CV YA PROF M.J. MWANDOSYA
A: Binafasi
Jina: MWANDOSYA, Mark, James
Tarege ya kuzaliwa: 28 Decemba, 1949
Mahali pa kuzaliwa: Mbeya
Maelezo ya Familia: Ameoa na tuna watoto watatu
B: Elimu
Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Majengo, Mbeya, 1957-1958
Shule ya Msingi Chunya, 1959-1960
Shule ya Kati Chunya, 1961-1964
Elimu ya Sekondari: Shule ya Sekondari, Malangali, 1965-1968
Chuo cha Ufundi Dar ex Salaam, 1969-1970
Elimu ya juu: Chuo Kikuu cha Aston, Uingereza, 1971-1974
Chuo Kikuu cha Birmingham, Uingereza, 1974-1977
Shahada: Sahada ya Uhandisi Umeme ya Chuo Kikuu cha Aston, (Bachelor of Science 1st Class Honours, University of Aston), 1974.
Shahada ya Udaktari wa Falsafa ya Chuo Kikuu cha Birmingham (Doctor of Philosophy in Electronic and Electrical Engineering, University fo Birmingham), 1977.
C: Uzoefu katika kazi na Uongozi
(i) Kazi:
1. Waziri wa Maji na Umwagiliaji (2008 - )
2. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi Mazingira (2005 2008)
3. Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi (2000- 2005)
4. Mbunge wa Rungwe Mashariki (2000 mpaka sasa)
5. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (2002 mpaka sasa)
6. Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara, (1992-1993)
7. Katibu Mkuu, Wizara ya Maji, Nishati na Madini, (1990-1992)
8. Kamishna wa Nishati na Petroli, Wizara ya Nishati na Madini, (1985-1990)
9. Mkurugenzi, Kituo cha Nishati, Mazingira, Sayansi na Teknolojia (CEEST), (1993-2000)
10. Profesa wa Uhandisi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, (1987-2000)
11. Profesa Mshiriki wa Uhandisi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (1983-1987)
12. Mtafiti (sayansi), Chuo Kikuu cha Princeton, Marekani (1983-1984)
13. Mhadhiri Mwandamizi (Uhandisi Umeme), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (1980-1983)
14. Mhadhiri (Uhandisi Umeme), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, (1977-1978)
15. Mhandisi, Kampuni ya General Electric Company, Manchester, Uingereza (1977-1978)
16. Mhadhiri Msaidizi (Uhandisi Umeme), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, (1976-1977)
(ii) Uongozi
1. Mwenyekiti, Baraza la Mawaziri la Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA)
2. Mwenyekiti, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania, (1996-2000)
3. Mwenyekiti, Kituo cha Nishati, Mazingira, Sayansi na Teknolojia, (1993-2000)
4. Mwenyekiti, Kampuni ya Siemens (Tanzania) Ltd, (1999-2000)
5. Mwenyekiti, Kampuni ya Kibo Paper Industries Ltd, (1995-1998)
6. Mwenyekiti, Kampuni ya Williamson Diamond Company Ltd. (1990-1992)
7. Mwenyekiti, Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda, (Tanzania Industrial Research and Development Organization), (1994-1998)
8. Mwenyekiti, Tanzania na Italian Petroleum Refinery (TIPER), (1987-1993)
9. Mwenyekiti, Mamlaka ya Maji Mijini (NUWA), (1991-1993)
10. Mwenyekiti, Bodi ya Utawala ya Chuo cha Biashara (1992-1993)
11. Mwenyekiti, Kampuni ya Gesi (GASCO), (1998-2000)
12. Mwenyekiti, Kamati ya Kutayarisha Sera ya Nishati, (1998-1991)
13. Mwenyekiti wa Kundi la Nchi zinazoendelea (G77) na Msemaji Mkuu wa nchi hizo na China katika majadiliano ya mabadiliko ya hali ya hewa duniani, (1997)
14. Mwenyekiti, Timu iliyoandaa Itifaki ya Sekta ya Nishati ya Jumuia ya Maendeloeo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
15. Makamu Mwenyekiti, Tume ya Taifa ya UNESCO, (1983-1988)
16. Makamu Mwenyekiti, Shirika la Maendeleo la Taifa, NDC. (1992-1993)
17. Makamu Mwenyekiti, Bodi ya Wadhamini, Southern African Development through Electricity (SADELEC) ya Afrika ya Kusini, (1994-1998)
