Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
- Thread starter
- #141
Hapa pamenigusa sana! Nimejikuta adrenalin inapanda ghafla! Nimemchukia huyo jambazi! Nimetamani ungekumbuka kumshtaki immediately. Pole sana japo unasema ulishapoa. Naomba tuambie tu je, alikupa huo mzinga wa scotch umpelekee baba? Mahusiano yake na familia yenu yalikuwaje baada ya hilo tukio?
Yes nilipeleka, as mahusiano yalikuwa non-existence kama mwanzo; baba yangu kwa kazi yake watu wengi walikuwa wanamjua and as me he was poor with names and faces, so ilibidi amchangamkie yoyote anajifanya kumfahamu. So the guy couldn't stop calling ofcourse na kukata kila anapopokea mtu mwingine which was bad for me as nilikuwa binti pekee home and my bros couldn't be fooled.