This is how l lost it.....

This is how l lost it.....

Sijui bwana, sikufikiria kama angenibaka (sikujua kama anakaa mwenyewe) au la panic ilinifanya nisifikirie sana.
Halafu a month au two kabla nilipigwa mkwara hadi kuchekiwa bikira; so sijui labda nilihofu kusema.
Any way l was young, naive and stupid.
if it is a story then you are really creative. If it is real then we should say very sorry!
 
Sijui bwana, sikufikiria kama angenibaka (sikujua kama anakaa mwenyewe) au la panic ilinifanya nisifikirie sana.
Halafu a month au two kabla nilipigwa mkwara hadi kuchekiwa bikira; so sijui labda nilihofu kusema.
Any way l was young, naive and stupid.

Dah,kumbe true story?
So sad,ila yamepita,bora haya kukuletea madhara ambatanishi
(Psychological problems),..maana kuna wengine wakisha fanyiwa
unyama huo hata hawataki kaa karibu na wanaume tena,au wanakua
wakatili sana kwa wanaume.
 
Shit do happen babu! Watoto wengi wanakuwa abused na family and close friends. Watu wanaoaminiwa kama guardians. Ndo maana habari ya kutania mwanangu ati sijui mchumba staki kuisikia! Ntanyofoa mtu korodani! No gifts, no utani! Una zawadi unanipa mie mamake. Na nikimkuta na penseli kapewa na uncle, wallah patachimbika!

Duh,una tutisha wajomba sasa.
 
Mimi ningekuwa wewe ningekubali kubaki na upumbavu wangu badala ya kumjibu. Watu wengine sijui wakoje?

Swali la kizushi: Kwanini umeamua kushea na sisi hii makitu hivi leo tena siku nlokula sakramenti nikimuombea Matesha wngu apate nafuu haraka?

he he he he,hakyanani
 
Asante kwa kushare story yako, mie kaka yangu alinisemea kwa mdingi juu ya kaboyfriend kangu ambapo nilikaruhusu kunihug tu ndio ikapelekewa kupigwa na kucheckiwa bikira kabla ya tukio hilo.

Nani ali kucheki bikira? Baba? Mama?
Whoever it was,ni udhalilishaji.....
 
Pole dada Kaunga,wish ningemjua................nitamtafuta.........nitampata...........he gona pay for his past....... pole again ilumbuye
 
hahahahahaha...mzee kauza usichana wako kwa kinywaji asee!.pole mama!
 
Usijali Innocent, just wanted to share my story; unajua watu wengi wanasema 1st love wao penzi haliishi so nikaona niwape uzoefu mwingine wa 1st man wangu.
Pia ni onyo tu kwa wazazi, baba yangu angejua naona angejichukia mpaka basi.

POLE SANA KAUNGA,
Huwa hata mimi naamini first love wako penzi haliishi,bt ya jamaa ni kama kakubaka vile......anyway.....kila la kheri....ngumu kumeza.....you will be an Oprah......
 
Pole mkuu...I promise nitakuwa karibu sana na wanangu,I will make them my friend ili nijifunze pia kutoka kwao!thanx for sharing, hakika umenipa somo!
 
Sijui bwana, sikufikiria kama angenibaka (sikujua kama anakaa mwenyewe) au la panic ilinifanya nisifikirie sana.
Halafu a month au two kabla nilipigwa mkwara hadi kuchekiwa bikira; so sijui labda nilihofu kusema.
Any way l was young, naive and stupid.
Hawa wazee walevi usiwaamini sana. Ukute alishamuuzia bikra yako mlevi mwenzie wakiwa bar wanakunywa. Akaona ahakikishe kwamba kuwa ipo kabla hajachukua hela, ndio maana akakucheki kama kama dado unayo.

 
Pole. Sounds bad than ambayo nilishawahi kusimuliwa.

How older were you?
 
Mwanaizaya Asprin Asprin; una nini nami? Mimi ni rasilimali ya taifa, mtu wa maadili, tena mtu wa Mungu ninayewapenda watoto wote na kuwaelekeza maadili mema.

Unadhani Kaunga kafanya makosa kukutaja?

lakini dawa yako iko jikoni . . . Ukitaka kumsaidia Mchawi, mpe mwanao amlee . . . .
Ewaaaaaaaaaaa.... lakini mchawi mwenyewe asiwe bazazi Superman. Mtu analoga hata kikombe akinyweacho chai? Khaaa!
 
Last edited by a moderator:
Nani ali kucheki bikira? Baba? Mama?
Whoever it was,ni udhalilishaji.....
I Hate him/her just like the same way I hate fhe faken bazazi aliyemnaniliyu Kaunga! Hivi watu wazima tukoje siku hizi? Waeza mwita bintiyo umkague bikra? How? Utatumia nini? No no no no..... Kaunga, I also hate aliyekukagua bikra asee.... Yes I mean it! Fak him/her!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Niliisikia sauti ya Roho Mtakatifu ikiniambia kuwa niishee hii story kwani itaokoa wengi, now that you have told me umemwombea Matesha ndio naamini ni Roho huyo huyo kaniongoza nikumention wewe of all people.
Your prayers have been answered, says prophet Kaunga.
Thanks Kaunga....... Thanks!!

Watu wote waseme amina katika sala yangu ya Oh Mungu, let Matesha apate nafuu haraka. Get well soon my darling and lovely daughter. Unavyoumwa nami naugua.

Please Kaunga, next time usilete ushuhuda unaoumiza namna hii hapa jamvini. Am totally destroyed!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom