jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
Ndugu zangu wana JF there's something i wanna share with you...
Tuchukulie mfano wa Raila Odinga huko Kenya!
Jaramogi mwenyewe alikuwa akipambana na Moi kishujaa!
Wakenya hawajaweza kuyafikia haya mabadiliko kama sio baadhi a watu kujitoa muhanga! Kina Robert Ouko ni mfano hai!
Jaramogi Oginga Odinga alikuwa akiwapelekea wananchi maendeleo!
Leo unasikia amejitolea kuanzisha miradi ya kuwaajiri wananchi na kuwekeza kwenye kuwapa huduma mbali mbali!
Moi naye licha ya ufisadi alikuwa at least akijibu mapigo na kufanya tumambo flani flani kwa wananchi!
Wakati huo kulikuwa na rumrours..Sijui kama ni true or not lakini Jaramogi alitaka kufungua bomba za maziwa wananchi wawe wanakunywa bure!
Kama sikosei alikuwa akijibu mapigo ya moi kuanza kuwapa watoto maziwa mashuleni!
Tunataka viongozi wa upinzani muanze kuwekeza kwa wananchi na si hotuba and then mitini..And then press meeting!
Na wananchi siku hizi wanaona kama magazeti ni udaku tu!
Mifwedha ya misaada ya kimaendeleo inatolewa kwa CCM ama kwa taifa?
Mmechukua hatua gani kuona kuwa na nyie mna haki kama taasisi ya kupokea fedha hizo na kujijengea imani zaidi kwa wananchi pale mnapo kwenda kuanzisha shughuli za kimaendeleo!
Everyday nasikia mabilioni ya JK, mabilioni ya JK!
Hayo mabilioni yametoka wapi na tunaambiwa kila siku sisi ni masikini?
JK kafungua hiki, JK kazindua kile..Na nyie mnafungua nini?
At least mnawakomalia kwenye ufisadi na kwa hili mtapata kura yangu!
Mmeshawaelimisha wananchi kuwa sisi ni matajiri?
Kwani hamjui kuwa njaa ni tatizo la kisaikolojia kabla halijawa la kimwili?
Picha inayomjia mtanzania ni ile ya yule aliyempa chakula!
Chakula ni anasa bongo mnatakiwa mtambue hilo!
Self actualization bado so mjue namna ya kutafuta kura base on mazingira!
Pelekeni mikate mashuleni, vyakula, anzisheni sehemu za vijana kukutana social services..Michezo,elimu..mjikite kwenye fikra na sio matusi kwa viongozi everyday! Mtawawin wabongo! Nyie mnatukana wao wanatoa pilao, kandambili na kanga! Halafu mnategemea picha gani itawajia the moment wakiwa kwenye ballot box!?
Kwanza wakati huo tumbo maybe linaunguruma! Yani mkono unaenda wenyewe tu..Kikwete tik!
Nyie hamuoni Pinda kafungua Taifa Cup..Mnafikiri CCM ni pumbavu?
Ama mnafikiri haina maana?
Wana imprint!
Tuchukulie mfano wa Raila Odinga huko Kenya!
Jaramogi mwenyewe alikuwa akipambana na Moi kishujaa!
Wakenya hawajaweza kuyafikia haya mabadiliko kama sio baadhi a watu kujitoa muhanga! Kina Robert Ouko ni mfano hai!
Jaramogi Oginga Odinga alikuwa akiwapelekea wananchi maendeleo!
Leo unasikia amejitolea kuanzisha miradi ya kuwaajiri wananchi na kuwekeza kwenye kuwapa huduma mbali mbali!
Moi naye licha ya ufisadi alikuwa at least akijibu mapigo na kufanya tumambo flani flani kwa wananchi!
Wakati huo kulikuwa na rumrours..Sijui kama ni true or not lakini Jaramogi alitaka kufungua bomba za maziwa wananchi wawe wanakunywa bure!
Kama sikosei alikuwa akijibu mapigo ya moi kuanza kuwapa watoto maziwa mashuleni!
Tunataka viongozi wa upinzani muanze kuwekeza kwa wananchi na si hotuba and then mitini..And then press meeting!
Na wananchi siku hizi wanaona kama magazeti ni udaku tu!
Mifwedha ya misaada ya kimaendeleo inatolewa kwa CCM ama kwa taifa?
Mmechukua hatua gani kuona kuwa na nyie mna haki kama taasisi ya kupokea fedha hizo na kujijengea imani zaidi kwa wananchi pale mnapo kwenda kuanzisha shughuli za kimaendeleo!
Everyday nasikia mabilioni ya JK, mabilioni ya JK!
Hayo mabilioni yametoka wapi na tunaambiwa kila siku sisi ni masikini?
JK kafungua hiki, JK kazindua kile..Na nyie mnafungua nini?
At least mnawakomalia kwenye ufisadi na kwa hili mtapata kura yangu!
Mmeshawaelimisha wananchi kuwa sisi ni matajiri?
Kwani hamjui kuwa njaa ni tatizo la kisaikolojia kabla halijawa la kimwili?
Picha inayomjia mtanzania ni ile ya yule aliyempa chakula!
Chakula ni anasa bongo mnatakiwa mtambue hilo!
Self actualization bado so mjue namna ya kutafuta kura base on mazingira!
Pelekeni mikate mashuleni, vyakula, anzisheni sehemu za vijana kukutana social services..Michezo,elimu..mjikite kwenye fikra na sio matusi kwa viongozi everyday! Mtawawin wabongo! Nyie mnatukana wao wanatoa pilao, kandambili na kanga! Halafu mnategemea picha gani itawajia the moment wakiwa kwenye ballot box!?
Kwanza wakati huo tumbo maybe linaunguruma! Yani mkono unaenda wenyewe tu..Kikwete tik!
Nyie hamuoni Pinda kafungua Taifa Cup..Mnafikiri CCM ni pumbavu?
Ama mnafikiri haina maana?
Wana imprint!