The road towards 2010 Elections

The road towards 2010 Elections

Kati ya hawa nani atafaa kutuongoza 2010-2015?

  • Edward Lowassa

    Votes: 0 0.0%
  • Dr. Slaa

    Votes: 7 38.9%
  • Prof. Lipumba

    Votes: 0 0.0%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 27.8%
  • Samwel Sitta

    Votes: 0 0.0%
  • Jakaya Kikwete

    Votes: 2 11.1%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 2 11.1%
  • Harisson Mwakyembe

    Votes: 2 11.1%
  • None of The above

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .
Poleni sana wana JF. Mimi nadhani bado tunahitaji kufanya utafiti wa kina kuhusu mgombea wa uraisi ajaye. Kwa sababu hao wote mliowataja hakuna anayefaa katika TZ ya sasa iliyojaa ufisadi uliokithiri.

Asilimia 90 ya watanzania ni mafisadi kwa level zao. Kuna wale wanaokula hadi wanajipaka kama akina Chenge, kuna wale wa elfu mbilimbili kama Polisi, Kuna wengi wanaofanya ufisadi kwa kuzembea kazi,Ili mradi wote ni mafisadi tu. Nimesema hivyo kwa sababu nina imani kubwa kwamba tatizo letu kubwa ni CCM sio uraisi.

Inapotokea kwamba watu wanaanza kupigia debe watu wa CCM tena. Nasikia kichefuchefu. Dawa ni kuiondoa CCM sio uraisi wa 2010 after all 2010 ni muda mfupi sana mabadiliko hayaji kwa staili hiyo. Kwa watu waliosoma Change Management nadhani wanajua vizuri sana ninachoongea.

JF naomba ielimishe wanainchi wawe tayari kufanya mabadiliko, siyo kutukana kwamba ni vipofu hatuna akili. Hata ukienda sehemu yenye Maprofesa kama wengi mnavyopenda CV za Maprofesa bado kuna watu wanaoogopa Mabadiliko. KItila Mkumbo analijua hilo.

Please, Kitila andaa watu wakubali mabadiliko kwanza. Otherwise tunatwanga maji kwenye kinu. Mtu bila aibu unatoa CV ya mtu aliyekuwa mkurugenzi au mwenyekiti wa makampuni yote marehemu. Inatoa picha gani? Be serious please!
 
Poleni sana wana JF. Mimi nadhani bado tunahitaji kufanya utafiti wa kina kuhusu mgombea wa uraisi ajaye. Kwa sababu hao wote mliowataja hakuna anayefaa katika TZ ya sasa iliyojaa ufisadi uliokithiri. Asilimia 90 ya watanzania ni mafisadi kwa level zao. Kuna wale wanaokula hadi wanajipaka kama akina Chenge, kuna wale wa elfu mbilimbili kama Polisi, Kuna wengi wanaofanya ufisadi kwa kuzembea kazi,Ili mradi wote ni mafisadi tu. Nimesema hivyo kwa sababu nina imani kubwa kwamba tatizo letu kubwa ni CCM sio uraisi. Inapotokea kwamba watu wanaanza kupigia debe watu wa CCM tena. Nasikia kichefuchefu. Dawa ni kuiondoa CCM sio uraisi wa 2010 after all 2010 ni muda mfupi sana mabadiliko hayaji kwa staili hiyo. Kwa watu waliosoma Change Management nadhani wanajua vizuri sana ninachoongea. JF naomba ielimishe wanainchi wawe tayari kufanya mabadiliko, siyo kutukana kwamba ni vipofu hatuna akili. Hata ukienda sehemu yenye Maprofesa kama wengi mnavyopenda CV za Maprofesa bado kuna watu wanaoogopa Mabadiliko. KItila Mkumbo analijua hilo. Please, Kitila andaa watu wakubali mabadiliko kwanza. Otherwise tunatwanga maji kwenye kinu. Mtu bila aibu unatoa CV ya mtu aliyekuwa mkurugenzi au mwenyekiti wa makampuni yote marehemu. Inatoa picha gani? Be serious please!!!!!!

