Nauliza tena wakulu:
FREEMAN ANAFAA AMA HAFAI?
If so why? and if not then why not?
Nauliza tena wakulu:
FREEMAN ANAFAA AMA HAFAI?
If so why? and if not then why not?
Nauliza tena wakulu:
FREEMAN ANAFAA AMA HAFAI?
If so why? and if not then why not?
Mkuu, huyu mbona tulishasema tangu 2005 kuwa anafaa sana. Hapa nafikiri watu wameingiza majina mapya ambayo hayakufikiriwa sana huko nyuma. Cha muhimu hapa ni kwamba, kwa kuwa sasa kuna wagombea wa upinzani wazuri wengi zaidi kuliko huko nyuma, upinzani lazima watengeneze utaratibu wa kuhakikisha kwamba mgombea anapatikana kwa ushindani wa hali ya juu ndani ya vyama vyao. Hatuwezi leo tunafurahia ushindani mkali wa akina Obama na Hillary halafu sisi hatuwezi kuinga vitu vya maana kama hivi.
Binafsi ningependa sana kuona hawa wanapambana kwenye kutafuta ticket moja ya opposition (in no particular order please): Mbowe, Lipumba na Slaa.
Tusingependa kuona mtu anatangazwa kuwa ni mgombea katika uchaguzi wa 2010 bila kupitia kwenye tanuru kali la ushindani. As JF, we must name, shame and scorn any opposition party that will declare a presidential candidate without a serious and stiff intraparty competition. Come 2010, we must be prepared to be a tough, principled and unshakable watch dog. The same principles of criticism should be applied vertically and horizontally, to the CCM and the opposition alike.
Jmushi1,
Wewe mchokozi sana, unataka akina Kitila wajinyonge wenyewe? Hawa viongozi wetu si unajua wana roho mbaya, akisikia humuungi mkono, anaanza kukuandama.
Huyo mimi hapati kura yangu labda kama ni ubunge.
Mkuu, huyu mbona tulishasema tangu 2005 kuwa anafaa sana. Hapa nafikiri watu wameingiza majina mapya ambayo hayakufikiriwa sana huko nyuma. Cha muhimu hapa ni kwamba, kwa kuwa sasa kuna wagombea wa upinzani wazuri wengi zaidi kuliko huko nyuma, upinzani lazima watengeneze utaratibu wa kuhakikisha kwamba mgombea anapatikana kwa ushindani wa hali ya juu ndani ya vyama vyao. Hatuwezi leo tunafurahia ushindani mkali wa akina Obama na Hillary halafu sisi hatuwezi kuinga vitu vya maana kama hivi.
Binafsi ningependa sana kuona hawa wanapambana kwenye kutafuta ticket moja ya opposition (in no particular order please): Mbowe, Lipumba na Slaa.
Tusingependa kuona mtu anatangazwa kuwa ni mgombea katika uchaguzi wa 2010 bila kupitia kwenye tanuru kali la ushindani. As JF, we must name, shame and scorn any opposition party that will declare a presidential candidate without a serious and stiff intraparty competition. Come 2010, we must be prepared to be a tough, principled and unshakable watch dog. The same principles of criticism should be applied vertically and horizontally, to the CCM and the opposition alike.
Mwaga CV mkuu!Kwani mimi sifai au nawafaa??
Mwenye sifa zangu azimwage hapa ili wanabodi wanichambue
Jmushi1,
Wewe mchokozi sana, unataka akina Kitila wajinyonge wenyewe? Hawa viongozi wetu si unajua wana roho mbaya, akisikia humuungi mkono, anaanza kukuandama.
Huyo mimi hapati kura yangu labda kama ni ubunge.
Mkuu, huyu mbona tulishasema tangu 2005 kuwa anafaa sana. Hapa nafikiri watu wameingiza majina mapya ambayo hayakufikiriwa sana huko nyuma. Cha muhimu hapa ni kwamba, kwa kuwa sasa kuna wagombea wa upinzani wazuri wengi zaidi kuliko huko nyuma, upinzani lazima watengeneze utaratibu wa kuhakikisha kwamba mgombea anapatikana kwa ushindani wa hali ya juu ndani ya vyama vyao. Hatuwezi leo tunafurahia ushindani mkali wa akina Obama na Hillary halafu sisi hatuwezi kuinga vitu vya maana kama hivi.
Binafsi ningependa sana kuona hawa wanapambana kwenye kutafuta ticket moja ya opposition (in no particular order please): Mbowe, Lipumba na Slaa.
Tusingependa kuona mtu anatangazwa kuwa ni mgombea katika uchaguzi wa 2010 bila kupitia kwenye tanuru kali la ushindani. As JF, we must name, shame and scorn any opposition party that will declare a presidential candidate without a serious and stiff intraparty competition. Come 2010, we must be prepared to be a tough, principled and unshakable watch dog. The same principles of criticism should be applied vertically and horizontally, to the CCM and the opposition alike.
jmushi1 said:Freeman hafai?
Mbona hamna anayejibu hili swali?
OR AM I OUT OF TOUCH?
Huyu nafikiri hafai ndio maana wanaokuheshimu wameamua kukaa kimya ili wasilete zogo. Lakini hebu fikiria haya;
Ushauri wangu;
- Shule yake ni mbovu
- Uongozi wake Chamani haujaridhisha wengi(ukabila kwenye uteuzi wa wabunge, matumizi ya pesa n.k.)
- Zaidi ya Bilicanas, CV yake haina kingine cha kumfanya awe kiongozi bora let alone kuongoza nchi.
- Anafaa sana kuwa mpiga debe kwa wengine wenye uwezo
- Anavutia vijana kwa hiyo aimarishe upinzani kwa kuwavuta vijana hasa wenye elimu
- Ajitazame upya kwenye haya anayoshutumiwa ya ukabila, pengine anasingiziwa au kuna ukweli asiouona
Huyu nafikiri hafai ndio maana wanaokuheshimu wameamua kukaa kimya ili wasilete zogo. Lakini hebu fikiria haya;
Ushauri wangu;
- Shule yake ni mbovu
- Uongozi wake Chamani haujaridhisha wengi(ukabila kwenye uteuzi wa wabunge, matumizi ya pesa n.k.)
- Zaidi ya Bilicanas, CV yake haina kingine cha kumfanya awe kiongozi bora let alone kuongoza nchi.
- Anafaa sana kuwa mpiga debe kwa wengine wenye uwezo
- Anavutia vijana kwa hiyo aimarishe upinzani kwa kuwavuta vijana hasa wenye elimu
- Ajitazame upya kwenye haya anayoshutumiwa ya ukabila, pengine anasingiziwa au kuna ukweli asiouona
kwi kwi kwi,
Mtanzania usimuonee Mbowe. Hana tabia ya kuandama watu. The guy anaipenda Tanzania kwa kiwango kikubwa.!
na amesaidia pia kwa kiwango kikubwa kuinua profile ya CHADEMA kwa kiwango kikubwa.!
I doubt that...huyu si yule Mbowe enzi zile za Mbowe club yeye na yule jamaa asili ya kihaya (jina nimelisahu)walichota sana BOT katika ile game ya travelling cheques.BTW hakuna mtu msafi siku hizi
Hiyo sawa kabisa na anavutia zaidi vijana ambalo ni jambo bora sana hasa ukiangalia kama vijana wakawa serious na kupiga kura nategemea kutatokea mabadiliko tunayolilia