Elisante Yona
Senior Member
- Oct 6, 2009
- 130
- 24
Ndugu Kwanza napenda kuwapongeza JF kwa kuwa hewani tena Mungu Abariki Kazi yenu,
Kwa hili la kuelekea uchaguzi wa 2010 shughuli ni ngumu kwa chama tawala kwa sababu hawaja timiza ahadi zao hasa ile ya kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania,pili suala ajira ambalo Mheshimiwa aliahadi kwamba atawapatia vijana Ajira hakuna kitu,
Kwa maoni yangu ninawaomba Watanzania wenzangu tumpigie kura mtu ambaye ukimwangalia utasema anaweza kututoa hatua moja kwenda nyingine
Hawa jamaa hasa wabunge wamepoteza muda mwingi kujadili ufisadi na Richmond na kusahau kuwa wananchi kwenye majimbo yao wana matatizo kwa mfano Barabara ni mbovu vijiji,Hakuna maji safi na salama,Hospitali ndio dawa hakuna wagonjwa wanalala wanne kwenye kitanda kimoja,lakini mbunge anatembelea Prado ya milioni 70 hadi 80
Wananchi tuwe makini na tusidanganyike na virushwa vyao vya soda,wali,kuku,na bia na kuuza haki yetu kwa miaka mitano
Ni hayo tu.
Elisante Yona,
Mimi ni member wa siku nyingi,I have status
Thank you and God bless JF
Kwa hili la kuelekea uchaguzi wa 2010 shughuli ni ngumu kwa chama tawala kwa sababu hawaja timiza ahadi zao hasa ile ya kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania,pili suala ajira ambalo Mheshimiwa aliahadi kwamba atawapatia vijana Ajira hakuna kitu,
Kwa maoni yangu ninawaomba Watanzania wenzangu tumpigie kura mtu ambaye ukimwangalia utasema anaweza kututoa hatua moja kwenda nyingine
Hawa jamaa hasa wabunge wamepoteza muda mwingi kujadili ufisadi na Richmond na kusahau kuwa wananchi kwenye majimbo yao wana matatizo kwa mfano Barabara ni mbovu vijiji,Hakuna maji safi na salama,Hospitali ndio dawa hakuna wagonjwa wanalala wanne kwenye kitanda kimoja,lakini mbunge anatembelea Prado ya milioni 70 hadi 80
Wananchi tuwe makini na tusidanganyike na virushwa vyao vya soda,wali,kuku,na bia na kuuza haki yetu kwa miaka mitano
Ni hayo tu.
Elisante Yona,
Mimi ni member wa siku nyingi,I have status
Thank you and God bless JF