Toa sababu za kutoitoa ccm mwaka 2010
 
Poleni sana wana JF. Mimi nadhani bado tunahitaji kufanya utafiti wa kina kuhusu mgombea wa uraisi ajaye. Kwa sababu hao wote mliowataja hakuna anayefaa katika TZ ya sasa iliyojaa ufisadi uliokithiri. Asilimia 90 ya watanzania ni mafisadi kwa level zao. Kuna wale wanaokula hadi wanajipaka kama akina Chenge, kuna wale wa elfu mbilimbili kama Polisi, Kuna wengi wanaofanya ufisadi kwa kuzembea kazi,Ili mradi wote ni mafisadi tu. Nimesema hivyo kwa sababu nina imani kubwa kwamba tatizo letu kubwa ni CCM sio uraisi. Inapotokea kwamba watu wanaanza kupigia debe watu wa CCM tena. Nasikia kichefuchefu. Dawa ni kuiondoa CCM sio uraisi wa 2010 after all 2010 ni muda mfupi sana mabadiliko hayaji kwa staili hiyo. Kwa watu waliosoma Change Management nadhani wanajua vizuri sana ninachoongea. JF naomba ielimishe wanainchi wawe tayari kufanya mabadiliko, siyo kutukana kwamba ni vipofu hatuna akili. Hata ukienda sehemu yenye Maprofesa kama wengi mnavyopenda CV za Maprofesa bado kuna watu wanaoogopa Mabadiliko. KItila Mkumbo analijua hilo. Please, Kitila andaa watu wakubali mabadiliko kwanza. Otherwise tunatwanga maji kwenye kinu. Mtu bila aibu unatoa CV ya mtu aliyekuwa mkurugenzi au mwenyekiti wa makampuni yote marehemu. Inatoa picha gani? Be serious please!!!!!!

sijaielewa point yako hapo hebu fafanua mkuu...
 
Duh!..
Hiyo CV ya Mwandosya mbona inatisha sana.. maanake utamkuta kila sehemu iliyoharibika.. haya hiyo miaka pekee inaingiliana kiasi kwamba hufahamu alikuwa Marekani akisoma au alikuwa Bongo akifanya kazi..

Kazi kweli kweli, yaani kuna wakati alikuwa mwenyekiti sehemu zaidi ya tatu kwa wakati mmoja..
 
Point yangu. Tuandae watu kwa ajili ya kuitoa CCM. Lakini maandalizi yafanywe kisayansi, siyo kukurupuka.
 
Kama kawaida yako umetokezea na madai yako yenye chuki za kidini na kikabila. Sema tu kwanini humpendi Mbowe na sio kusingizia mambo ya shule na upupu mwingine!

MWK,
Nafikiri nimeshataja sababu zangu za kwa nini hafai, labda ni wewe utuonyeshe wapi nimeweka chuki za kidini na kikabila kwenye posting yangu.


________________________
 
Siraa hafai kuwa raisi aendelee kuwa mbunge, mimi nasisitiza hiki kila siku watu kama siraa na zito lazima waendelee kuwa bungeni na sio kutafuta uraisi.

Nakubaliana na wewe kabisaa. Haya mambo ya kudandia watu kwa kelele za siku moja mbili yatatupeleka kule kwa CHILUBA.
 
Nakubaliana na wewe kabisaa. Haya mambo ya kudandia watu kwa kelele za siku moja mbili yatatupeleka kule kwa CHILUBA.

Kubwa Jinga ndani ya Nyumba Mzee!
Na ile picha yako mbona umeiondoa bana?
 
Tunaomba pia uje na hayo maoni kuwa aprove kivipi!

Kwa vile hajakamata madaraka makubwa yoyote zaidi ya kanisani, angalau ingekuwa vema akapewa uenyekiti wa CHADEMA (kama ilivyo UK) ili apate nafasi ya kuipandisha CHADEMA chati, kuondoa madukudu ndani yake, kuongeza wanachama, kuweka dira zinazoeleweka za kila suala n.k., n.k.
 
MWK,
Nafikiri nimeshataja sababu zangu za kwa nini hafai, labda ni wewe utuonyeshe wapi nimeweka chuki za kidini na kikabila kwenye posting yangu.


________________________

Quote:
mstahiki


1.M.Pinda
2.J.P Magafuli
3.S.Salim
4.Zitto Kabwe
5.Dr Slaa

6.Prof. Mwandosya
8.Idd Simba

Naomba tuwe na List ya Maana




2390992682_02af401e1e.jpg


KUBWA JINGAAAARGH!
 
MWK,
Nafikiri nimeshataja sababu zangu za kwa nini hafai, labda ni wewe utuonyeshe wapi nimeweka chuki za kidini na kikabila kwenye posting yangu.


________________________

Kubwa jinga ni lazima uje na pointi na hakuna muda wa chuki binafsi hapa!
 
Kwa vile hajakamata madaraka makubwa yoyote zaidi ya kanisani, angalau ingekuwa vema akapewa uenyekiti wa CHADEMA (kama ilivyo UK) ili apate nafasi ya kuipandisha CHADEMA chati, kuondoa madukudu ndani yake, kuongeza wanachama, kuweka dira zinazoeleweka za kila suala n.k., n.k.

