetu ni lazima ataona ujinga wote unao
tendeka ndani ya hii bajaji. Mama Rose akajilamba
midomo yake kwa ulimi wake, kisha akajiweka
sawa kwenye bajaji huku akishusha pumzi nyingi.
Taratibu foleni ikasonga mbele, dereva akajitaidi
taidi kupenya penye kwenye magari yaliyo acha
uwazi barabarani na kuondka kwenye foleni.
Tukafika hospitalini, nikamlipa dereva bajaji kiasi
cha pesa anacho kihitaji.
“Erick nipeleke kwangu”
“Sawa mama”
Nilimjibu kwa unyonge kwa maana ninatambua
lengo lake. Tukaingia kwenye gari langu, na
kuondoka eneo la hii hospitali.
“Erick hivi wewe ni mtoto mdogo?”
“Hapana mama”
“Kwa nini huelewi hisia zangu”
“Akghaaa mama, unatambua kwamba nina mapenzi
na mwanao, inakuwaje na wewe unanihitaji?”
“Laiti utamu wake usinge mpa msichana mwengine
basi mimi nisinge hitaji. Ila unaugawa utamu wake
kwa nini na mimi nisiupete”
“Mama ninaendesha gari, ninakuomba hiyo mada
iweze kuishia hapa, mwili wangu sio wa biashara”
“Hahahaa halooo, yaani una bahati umejishuhulisha
mwanangu anaendelea vizuri, laiti isinge kuwa
hivyo leo ungekuwa jela wewe”
“Nimekuelewa mama”
“Nipatie hiyo pesa ya chakula cha mgonjwa, kwa
maana haya yote umeyataka wewe”
“Nikisimamisha gari nitakupatia hiyo pesa”
Nikashusha pumzi nyingi kwa maana sina mama
mkwe hapa, siku zote kumbe ninazo muheshimu na
kumchukuliua ni mtu wa heshima na mtu wa dini
kumbe ni mshenzi kiasi hichi. Tukafika nyumbani
kwake, nikasimamisha gari, nikatoa waleti yangu
mfukoni na kutoa shilingi elfu hamsini na kumpatia.
“Khaaa elfu hamsini ya nini sasa hii?”
“Mama hapa nimebakiwa na elfu kumi, nahitaji
kuongeza mafuta hapo mbele sheli. Ili nifike
nyumbani”
“Hilo mimi silijui, ninacho hitaji ni pesa ya kutosha ili
nimnunulie mwanangu chakula”
Mama Rose alizungumza kwa ubabe jambo ambalo
kipindi cha nyuma hakuwa nalo na alikuwa mwana
mama mnyenyekevu na hata nilipokuwa ninampa
elfu ishirini basi ana shukuru kama nimepa milioni.
“Nitakutumia hiyo pesa nyingine nikifika nyumbani”
“Ole wako ufike, uache kuituma alafu mimi nikupigie
simu utaona”
“Sawa mama”
Mama Rose akashuka kwenye gari. Kitendo cha
yeye kufunga mlango wa gari kwangu nikajikuta
nikipata amani sana. Nikaondoka eneo la mtaa wao,
moja kwa moja nikaeleka nyumbani, cha
kumshukuru Mungu nikafika nyumbani salama
salim.
“Cholo hakuna mtu aliye kuja kuniulizia hapa?”
Nilimuuliza mlinzi wa getini mara baada ya kushuka
kwenye gari langu.
“Hakuna bosi, ila aliye kuulizia ni huyo bibie humo
ndani”
“Ok”
Nikaanza kutembea huku nikielekea ndani, mwili
wangu wote umechoka sana, ukiachilia mbali
mawazo niliyo kuwa nayo ila hata maumivu niliyo
yapata sokoni kwa kupigana bado yapo mwilini
mwangu.
“Za hapa”
Nilizungumza baada ya kumkuta Zari amekaa
kwenye sofa akitazama tv kubwa iliyopo hapa
sebleni.
“Salama kaka Erick ndio unarudi saa hizi,
nimeandaa chai, chakula cha mchana hadi wali wa
jioni nimepsha pika ila sikukuona”
“Ahaa kuna mambo yaliiingilina, ndio maana
nimechelewa”
“Sawa, ila unaonekana umechoka sana?”
“Ndio nimechoka nahitaji kupumzika kwa sasa”
“Chakula je?”
“Niandalie chakula kisha niletee chumbani kwangu”
“Sawa kaka”
Nikaingia chumbani kwangu, nikavua nguo zangu na
kuingia bafuani
‘Hii dunia mbona inakwenda hivi? Mbona wa mama
wa sasa hawajiheshimu kiasi hichi?’
Niliendelea kujiuliza maswali mengi huku nikiwa
ninaoga taratibu. Sikupata jibu sasa la kwa nini
mama Rose ananitamani kiasi cha kunifanya
nipoteze amani kabisa kwenye maisha yangu.
Nikatoka chumbani kwangu mwili mzima ukiwa
unatiririka maji, nikachukua taulo na kuanza kujifuta
taratibu. Mlio wa simu yangu ukanifanya kusitisha
zoezi la kujifuta macho kwa haraka nikaichukua na
kukuta ni namba ya Rose ndio inayo nipigia.
“Ohooo shitii”
Nilizungumza huku nikiwa nimeshika simu yangu,
nikaipokea na taratibu nikaiweka sikioni.
“Umeacha nimekupigia eheee?”
“Hapana mama hapa ndio nilikuwa ninajiandaa
kwenda kukutumia hiyo pesa kwa wakala”
“Sasa nimeacha simu yangu kwenye gari lako
naihitaji sasa hivi?”
“Ahaa mama, kwa nini sasa uliiacha?”
Nilizungumza kwa hasira huku nikikaa kitandani.
“Unamfokea nani, unahisi kichwa change kipo
vizuri. Nina streass za mwanangu na zote
umezisababisha wewe, hembu fanya uniletee hiyo
simu kwangu na pesa. Hakuna haja ya kutuma
kwenye simu kwa maana unayo wewe mwenyewe”
“Mama kusema ukweli unazi…….”
Sikutaka kumalizia sentensi yangu kwa maana
ninatambua yaaweza kuanzisha mada mpya.
“Unasemaje?”
“Hapana sijazungumza kitu. Ninakuletea simu yako”
“Pamoja na pesa”
“Sawa”
Nikakata simu, nikafungua kabati langu la nguo na
kutoa pensi pamoja na tisheti nikavaa kwa haraka.
Nikachukua kiasi cha laki mbili na nusu ambazo
ndio zipo kwenye kabati langu, nikaziweka kwenye
mfuko.
“Unakwenda wapi?”
Zari aliniuliza huku akiwa ameshika sahani sahani
yenye chakula.
“Kuna sehemu ninakwenda mara moja, hakikisha
unafunga mlango wa mbele hadi pale nitakapo rudi”
“Jamani kaka Erick kumbuka tangu asubuhi
hujakula chakula cha aina yoyote, isitoshe
tumefanya mapenzi na hujala”
“Usijali Zari ninarudi muda huu. Una simu?”
“Hapana”
Nikafungua droo, nikatoa simu ndogo ambayo mara
nyingi hjuwa siitumii. Nikaiwasha na kumpatia Zari.
“Nitakupigia kwenye hii namba”
“Sawa kaka”
Zari akanisogelea na kunibusu shavuni mwangu,
nikatoka chumbani kwangu huku Zari akinifwata
kwa nyuma. Nikatoka nje na Zari akafunga mlango,
nikaingia kwenye gari na kuondoka nyumbani,
nikaingia kwenye moja ya sheli, nikaongeza mafuta
kisha nikaendelea na safari yangu.
Nikafika nyumbani kwa mama Rose, nikakumbuka