18. Kamishna, Tume ya Rais ya kurekebisha Mashirika ya Umma, (1996-1999)
19. Kamishna, Tume ya Mawasiliano, (1999-2000)
20. Mkurugenzi, TAZAMA Pipeline Ltd, (1987-1993)
21. Mkurugenzi, National Textile Corporation TEXCO, (1993)
22. Mkurugenzi, Tanzania Zambia Railwany Authority TAZARA (1992-1993)
23. Mkurugenzi, Shirika la Posta na Simu, TPTC, (1981-1986)
24. Mkurugenzi, Shirika la Ugavi wa Umeme, TANESCO, (1985-1990)
25. Mkurugenzi, Shirika la Maendeleo ya Petroli, TPDC, (1985-1990)
26. Mkurugenzi, Kilwa Ammonia Company Ltd (KILAMCO), (1985-1990)
27. Mkurugenzi, Standard Chartered Bank Tanzania Ltd, (1999-2000)
28. Mkurugenzi, AGIP (Tanzania) Ltd, (1989-1991)
29. Mjumbe, Baraza la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, (1994-2000)
30. Mjumbe, Baraza la Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (1994-2000)
31. Mjumbe, Baraza la Utawala IDM- Mzumbe, (1992-1993)
32. Mjumbe, Baraza la Utafiti wa Kisayansi, (Tanzania National Scientific Research Council), (1981-1983-1987-1990)
33. Mjumbe, Kamisheni ya Sayansi na Teknolojia, Tanzania Commission for Science and Technology (1987-1990)
34. Mjumbe, Timu ya Kuandaa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025
35. Mjumbe, Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira, NEMC (2000)
(iii) Uwakilishi wa Nchi katika Mikutano ya Kimataifa
1. Mkutano Mkuu wa 20 wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Paris, France, Novenmba 1978.
2. Mkutano Mkuu wa 21 wa UNESCO, Belgrade, Yugoslavia, Oktoba 1980.
3. Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Nishati mpya na Nishati Mbadala, Nairobi, Kenya Agosti 1981.
4. Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Nishati Mbadala, Rome, Italia, June 1982.
5. Mkutano mkuu (wa dharura) wa UNESCO, Paris, Novemba 1982.
6. Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Nishati Mb adala, New York, Mei 1984.
7. Mkutano wa UNESCO wa Mawaziri wa Afrika wa Sayansi na Teknolojia, Arusha, Julai 1987.
8. Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Hewa, Berlin, Ujerumani, April 1995.
9. Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Hewa, Geneva, Uswisi, Desemba, 1996.
10. Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu wa Mabadiliko ya Hali ya Hewa, Kyoto, Japan, Novemba 1997.
11. Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu wa Mabadiliko ya Hali ya Hewa, Buenos Aires Argentina, Oktoba 1998.
12. Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Hewa, Bonn, Ujerumani, Oktoba 1999.
13. Mikutano ya Maafisa na ya Mawaziri wa Biashara na Viwanda ya Jumuia ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), (1985-1992)
14. Mikutano ya Maafisa na ya Mawaziri wa Biashara na viwanda ya Jumuia ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika 1993.
15. Mikutano ya Maafisa na ya Mawaziri wa Biashara na viwanda ya Preferential Trade Area (sasa COMESA) 1993.
16. Ameongoza ujumbe wa Tanzania katika majadiliano ya Benki ya Dunia (World Bank) na Benki ya Maendeleo ya Afrika (African Development Bank (ADB) kuhusu mikopo nafuu kuendeleza na kuboresha usambazaji wa umeme na petroli, 1988-1992.
17. Ameongoza ujumbe wa Tanzania katika mikutano mbalimbali ya Kimataifa inayohusu usafiri wa anga, maendeleo ya simu duniani, bandari, maendeleo ya reli.
18. Amehudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Mataifa kuhusu Habari na Mawasiliano, Geneva, Uswisi, Desemba 2003 nikimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
D: Ushauri (Consultancy)
i. Ametoa ushauri wa kitaalamu kwa vipindi mbali mbali kwa serikali za nchi zifuatazo: Namibia, Zimbabwe, Eritrea.
ii. Ametoa ushauri wa kitaalamu kwa mashirika ya kimataifa yafuatayo: UNDP, UNEP, UNESCO, GTZ, USCSP, GEF, SADC, OAU, UNECA.
iii. Aliongoza timu ya wataalamu tuliandaa Makataba wa Ushirikiano katika Nishati na Maliasili wa Umoja wa Nchi za Kiafrika (OAU)
iv. Ameandaa rasimu ya mkataba wa ushirikiano katika Nishati na Maliasili wa Umoja wa Nchi za Kiafrika (OAU)
E: Uzoefu katika Siasa
1. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (2002- mpaka sasa)
2. Mwanachama wa CCM (1977- mpaka sasa)
3. Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM Wilaya ya Rungwe
4. Naibu Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM Tawi la Umoja wa Vijana wa CCM Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam
5. Naibu Kamanda wa Vijana wa CCN Wilgya ya Rungwe (1998 mpaka Machi 2000)
6. Mwanachama wa TANU (1971-1977)
7. Mwanachama, Umoja wa Vijana wa TANU (1967-1971)
8. Makamu wa Mwenyekiti Umoja wa Vijana wa TANU, Tawi la shule ya Sekondari ya Malangali, (1967-1968)
9. Mwenyekiti Umoja wa Wanafunzi wa Afrika chuo Kikuu cha Birmingham, 1975
F: Mada, Maandishi na vitabu
1. Mada: Ameandika na kuchapisha mada 36 katika majarida ya kitaalamu nchini na nchi za nje.
2. Ripoti za Utafiti: Ripoti 12 za Utafiti mbali mbali zimechapishwa ndani na nje ya nchi.
3. Uhariri: Amehariri majarida na vitabu 8
4. Vitabu: Ameandika vitabu 10 katika uhandisi, nishati, mazingira na maendeleo.
Kwa vitabu na Publications nenda
Google Books halafu Search Mwandosya utaona baadhi, na pia Amazon.com