Huyu bwana amewatumikia wananchi kwa namna zote zenye kumfanya aqualify kuendelea kuwatumikia kwenye ngazi yoyote ile provided anakuja na plan ya ni kwavipi atauzika ufisadi for once and for all!

Wenzetu wana usemi kuwa..We gonna judge you based on your character and nothing else.. Wanakusilkiliza kwanza kwamba utawafanyia nini na si assumption tulizozizoea za kutajana majina based na nafasi za kifisadi walizokuwa nazo before!
Ni lazima tuaminiane sisi wenyewe kwa wenyewe...Kuondokana na fikra kuwa viongozi wanazaliwa viongozi!
Kwamba no matter what they do or say wao bado watakuwa viongozi tu!
Hii ni risk ambayo watanzania tuna kila haki ya kuichukua!

Its time to now think outside the box!
 
Sawa basi lakini ubovu wa kiongozi unatakiwa u unalyze halafu utu convince na sio kumchukia mtu tu bila sababu!

Nafikiri tutofautishe kuchukia matendo yasiyopendeza na kumchukia mtu. Ukimkosoa mtu ina maana huafikiani na yale unayokosoa (matendo), lakini ukimsengenya mtu, hapo ndio unapoonyesha chuki.

Kwa muda wangu mchache nilionao wa kuropoka ndani ya JF, siwezi kuupoteza kwenye personalities. Ila kuna ambao hawataki watu au makundi fulani yasikosolewe as if wanamiliki JF au TZ.

Ni vema ukasema ukweli hata kama kuna wasioupenda, lakini wenye bongo zao wataelewa na kuchuja.
 
Huyu bwana amewatumikia wananchi kwa namna zote zenye kumfanya aqualify kuendelea kuwatumikia kwenye ngazi yoyote ile provided anakuja na plan ya ni kwavipi atauzika ufisadi for once and for all!

Wenzetu wana usemi kuwa..We gonna judge you based on your character and nothing else.. Wanakusilkiliza kwanza kwamba utawafanyia nini na si assumption tulizozizoea za kutajana majina based na nafasi za kifisadi walizokuwa nazo before!
Ni lazima tuaminiane sisi wenyewe kwa wenyewe...Kuondokana na fikra kuwa viongozi wanazaliwa viongozi!
Kwamba no matter what they do or say wao bado watakuwa viongozi tu!
Hii ni risk ambayo watanzania tuna kila haki ya kuichukua!

Its time to now think outside the box!



Nakubaliana na wewe mkuu kuwa, ukilinganisha na Mbowe au Zitto, huyu bwana anafaa zaidi. Lakini ukilinganisha na Salim A. Salim, tofauti zao zinakuwa ni kubwa mno. Kwangu mimi SAS anafaa zaidi. Sababu nilizimwaga hapo awali.



________..................________________
 
Lakini ukilinganisha na Salim A. Salim, tofauti zao zinakuwa ni kubwa mno. Kwangu mimi SAS anafaa zaidi. Sababu nilizimwaga hapo awali.

Mkuu Heshima mbele, Salim amepitwa na wakati Mwalimu amejaribu kila njia mwaka 1985 kumpitisha huko ndani ya CCM akashindwa, Mwalimu akajaribu tena mwaka 1995 kumpitisha huko CCM akashindwa tena, mwaka 2005 akajaribu mwenyewe huko CCM tena akashindwa vibaya sana, na this time akakubali yaishe kuwa hataki tena,

Kweli CV yake ni nzito sana na kazi za nje ya taifa letu, amejaribu huko UN ambako ndiko hasa CV yake inakodai na ku-fit sana, lakini nako pia wakamtupa chini, hata unaibu nao hawakumpa, unless kuna something unakijua kuhusu Salim na urais ambacho hata yeye binafsi hakijui, lakini otherwise the record is very clear kuwa wananchi wa Tanzania wamemkataa kabisa kuwa hafai na vigezo vimetolewa wazi!
 
Mkuu ES...hakuna vigezo wazi vya kumkataa SAS....zaid ya Rangi na Asilia yake...na Ndicho alichokumbana nacho JK kule Butiama kuhusu MSETO ZNZ. Pamoja na NIA Njema ya JK, wengine hawapo tayari kuona mazuri yanafanyika kwajili ya nchi.

Tuna kazi ktk kuyafikia maendeleo ya Kweli TZ...ila mbegu tunazozipanda zikiota vema tutakula matunda yake
 
Back
Top Bottom