kuipiga namba yake ya simu anayo dai ipo ndani ya
gari langu, simu yake ikaita chini ya siti ya pembeni
yangu. Nikaiokota simu yake, nikaitazama jinsi
inavyo toa mlio, kisha nikakata simu yangu.
Nikaipiga namba ya Rose ikaita kwa sekunde
kadhaa na kupokelewa.
“Nipo nje mama njoo uchukue simu na pesa”
“Ingia ndani mimi siwezi kutoka nje”
“Ila mama si kitendo cha dakika moja au mbili hadi
unakuja kuchukua vitu vyako?”
“Erick usinikosee adabu, nimekuambia nje sihitaji
kutoka. Kama unahitaji kuniletetea ndani niletee
kama unashindwa ondoka zako”
Mama Rose baada ya kumaliza kuzungumza
sentensi yake hiyo akakata simu jambo lililo nifanya
nibaki nikiwa nimeduwaa, Nikajishauri kwa dakika
kadhaa kwamba nishuke au niondoke, ila nikajikaza.
Nikashuka kwenye gari, nikalifunga vizuri na
taratibu nikaanza kutembea kwa mwendo wa
taratibu kuelekea ndani ya nyumba hii nyenye
wapangaji wengi. Nikagonga kwenye mlango wa
chumba cha mama Rose anacho ishi na mwanaye
Rose.
“Ingia”
Kitendo cha kuisikia sauti hiyo mapigo ya moyo
yakaanza kunienda mbio. Mwili mzima ukaingia
ganzi, miguu nikahisi ikianza kunyong’onyea.
“INGIA”
Sauti ya mama Rose ikazidi kutetemesha mwili
wangu. Taratibu nikakishika kitasa na kuusukuma
mlango ndani. Nikaingia taratibu, nikastukia
nikivutwa ndani na mlango ukafungwa kwa funguo
kisha mama Rose akangeukia na kunitazama kwa
macho makali huku akiwa amevalia tenge alilo
jifunga kifuani na kuishia kwenye mapaja yake
makubwa kiasi.
“Pesa na simu yangu zipo wapi?”
Mama Rose alizungumza kwa sauti fulani hivi ya
kibabe. Mimacho yakanitoka huku mwili
ukinitetemeka, mama Rose alipo niona ninachelewa
kujibu swali lake akanisogelea, akaingia mkono
wake wa kulia katika mfuko wangu wa pensi
upande wa kushoto. Akatoa simu yake, akaingiza
mfuko wa upande wa kulia na kutoa pesa ambayo
nilikusudia kumpa. Ninacho mshukuru Mungu simu
yangu nimeiacha kwenye gari.
“Ndio maana ninakupenda Erick ahadi zako ni za
kizungu sana”
“Sawa mama, ninakuomba niondoke”
“Heee!! Uondoke? Huwezi kuondoka bila ya
kunitomba
Mama Rose alizungumza neno hilo pasipo aibu ya
aina yoyote. Kwa kunidhihirishia kwa kile anacho
kizungumza akalivua tenge lake na kulitupia
kitandani. Nikataka kukimbilia kitandani ila
akaniwahi kunidaka,
“Ukilete ubishi tu. Nitapiga kelele na kuwaambia
watu kwamba unataka kunibaka, utaona utakacho
fanywa mjinga wewe”
ITAENDELEA
STORY HII NI KWA WASOMAJI WENYE UMRI ZAIDI
YA MIAKA 18. HAKI ZOTE ZIMEIFADHIWA. USIKOSE
SEHEMU YA 06 YA KISA HICHI CHA KUSISIMUA.
 
kichakaa man wenzio arosto wanaanzia kati kati sio mwanzoni jamaan mbona arosto unaianzia mapema hivi
 
Mkiona neno MWISHO mnitag, ciz arosto za kuachwa njiani hazijawai kuwaacha wasomaji salama
 
  • Thanks
Reactions: CTX

Similar Discussions

Back
Top Bottom